Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,884
- 5,016
Jambo la kushukuru wengi wanaompinga Jiwe sasa hivi ni wanaccm wenyewe! Wengi akili zimeanza kuwarudia, yule mzee hakupaswa kuwa rais wa nchi!Alijipendekeza sana kwenye kampeni akitarajia fadhila.
Baada ya uchaguzi Rais Magufuli kwa uzalendo wake alijiweka kando kabisa na wanaojipendekeza kama huyu mwana CCM mzandiki...
Sent using Jamii Forums mobile app