Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kama Magufuli alikuwa ni mzalendo basi shetani ni mzalendo zaidi kwa kuwa naye ana mazuri yake na mabaya yake pamoja na ushetani wake.
Tunaambiwa wakati anatoswa aliondoka na theluthi ya malaika. Yeah, wapo wanaomwona kama mzalendo. Ndio hao wezi kina Dialo.
 
Wanasiasa wote wanachangiwa na wafanya biashara wakubwa.Mkap miaka ya mwanzo ya utawala wake aliwakwepa sana wafanyabiashara wa kiasia lkn mwishowe aliingia.Magufuli angekataa msaada wa Diallo kama alivyoukataa wa Mengi lkn hakufanya hivyo.Kula uliwe in JK tone!
 
He is My sons's legacy

Amenisaidia Mambo mengi.

JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewahi pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo

Naogopa nchi yetu inarudi shimoni

MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Umemsikia dialo? Au Naye katumwa na mabeberu???
 
Mnahaha. Asilimia kubwa ya Watanzania wamefurahi Mwendazake kuondoka, na hizo habari za legacy zimebaki kwenu tu
Mkuu Chahali, kuna aina kuu tatu za kumbukumbu za binadamu katika matendo yake aliyotenda wakati wa uhai wake hapa duniani: 1. Binadamu ambae matendo yake aliyatenda kwa ufanisi na kwa upendo kwa maendeleo yote, huyu atakumbukwa kwa muda mfupi kudogo. 2. Binadamu ambae matendo yake aliyatenda kwa ufasani, upendo na kushikiana na watu katika maendeleo yao bila upendeleo wa aina yeyote, huyu naye atakumbukwa kwa muda wote na wapenda uwazi na maendeleo. 3. Binadamu ambaye matendo yake aliyotenda ni kwa maendeleo ya nchi yake kwa ufasini lakini kwa mateso kwa watu wake, huyu atakumbukwa na watu wote (wa kikazi chake na kizazi tarafajiwa) duniani.
Mfano mzuri ni kwa Rais John Kennedy na Rais Hitler.
 
Mkuu Chahali, kuna aina kuu tatu za kumbukumbu za binadamu katika matendo yake aliyotenda wakati wa uhai wake hapa duniani: 1. Binadamu ambae matendo yake aliyatenda kwa ufanisi na kwa upendo kwa maendeleo yote, huyu atakumbukwa kwa muda mfupi kudogo. 2. Binadamu ambae matendo yake aliyatenda kwa ufasani, upendo na kushikiana na watu katika maendeleo yao bila upendeleo wa aina yeyote, huyu naye atakumbukwa kwa muda wote na wapenda uwazi na maendeleo. 3. Binadamu ambaye matendo yake aliyotenda ni kwa maendeleo ya nchi yake kwa ufasini lakini kwa mateso kwa watu wake, huyu atakumbukwa na watu wote (wa kikazi chake na kizazi tarafajiwa) duniani.
Mfano mzuri ni kwa Rais John Kennedy na Rais Hitler.
Namkumbuka kama jehenamu Kwa watumishi wa umma.
 
Yote aliyoyasema Diallo

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
 
Fikiria miaka ya nyuma kabla hayati Magufuli hajapata urais. Ilikuwa ni vurugu maana dhahabu kibao ilikuwa inatoroshwa kwenda nje

Madini kama Tanzanite ndio yaliporwa kama mtu anachora katuni

Magufuli aliwafumbua macho watanzania hasa baada ya kukamata kilo 30 za dhahab zikigoroshwa kwenda Kenya

My take: Masoko ya madini aliyoasisi JPM ni msaada mkubwa kudhibiti uhalifu
 
Kwa hiyo Sasa hivi hayatoroshwi..una uhakika kbs uwezekano wa mtu kuvuka mipaka na germstone ni mgumu Sana?

Usisahau: Endelea kuwa mzalendo ipende tanzania. Usichafue taswira njema ya taifa lako. Ustawi wa nchi yetu unaanza na wewe. Timiza wajibu wako ipasavyo.
 
Kwa hiyo Sasa hivi hayatoroshwi..una uhakika kbs uwezekano wa mtu kuvuka mipaka na germstone ni mgumu Sana?

Usisahau: Endelea kuwa mzalendo ipende tanzania. Usichafue taswira njema ya taifa lako. Ustawi wa nchi yetu unaanza na wewe. Timiza wajibu wako ipasavyo.
Unamaanisha nini?
 
Fikiria miaka ya nyuma kabla hayati JPM hajapata urais. Ilikuwa ni vurugu maana dhahabu kibao ilikuwa inatoroshwa kwenda nje..
Hayati Magufuli alifanya mengi. Muda wa kumkumbuka haujafika. Hata alipoachia ngazi, wengi hawakumkumbuka Nyerere muda mfupi tu tangiapo.

Ila baada ya waliochukua madaraka kuanza kuonyesha uchafu wao, hadi kesho Nyerere anakumbukwa si na watanzania tu bali hata dunia nzima. Tenda wema uondoke. malipo ni kwa Mungu.
 
Hayati Magufuli alifanya mengi. Muda wa kumkumbuka haujafika. Hata alipoachia ngazi, wengi hawakumkumbuka Nyerere muda mfupi tu tangiapo. Ila baada ya waliochukua madaraka kuanza kuonyesha uchafu wao, hadi kesho Nyerere anakumbukwa si na watanzania tu bali hata dunia nzima. Tenda wema uondoke. malipo ni kwa Mungu.
Mengi yapi? Kama ya kuiba rambirambi?
 
Kutoroshwa ni kwa njia ipi?
Kuna mambo mawili ya kuweka sawa;
1. Wanunuzi na wachimbaji walikuwa hawajawekewa utaratibu wa kulipa kodi na tozo mbalimbali.
2. Wanunuzi watoroshaji wameondolewa na sasa kuna wanunuzi wapya.

Lipi ni sawa au sahihi?
 
SmartSelect_20210713-232224_Twitter.jpg
 
Kutoroshwa ni kwa njia ipi?
Kuna mambo mawili ya kuweka sawa;
1. Wanunuzi na wachimbaji walikuwa hawajawekewa utaratibu wa kulipa kodi na tozo mbalimbali.
2. Wanunuzi watoroshaji wameondolewa na sasa kuna wanunuzi wapya.

Lipi ni sawa au sahihi?
Unajua unajadili nini?
 
Back
Top Bottom