Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Napataga shida Sana pale naposikia kuna watu wanamtambua Kuwa jiwe alikuwa ni raisi wa wanyongeBila kusahau Musiba.
Musiba hadi anaumwa siku hizi kwa kukosa ruzuku,tangu mfadhili wake amekufa ajaweza tena kulipa mishahara wafanyakazi wake anaburuzwa mahakamani.