Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani amkumbuke kichaa..??Sisi Magufulist na wanachama wa chama cha HKT tunaendelea kushinda kwa hoja zetu kuwa Magufuli kweli alikuwa Rais wa Wanyonge ambaye hakuwa tayari kwa namna yoyote ile kuruhusu wananchi masikini wanyanyasikem
Mkuu wangu banaa daah 🤣
Usiku mwema kaka ,aaamin!
#KaziInaendelea
Yana tofauti gani na uwanja wa ndege wa chattle?Investment kama Richmond, Dowans and Symbjon! Haya si makampuni yakinyonyi tu hayo yote tuliyapigia kelele weeee
Kila Rais aliyeingia madarakani aliongeza deni,Mkapa tu ndie aliyejalibu kupunguza deni tu,naye kwasababu aliuza mashirika mengi na viwanda vya umma,akawa na ela za kulipa, lakini pamoja na deni kupaa hawakufanya chochote,sana sana ilikuwa ni kusafiri kwenda kwenye bambea huko Ulaya,Mwamba Magufuri alipoingia tu kaanza kutoa elimu bure, unafikiri ela angelipata wapi,;kama sio kukopa kwanza?kakuta hospital wakina mama wanajifungulia chini,kakuta nchi aina ndege hata moja, kwenye maziwa meli zote mbovu,hata wewe ungelifanyaje kwa kipindi kifupi?wakina Kikwete wamekaa miaka kumi hata ndege ya watu watatu wameshindwa kuinunua pamoja na kukopa, Mkapa pamoja na Kuuza mashirika mengi ya umma naye alishindwa kununua hata moja,kisa eti ununuzi wa ndege ni garama kubwa, Magufuri alifufua mpaka reli aliyokuwa imeshindikana kwa miaka 28 ,mfn reli ya kwenda tanga,to kilimanjaro yangelifanyika pasipo angalau kukopa? Magufuri atabaki kuwa shujaa wa taifa hili kafanya Mambo mengi kwa mda mfupi ambayo yaliwashinda Marais wasitahafuCGR, ndio mdudu gani?sasa mkuu labda utuambie nini maana ya kulipa kitu kwa CASH!!ina maana kama unakopa kutoka A, unaenda kumlipa B, kwa cash hapo ki uchumi utasema wewe una pesa??alichokuwa anakifanya ndio hicho!!kama aliyoyafanya yote hayo na deni la taifa likawa ni lile lile alilolikuta 2015 la trilioni 25, hapo ningekuelewa na angetakiwa pongezi!!lakini kama ndani ya miaka mitano tu aliweza kukopa trilioni 35 na huku kila kitu anasema ni pesa za ndani tuelewe vipi?kama sio ulaghai tu?
Sasa kama unajua kuwa ni kweli alikopa tena sana, inakuwaje useme eti pesa alikuwa anatoa wapi?!!hoja kubwa ni kwnini alikuwa anakopa kwa siri?na kuwaaminisha watu kuwa zilikuwa pesa za ndani?!!na ndio sasa tunaonja machungu ya miradi hiyo kila siku ni kodi kuongezwa tu.Kila Rais aliyeingia madarakani aliongeza deni,Mkapa tu ndie aliyejalibu kupunguza deni tu,naye kwasababu aliuza mashirika mengi na viwanda vya umma,akawa na ela za kulipa, lakini pamoja na deni kupaa hawakufanya chochote,sana sana ilikuwa ni kusafiri kwenda kwenye bambea huko Ulaya,Mwamba Magufuri alipoingia tu kaanza kutoa elimu bure, unafikiri ela angelipata wapi,;kama sio kukopa kwanza?kakuta hospital wakina mama wanajifungulia chini,kakuta nchi aina ndege hata moja, kwenye maziwa meli zote mbovu,hata wewe ungelifanyaje kwa kipindi kifupi?wakina Kikwete wamekaa miaka kumi hata ndege ya watu watatu wameshindwa kuinunua pamoja na kukopa, Mkapa pamoja na Kuuza mashirika mengi ya umma naye alishindwa kununua hata moja,kisa eti ununuzi wa ndege ni garama kubwa, Magufuri alifufua mpaka reli aliyokuwa imeshindikana kwa miaka 28 ,mfn reli ya kwenda tanga,to kilimanjaro yangelifanyika pasipo angalau kukopa? Magufuri atabaki kuwa shujaa wa taifa hili kafanya Mambo mengi kwa mda mfupi ambayo yaliwashinda Marais wasitahafu
Ni aibu kupita comment hii bila kuipa like.Kila Rais aliyeingia madarakani aliongeza deni,Mkapa tu ndie aliyejalibu kupunguza deni tu,naye kwasababu aliuza mashirika mengi na viwanda vya umma,akawa na ela za kulipa, lakini pamoja na deni kupaa hawakufanya chochote,sana sana ilikuwa ni kusafiri kwenda kwenye bambea huko Ulaya,Mwamba Magufuri alipoingia tu kaanza kutoa elimu bure, unafikiri ela angelipata wapi,;kama sio kukopa kwanza?kakuta hospital wakina mama wanajifungulia chini,kakuta nchi aina ndege hata moja, kwenye maziwa meli zote mbovu,hata wewe ungelifanyaje kwa kipindi kifupi?wakina Kikwete wamekaa miaka kumi hata ndege ya watu watatu wameshindwa kuinunua pamoja na kukopa, Mkapa pamoja na Kuuza mashirika mengi ya umma naye alishindwa kununua hata moja,kisa eti ununuzi wa ndege ni garama kubwa, Magufuri alifufua mpaka reli aliyokuwa imeshindikana kwa miaka 28 ,mfn reli ya kwenda tanga,to kilimanjaro yangelifanyika pasipo angalau kukopa? Magufuri atabaki kuwa shujaa wa taifa hili kafanya Mambo mengi kwa mda mfupi ambayo yaliwashinda Marais wasitahafu
Wewe unajua mpaka sasa Samia ameisha kopa ngapi? Alafu kama alikuwa anajificha kwenye kukopa wewe ulijuaje kama Magufuri alikuwa anakopa?hata kwako sio kila unachokifanya unanjulisha kila Mtu.Sasa kama unajua kuwa ni kweli alikopa tena sana, inakuwaje useme eti pesa alikuwa anatoa wapi?!!hoja kubwa ni kwnini alikuwa anakopa kwa siri?na kuwaaminisha watu kuwa zilikuwa pesa za ndani?!!na ndio sasa tunaonja machungu ya miradi hiyo kila siku ni kodi kuongezwa tu.
Sasa kwangu nikikopa hata iwe siri si nitalipa mwenyewe?mambo ya nchi unalinganisha na serikali, anayelipa hayo madeni ni raisi?yeye SAMIA, mbona yupo wazi mala ngapi tunaona waziri wa fedha anasaini mikopo toka kwa mabeberu?watu walijua kutoka kwenye ripoti za CAG, kila mwaka ikionyesha deni kukua, ila sio utawala wake kukubali hadharani!!Wewe unajua mpaka sasa Samia ameisha kopa ngapi? Alafu kama alikuwa anajificha kwenye kukopa wewe ulijuaje kama Magufuri alikuwa anakopa?hata kwako sio kila unachokifanya unanjulisha kila Mtu.
Ilimlamba mapema snKwamba?
"JPM alituambia Watanzania tusitumie Barakoa Kutoka nje, kwa sababu White People , kupitia Wimbi hili la COVID-19, walipandikiza Virus vya Corona katika Barakoa, ili Watanzania tuendelee kudhoofisha Miili yetu, na wao kuuza Barakoa nchini, Bali alitusihi tushone Barakoa zetu wenyewe na Tuvae.
JPM aliamini kabsa , NYUNGU inaweza kusaidia KUPUNGUA Makali ya Virus Vya Corona, ndo maana aliishinda Corona."
Kwani Corona ilimchelewesha basi?
Wimbi #3 itaondoka sana na waganga wa kienyeji.
Hii mambo si ya kufanyia fyoko fyoko!
Wimbi #3 itaondoka sana na waganga wa kienyeji.Kwamba?
"JPM alituambia Watanzania tusitumie Barakoa Kutoka nje, kwa sababu White People , kupitia Wimbi hili la COVID-19, walipandikiza Virus vya Corona katika Barakoa, ili Watanzania tuendelee kudhoofisha Miili yetu, na wao kuuza Barakoa nchini, Bali alitusihi tushone Barakoa zetu wenyewe na Tuvae.
JPM aliamini kabsa , NYUNGU inaweza kusaidia KUPUNGUA Makali ya Virus Vya Corona, ndo maana aliishinda Corona."
Kwani Corona ilimchelewesha basi?
Wimbi #3 itaondoka sana na waganga wa kienyeji.
Hii mambo si ya kufanyia fyoko fyoko!