Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kama una shida nae wewe nenda kaburini kwake.

Nimeshukuru Sana alivyo dead ,jitu lenye mentality za zama za giza la Kazi gani

Cha maana alichofanya ni kipi labda
 
Nayasubiri mawe ya kutoka kwako kwa hamu sana prof! Naona neno tungejua litapatikana baada ya 2022. Hii ni zamu ya waliomchukia mwendazake wakati alichokuwa anakifanya na maono yake yatajionesha wazi si muda mrefu. Mimi si kada wa CCM ila nafurukutwa na maendeleo ya Tanzania. Wengi wapo CCM kwa ajili ya kujinufaisha si kujenga nchi kama ilivyo kwa Tundu Lissu
Ila kweli watu mna ubongo wa ndege...!jana ungeiskiliza hutba ya Mama la Mama usingeandika utopolo hapa...jana alinangwa balaa...pole zako kummis !
 
Jiwe alikuwa Rais makini [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Nilikuwa najiuliza hivi Gwajiboy huwa anawapata wapi waumini wake kumbe ni hapo hapo Tz kwa sababu ya kuwepo kwa watu kama wewe
Kwendraaaaa huko
 
Mkatae msikatae hayati JPM atabaki kuwa shujaa na kiongozi mahili aliyepambana kwa ajili ya taifa lake.

Kwa masikio yenu na macho yenu mlisikia Antonio Gutteres akieleza namna alivyopambana kuhakikisha ustawi wa taifa letu unakaa vizuri.

Sasa nyie vidampa wa kisiasa wachache wa Chadema baada ya kukosa nafasi za kisiasa mwaka jana ndio mnaleta chuki za kipuuzi.

Kama hata baraza za usalama la UN linatambua kuwa shujaa kutoka Lubambangwe alipagana na kujitoa kwa taifa lake ninyi mna nini cha kupinga na kuleta kebehi na chuki.

Kwa ufupi wananchi hawaitaki Chadema.
 
Nyuzi kama hizi zimatakiwa zisiwe hata na comments basi tu
 
Mzee bado unaishi in the past,toka huko ulipo Tz ishapata kiongozi mpya maisha yanaendelea.
 
Hakika alikuwa mwenye nia njema na aliwawazia watanzania mawazo mema; licha ya kuwa na mapungufu ya kila mja alivyotafsiri yeye.

" Kila mtu na amuhesabie mwenzie kuwa bora kuliko yeye; maisha lazima yawe mema".

Tuwaze, tutende na tuchague yaliyo mema; mazuri; mambo chana na yale yote yaliyo stara ; ili tuwe wema milele.

Bye.
 
Mkatae msikatae hayati JPM atabaki kuwa shujaa na kiongozi mahili aliyepambana kwa ajili ya taifa lake.

Kwa masikio yenu na macho yenu mlisikia Antonio Gutteres akieleza namna alivyopambana kuhakikisha ustawi wa taifa letu unakaa vizuri.

Sasa nyie vidampa wa kisiasa wachache wa Chadema baada ya kukosa nafasi za kisiasa mwaka jana ndio mnaleta chuki za kipuuzi.

Kama hata baraza za usalama la UN linatambua kuwa shujaa kutoka Lubambangwe alipagana na kujitoa kwa taifa lake ninyi mna nini cha kupinga na kuleta kebehi na chuki.

Kwa ufupi wananchi hawaitaki Chadema.
Bro achana nao hao wana colabo fulani hivi utaambulia matusi tu. Ila cdm wana gundu yeyote watakaye kuwa nae direct au indirect.
Uzuri watanzania wana akili sana acha kwa sasa watambe wao.
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Agree with you 100%
 
Back
Top Bottom