Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Sukuma Gang! Watu wa "Doho shida" wanapenda kusifia hata ambayo havistahili... Si ajabu hata ukiwaibia mke unaweza kusifiwa tu na Sukuma Gang, Watasema "Ole ngosha gete"..
Elimu haijakusaidia, vijana kama nyie ni hasara kwa taifa? Karne ya 21 umazungumzia ukabila?
 
Kuvuruga uchaguzi mkuu uliopita ilikuwa ni kwa public interest?
Kununua viongozi wa upinzani ilikuwa ni kwa public interest?...
Ongeza na kubambika kesi za hovyo kwa wale wakosoaji wa sera zake nayo ni Public interest?
 
Elimu haijakusaidia, vijana kama nyie ni hasara kwa taifa? Karne ya 21 umazungumzia ukabila?
Wewe ndo ni hasara, Mpaka karne hii una abudu binadamu mwenzio unajisahau na unasahau kama nyuma ya viumbe vyote vilivyo hai na visivyo hai kuna Mungu,...

Wewe ni miongoni wa Praise Team ile iliyokua nyuma ya hayati kwa sasa umebaki yatima...
 
Unaishi wapi mkuu? Mi sijawahi shuhudia umeme ukikatika siku mzima kipindi cha JPM. Na tulipewa taarifa.
Kama unaishi Chato sawa, lakini nje ya hapo hakuna sehemu isiyokatika umeme kpndi cha Mwendazake hakuna. Alafu kwa nyongeza, mwezi ulopita PM alienda kagua mfumo wa usomaji tiketi wa mwendokasi una zaidi ya miezi sita hufanyikazi, nakukumbusha tu ili isije kesho ukalalamika na kumtupia mama lawama juu ya mfumo huu.

Ushauri:
Ili ufanye biashara ya kunyoa vizuri lazima uwe na jenereta au mfumo wa Solar, nje ya hapo haupo siriazi na hiyo biashara
 
Bogas kweli... Huyo magu alikuepo na umeme ulikatika vizuri tu ..
 
Sukuma gang and Chato Inc at their best! He is gone! Tunalinda legacy!! Chato Hoyeee!!

Kwamba umeme ulikuwa haukatiki? Majambazi na wanyanganyi wakubwa!! Mkafanye kazi sasa mle kwa jasho mlizoea vya kunyonga na kushangilia watu wakiumia!
 
Hujasema fedha yamtaji umetoa wapi na ajirahuna...unabadilishwa mfumo uliokuepo ulikua unawaibia sana unit zetu...relax mliipenda wenyewe mbelekwambele
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Muda utaongea!

Jiandae na miungurumo ya mijenereta kila kona!

Utawala wa JK na Magufuli umetufumbua macho sana watz.

Samia lazima afikire pia watz hawa ni waafrika sawa na wale wanaoua wenzao kule congo ili wapore madini.

Subirini tu, miezi 3 ijayo mtaanza kulipwa mishahara kwa wawamu.

Huwezi kumwambia mtanzania alipe kodi bila fimbo ukategemea atalipa. Kwa mtz yupi? Huyuhuyu anaefurahia sana konda wa daladala akisahahu kumdai nauli?
 
Sukuma Gang! Watu wa "Doho shida" wanapenda kusifia hata ambayo havistahili... Si ajabu hata ukiwaibia mke unaweza kusifiwa tu na Sukuma Gang, Watasema "Ole ngosha gete"..
Ni kama mabavicha sasa hivi ukiwagongea mke wanapiga kimya tu wanasema yote hiyo sababu ya mwenda zake.
 
Kwanza nianze kwa kukiri kwamba mimi ni sio mwanasiasa ila kwa kipindi fulani nilikuwa shabiki mkubwa wa chadema. Kiukweli miongoni mwa wale waliokuwa wakimponda sana na hata kutokuhuzunishwa na kwenda kwa mwendazake na mimi nilikuwemo. Ninakiri wazi kuwa nilifanya makosa makubwa sana na sikujua kuwa nilikuwa nakataa almasi kwa kukusanya kokoto.

Ni miezi miwili sasa mzigo wangu umekwama bandarini kwa madai kuwa taratibu za ushuru kutokukamilika hali ya kuwa risiti zote halali ninazo. Mbaya zaidi ni mzigo wa biashara hivyo kadri muda unavyoenda nazidi kupata hasara.Sikujua kuwa ukali wa kiongozi mkuu unaweza kusaidia watendaji wa chini wakatimiza majukumu yao kwa weledi na uharaka kwa kumjali mwananchi.

Pili hali ya umeme huku mtaani kwetu ni tete, Kila mara umeme unakatika,Na mita za luku system hazifanyi kazi mara kwa mara umeme haununuliki. Ninajiuliza mbona kipindi cha mwendazake haya mambo hayakuwepo? Ina maana utendaji wa hawa wafanyakazi unaangalia zaidi kiongozi mkuu aliyepo juu yao?

Kiukweli nimeshuhudia mambo mengi ya hovyo ndani ya muda huu mfupi, Tukiachilia mbali la kuahirishwa mechi ya Simba na Yanga bila kiongozi yoyote kuchukuliwa hatua, Madawa ya kulevya yameongezeka kwa kasi huku mitaani, wizi na ujambazi navyo vinashamiri ndani ya muda mfupi,Kwanini?

Kwakweli niseme tu kuwa ninajuta sana kumponda mwendazake popote alipo anisamehe na Mungu anisamehe.Na ninamuombea azidi kupumzika kwa amani.
 
Hujasema fedha yamtaji umetoa wapi na ajirahuna...unabadilishwa mfumo uliokuepo ulikua unawaibia sana unit zetu...relax mliipenda wenyewe mbelekwambele

Hawa ndo wale majambazi tu mirija imekatwa wanurukaruka kama popcorn! Unalipwa laki tano bank unakutwa na bilion tano, mkawadanganye wajinga na legacy zenu!
 
Back
Top Bottom