Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kila nikiona afrika wanavyo mlilia magufuli ndipo na amini ukweli nabii akubaliki kwao
Many countries in Africa trust magufuli was a king of afrika kuna wa TZ wanao mtukana kumuita ni jambazi, katili na majina mengi mabaya mabaya my friend ukitaka kujua samani ya aliye kuwa kiongozi wenu JPm try to ask others countries
Kama ufaransa kuna Kaka alimpiga mzungu eti kisa alisema magufuli alijafanya mkali covid akawa mkali zaidi waka anza kurushiana maneno mkali makali
Magufuli alitaka kutuaminisha kuwa bila wazungu tuna weza
And believe me in next years TZ ungeli kuwa one of the powerful country in The world
Lakini alicho kuwa na kifanya magufuli Ali kuwa na taka kuambia awa Wajenga wanao jiona wao ndo Mungu watu kuwa ata bila wao TZ ina weza na ukweli mngeliweza kama kuna dugudugu fulani amini usiamini singeli isha

Ok ila ipo siku samani ya magufuli itaonekana tu kama sio kwa kizazi iki basi kizazi kijacho Kitaona samani yake na mawazo yake ya kutaka TZ mjitegemea wata Ifanyia kazi


Sorry kwa Kiswahili changu my friend I’m not TZ
Ukiangalia kiundani zaidi! Wanaomtukana JPM ni wengi wao ni wanasiasa, wafanyabiashara waliokuwa wapiga dili na baadhi ya wafànyakazi wa serikalini wapiga dili pamoja na walio kuwa watumishi hewa. Kwa ujumla wao ni watu ambao wapo kwenye mitandao ya kijamii. Lkn my friend ukirudi mtaani! Magufuli bado yupo kwenye mioyo ya watu kwa sana. Tena kwa mambo mazuri.
 
Ukiangalia kiundani zaidi! Wanaomtukana JPM ni wengi wao ni wanasiasa, wafanyabiashara waliokuwa wapiga dili na baadhi ya wafànyakazi wa serikalini wapiga dili pamoja na walio kuwa watumishi hewa. Kwa ujumla wao ni watu ambao wapo kwenye mitandao ya kijamii. Lkn my friend ukirudi mtaani! Magufuli bado yupo kwenye mioyo ya watu kwa sana. Tena kwa mambo mazuri.
Mtaani kwenye wajinga na wasio na elimu ya uraia
 
... yaani umejiunga hata wiki mbili hazijaisha, kwa jina ulilojipa 😅, halafu leo unapost ulichopost! ... wewe ni JOKERI!
 
Sasa hivi ni kiongozi wa Malaika huko. Mwenyewe alishatabiri
 
1. Uzalendo - kuipenda nchi yake na kuhakikisha resources za nchi ni kwa manufaa ya wananchi na sio viongozi na wawekezaji wezi.
2. No-Nonsense - kutopuuzia uzembe kazini wala ubadhirifu. Alitumbua immediately! Alikataa mikataba ya wizi na kurekebisha sheria ziwabane wawekezaji wezi. Nasikia sasa wataingia kirahisi tu![bila shaka wataiba kiraisi pia]
3. Rais wa watu - aliwapenda na kuwatetea kwa nguvu zote watu wa chini sana. hii itachukua miaka mingi sana kutokea. Umati wa watu katika msiba wake na vilio vyao viliwaziba midomo waliosema alikuwa ni Rais aliyechukiwa na wengi!
4. Uchapakazi wake - hakuwa Rais wa kupokea report tu bali kuzifanyia kazi na kutosinzia ili ajue mambo.
5. Uchumi - Hii nchi kaipeleka haraka sana - walimpinga sana lakini statistics zote za maendeleo ua uchumi zilikuwa upande wake. Iwe infrustructure, services kama umeme, elimu na afya, na rank yetu kimataifa. NASIKIA sasa tunaanza kushuka!
6. Ucha Mungu - Pamoja na madhaifu yake [nani ni mkamilifu?] sio tu alisali, bali aliwaheshimu viongozi wa dini wote na kuwaomba wamwombee. Tunasikia kwenye death bed yake aliombewa na viongozi wote hata waislamu wakati yeye alikuwa mkristu!

Kazi ya Mungu haina Makosa. RIP JPM!
 
1. Uzalendo - kuipenda nchi yake na kuhakikisha resources za nchi ni kwa manufaa ya wananchi na sio viongozi na wawekezaji wezi.
2. No-Nonsense - kutopuuzia uzembe kazini wala ubadhirifu. Alitumbua immediately! Alikataa mikataba ya wizi na kurekebisha sheria ziwabane wawekezaji wezi. Nasikia sasa wataingia kirahisi tu![bila shaka wataiba kiraisi pia]
3. Rais wa watu - aliwapenda na kuwatetea kwa nguvu zote watu wa chini sana. hii itachukua miaka mingi sana kutokea. Umati wa watu katika msiba wake na vilio vyao viliwaziba midomo waliosema alikuwa ni Rais aliyechukiwa na wengi!
4. Uchapakazi wake - hakuwa Rais wa kupokea report tu bali kuzifanyia kazi na kutosinzia ili ajue mambo.
5. Uchumi - Hii nchi kaipeleka haraka sana - walimpinga sana lakini statistics zote za maendeleo ua uchumi zilikuwa upande wake. Iwe infrustructure, services kama umeme, elimu na afya, na rank yetu kimataifa. NASIKIA sasa tunaanza kushuka!
6. Ucha Mungu - Pamoja na madhaifu yake [nani ni mkamilifu?] sio tu alisali, bali aliwaheshimu viongozi wa dini wote na kuwaomba wamwombee. Tunasikia kwenye death bed yake aliombewa na viongozi wote hata waislamu wakati yeye alikuwa mkristu!

Kazi ya Mungu haina Makosa. RIP JPM!
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
1. Uzalendo - kuipenda nchi yake na kuhakikisha resources za nchi ni kwa manufaa ya wananchi na sio viongozi na wawekezaji wezi.
2. No-Nonsense - kutopuuzia uzembe kazini wala ubadhirifu. Alitumbua immediately! Alikataa mikataba ya wizi na kurekebisha sheria ziwabane wawekezaji wezi. Nasikia sasa wataingia kirahisi tu![bila shaka wataiba kiraisi pia]
3. Rais wa watu - aliwapenda na kuwatetea kwa nguvu zote watu wa chini sana. hii itachukua miaka mingi sana kutokea. Umati wa watu katika msiba wake na vilio vyao viliwaziba midomo waliosema alikuwa ni Rais aliyechukiwa na wengi!
4. Uchapakazi wake - hakuwa Rais wa kupokea report tu bali kuzifanyia kazi na kutosinzia ili ajue mambo.
5. Uchumi - Hii nchi kaipeleka haraka sana - walimpinga sana lakini statistics zote za maendeleo ua uchumi zilikuwa upande wake. Iwe infrustructure, services kama umeme, elimu na afya, na rank yetu kimataifa. NASIKIA sasa tunaanza kushuka!
6. Ucha Mungu - Pamoja na madhaifu yake [nani ni mkamilifu?] sio tu alisali, bali aliwaheshimu viongozi wa dini wote na kuwaomba wamwombee. Tunasikia kwenye death bed yake aliombewa na viongozi wote hata waislamu wakati yeye alikuwa mkristu!

Kazi ya Mungu haina Makosa. RIP JPM!
Hivi vitu Magufuli alikuwa anafanyia uvunguni? kuviona hivi vitu unabonyeza ngapi
 


Historia ni uongozi
Historia ni uchumi
Historia ni biashara
Historia ni kilimo
Historia ni ufugaji
Nk
 
Watanzania ni viumbe wanafiki sana Duniani. Nlijifunza kitu kwa wazungu.

"Mzungu anaweza kusema kabisa Komeo simkubali,simpendi ila jambo hili alilifanya lilikuwa zuri. Lakini bado simpendi"

Sisi Waswahili tukimchukia mtu tunamchukia na kila analolifanya hata kama jema. Tunendeleza mihemko,jazba na chuki binafsi. Hata jamaa akitembea juu ya maji lets say baharini au ziwani tutasema
"jamaa anatumua vumbi sana na kuchafua mazingira"

Mazuri ya Magufuli:
1. Miradi ya madaraja kupunguza msongamano ni miradi mizuri iliyotumika kwa pesa za watanzania. Hata kama kuna waliowaza before lakini kuwaza si kutenda

2. Mradi wa SGR ni mradi superb kwa ajili ya maendeleo ya mikoa husika na Tanzania kwa ujumla. Miaka ya nyuma mradi kama huu ungekwamishwa sana kwa sababu ya wamiliki wa magari ya mizigo kutoupenda kabisa. Aliweza kuchukua hatua.

3. Daraja la Busisi na miradi mingi ya Barabara nchi nzima. Lakini alijitahidi sana kuzuia Ufisadi uliokuwa umeota mizizi awamu zilizopita.

Mabaya ya Magufuli.
1. Aliamini mtu anayempiga au asiyekubaliana naye ni adui yake. Hivyo akasababishwa kuzungwa na wanafiki wengi sana ndani na nje ya chama chake isipokuwa wapinzani wachache.

2. Alikuwa anaamini WAPINZANI WOTE NI WAPIGA DEAL TU kama ambavyo aliona waliokuwa wakipiga deal kupitia siasa awamu zilizopita.

3. Aliamini Wafanyiabiashara wengi walikuwa wapigaji kama ilivyokuwa awamu za awali. Hivyo akagombana nao wengi sana hasa pia waliokuwa kweli wapigaji kama akina Manji Kwa Mujibu wa Chadem List of Shame na Mafisadi Papa.

MIMI MTANZANIA NIMEISHIA HAPO.

Pia nakaribisha mapozi mengi tu kwa wale ambao watu wao watakuwa wameguswa. Hamna cha kunifanya Hili ni Jukwa Huru sijavunja sheria yoyote ile.
 
Back
Top Bottom