Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Wewe na yeye ni nyooko piaWewe ni nyooko, puumbavu kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na yeye ni nyooko piaWewe ni nyooko, puumbavu kabisa.
angekuwepo mwamba hata hofu ya corona isingekuwepo.ila nakulaumu 2 hata kwa kutomtengeneza hata mmoja awe kama wewe na kumpa umakamuwa rais tulikupenda na kovu lako linachelewa kuponaJPM alikuwa na Akili kubwa YAKUTAFUTA PESA za maendeleo, bila kuwaumiza Watanzania.
JPM alikuwa Mtu makini Sana, alifikiria mbali Sana, Kila alichofkria Kwanza aliwafkria Watanzania watafaidika vipi.?
JPM alikuwa Mzalendo wa Taifa lake, hakuruhusu Makinikia kusafirishwa nje bila kujua Gharama zake, alijiuliza Maswali mengi Sana,. Kwann wasafirishe?, Kama hayana Faida kwanini Wao wanatumia Gharama kubwa kuyasafirisha ?
JPM alituambia Watanzania tusitumie Barakoa Kutoka nje, kwa sababu White People , kupitia Wimbi hili la COVID-19, walipandikiza Virus vya Corona katika Barakoa, ili Watanzania tuendelee kudhoofisha Miili yetu, na wao kuuza Barakoa nchini, Bali alitusihi tushone Barakoa zetu wenyewe na Tuvae.
JPM aliamini kabsa , NYUNGU inaweza kusaidia KUPUNGUA Makali ya Virus Vya Corona, ndo maana aliishinda Corona.
JPM aliamini kabsa MUNGU yupo, ndo maana alitenga siku za kumuombea MUNGU, atuepushe na Kutuvusha Salama katika hili Wimbi la Corona.
PUMZIKA KWA AMANI JEMEDARI WA AFRIKA, UMOJA WA MATAIFA PIA UMEKILI KUWA ULIKUWA KIONGOZI AMBAE ULIKUWA UNAJARI WANANCHI WAKE.
MAGUFURI HATUKO NAE TENA, WATANZANIA TUNAKUKUMBUKA SANA.
✓MIHAMALA NAIMANI UNGEKUWEPO UNGESEMA NENO.
✓PETROLI NA DIESEL NAIMANI UNGESEMA NENO.
YOTE KWA YOTE , PUMZIKA KWA AMANI BABA.View attachment 1855958
I beg you please. Dm me I feel guilty for what I did. Dm me pleaseToday i officially miss Magu.
Naomba please please just dm me and hear me out. Please😳😳 Dont feel guilty, kuwa tu na amani
Nakuomba nakuomba just hear me out my love. Naomba pleaseHaina haja hata, sababu tushatengana
Hivi nikweli kwenye mafuta walipandisha mia tu?
Hatari sana aiseeHakika tutakukumbuka milele daima najua ulifanya mambo mabaya mengi lakini mema yako yalikuwa mengi zaidi kwa sababu uliwekeza kwenye watu wa hali ya chini.
Magufuli popote ulipo mimi kama nilikukosea kwa vyovyote naomba unisamehe
Magufuli naomba utuombee kwa Mungu atupiganie maana mabepari yamechukua tena nchi yetu.
Watu wa chini sisi walala hoi tutakukumbuka milele
Bei ya mafuta Leo bukoba 2800 wakati Rwanda 2000
Bei ya mafuta Tunduma 2650 wakati Zambia 2100
Tozo za simu ndio usiseme, watu hawaishi tena Dodoma baba kutwa kupishana air port na morogoro road na maviete hakika tutakukumbuka
R.I.P mwamba wa Africa.
Kila kitu kwa moderation..Mama Samia hataki kupora fedha za Matajiri kwny Accounts zao kwa kisingizio ha Uhujumu uchumi ili akamalizie miradi aliyopokea
Anataka kila Raia achangie Stiglers gauge na miradi mingine mikubwa
Ikibidi kodi ziongezeke kuliko kupora ma Bureade change za watu na kupora pesa za matajiri kwa 'task force'
Mambo ya kusema tunajenga miradi kwa 'fedha za ndani' iwe kweli kwa fedha za ndani za kodi stahiki
Mama alisema yeye na Magufuli Wamoja sasa kwanini Mnamgeuka Mama?Hakika tutakukumbuka milele daima najua ulifanya mambo mabaya mengi lakini mema yako yalikuwa mengi zaidi kwa sababu uliwekeza kwenye watu wa hali ya chini.
Magufuli popote ulipo mimi kama nilikukosea kwa vyovyote naomba unisamehe
Magufuli naomba utuombee kwa Mungu atupiganie maana mabepari yamechukua tena nchi yetu.
Watu wa chini sisi walala hoi tutakukumbuka milele
Bei ya mafuta Leo bukoba 2800 wakati Rwanda 2000
Bei ya mafuta Tunduma 2650 wakati Zambia 2100
Tozo za simu ndio usiseme, watu hawaishi tena Dodoma kutwa kupishana air port na mabarakoa na morogoro road na maviete hakika nitakukumbuka.
R.I.P