Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.

Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
acha ndoto mbaya. hakuna kitu kama hiko
 
Vile mwendakuzimu amefurahia huu uzi wako kutokea huko kuzimu😁😁😁
AYrClH-.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.

Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Atashangaa aliowaamini wakiwa wamemgeuka kwa kilometer nyingi. Kuanzia samia.
 
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.

Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Atajutia kufa kizrmbe kw korona
 
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.

Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Aliyefufuka ni Mmoja tu Yesu Kristo na waliobaki ( tuliobaki ) tukifa hiyo ndiyo ntolee na kusubiria Kiama chetu Motoni kule Mbinguni.
 
Unajua fikra na mawazo ya Mheshimiwa ilikuwa kuifikisha Tanzania pale ambapo mwananchi wa kawaida atakuwa anafurahia maisha ya uswahilini na hana kudhalilishwa wala kubugudhiwa na anaheshimika kwenye taasisi zote,

Wakati wake mwananchi hata alievaa mararu nguo za viraka akifika kwenye taasisi za serikali yake akipokelewa na hata kukaribishwa maji ya kunywa na haichukui muda anasikilizwa shida zake na kuahidiwa kufanyiwa kazi ,siku mbili ilikuwa unapata passport ,siku mbili unapata kadi ya Uraia au kitambulisho cha utaifa,leo nenda kajaribu utaambiwa mashine hazifanyi kazi na haijulikani zitatengenea lini maana kimeagizwa kutoka Japan na ndege siku hizi kama unavyojua haziendi kutokana na korona ,njoo ukiulizia au tutakupigia simu.

Shida zimeanza kurudi na kuzaana,usilete habari za kisiasa hizo ni kazi kama kazi zingine mambo ya wanasiasa na majilabu na majigambo hayahusiani na shughuli za kiutawala.
Katika utawala na uongozi na usimamizi Mheshimiwa Magufuli aliweza. Ila huyu dada naona anazingua tu. Vyombo vya huduma za kijamii katika serikali yake zimeanza kusua sua.
Nikimtazama naona anavutwa na mkondo wa shughuli za kisiasa ambazo Magufuli alizipiga chenga na kuwaacha wapinzani wakipiga makelele kwenye vyumba.
Ccm bwana lolongo nyingi, nchi inapiga mark time. Tunataka katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, na utawala was sheria. Eti magufuli akifufuka! Yule mbaguzi aliyesema ukichagua mpinzani hutapata maendeleo! Sadist mkubwa yule.
Samia nae kwenye kampeni akasema hata ukipiga kura kwa wengine ccm itashinda, akimaanisha ccm itatangazwa mshidi hata ikipata 5% na mpinzani akapata 95%. Kuna PhD holder was sayansi asieamini ktk sayansi na kugeukia ushirikina? Mara hakuna Corona, Mara ni vimafua, Mara kabundi nenda Madagascar ukalete dawa ya Corona, and the like. Leo msukule unaota mtu aliekwishaoza kaburini afufuke!
Na huu ujinga wa waTz kufikiria mtu badala ya mifumo na taasisi imara ndio unafanya taifa hili kushindwa kupiga hatua kimaendeleo kilingana na rasilimali tulizonazo na umri miaka 60 kama taifa. Miradi ya maendeleo haitekelezwi ktk kata au Jimbo fulun kwa vile diwani au mbunge sio wa ccm, wakati wale wananchi wanalipa Kodi na wanastahili kuhudumiwa.
 
Yaani Mheshimiwa alikuwa na msimamo wa chuma cha pua, Mlingoti chuma, bendera chuma chama chuma na kiongozi ndio usiseme, aliiweza Tanzania na kuiweka katika mstari. Huduma zilikuwa straight forward hakuna kuzunguushwa zunguushwa, leo Tanzania imerudi kuliko zamani.

Hakuna kinachofanyika zaidi ya teuzi zisizo na miguu wala vichwa, basi mliopo jitahidini japo mlikubali hili la Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi. Wananchi walikuwa wapo poa kabisa kwani mambo yao yalikuwa yakifanikiwa bila mizengwe.

Leo akifufuka kama Yesu sujui atasema kitu gani, waliopo wanazidi kuvuruga yaani hata Gwajima sasa anaitesa serikali ? Ndugu zangu Samia zigo haliwezi.
Atakuwa anachekacheka kwa aibu kubwa!
 
Unajua fikra na mawazo ya Mheshimiwa ilikuwa kuifikisha Tanzania pale ambapo mwananchi wa kawaida atakuwa anafurahia maisha ya uswahilini na hana kudhalilishwa wala kubugudhiwa na anaheshimika kwenye taasisi zote,

Wakati wake mwananchi hata alievaa mararu nguo za viraka akifika kwenye taasisi za serikali yake akipokelewa na hata kukaribishwa maji ya kunywa na haichukui muda anasikilizwa shida zake na kuahidiwa kufanyiwa kazi ,siku mbili ilikuwa unapata passport ,siku mbili unapata kadi ya Uraia au kitambulisho cha utaifa,leo nenda kajaribu utaambiwa mashine hazifanyi kazi na haijulikani zitatengenea lini maana kimeagizwa kutoka Japan na ndege siku hizi kama unavyojua haziendi kutokana na korona ,njoo ukiulizia au tutakupigia simu.

Shida zimeanza kurudi na kuzaana,usilete habari za kisiasa hizo ni kazi kama kazi zingine mambo ya wanasiasa na majilabu na majigambo hayahusiani na shughuli za kiutawala.
Katika utawala na uongozi na usimamizi Mheshimiwa Magufuli aliweza. Ila huyu dada naona anazingua tu. Vyombo vya huduma za kijamii katika serikali yake zimeanza kusua sua.
Nikimtazama naona anavutwa na mkondo wa shughuli za kisiasa ambazo Magufuli alizipiga chenga na kuwaacha wapinzani wakipiga makelele kwenye vyumba.
atakasirika sana kuwakuta watu wanaishi na kufanya kazi zao bila nidhamu ya uoga tena
 
Hilo Jambazi halifufuki tena.Limefungiwa kuzimu na minyororo
 
Most of you lost the view point,kuna miccm itakimbia nchi akiwemo mzinguwaji " ..Ukinizingua tutazinguana.." inamaanisha nawewe ni mzinguaji.
Viatu vya Magufuli vitavaliwa na atakaeamua kufuata sheria,magufuli alizifuata sheria za kiutawala na kuachana na mambo ya sheria za kisiasa na wanasiasa,wengi waliokuwa na mambo ya siasa siasa hakuwapa nafasi kwenye serikali yake. Alikuwa na watu straight forward katika utekelezaji sheria za kiutawala. Akikuona unalegalega nakung'oa kwani ndio dawa pekee inayotibu jino.
 
Hakuna hiko kitu,he is dead and buried six feet underground!
 
Back
Top Bottom