Ama kweli muosha naye hatimaye huoshwa! Baada ya kutamba sana akiwa madarakani na kusababisha madhila kwa watu wengi hatimaye amekufa na sasa anaoza!
Nianze maelezo yangu kwa kipande cha shairi:
Nchini kulichafuka, barani na baharini, Kitini ameshatoka, yule bichwa mjivuni, katunusuru Rabuka, na myama wa porini!"
Alikua akitamba kutumbua watu naye katumbuliwa 'moja kwa moja'... I think operation ya 'kutumbuliwa' kwake ilifanywa bila ganzi!..._ Just kidding 😂.
Ni zaidi ya siku 400 sasa ( miezi 14) tangu bwana John Pombe Magufuli afe, azikwe na aanze kuoza! Kifo cha huyu jamaa ni funzo kubwa kwa Watanzania na kwa kweli tumshukuru Mola kwa kutunusuru na jinamizi la uongozi mbaya na hofu iliyokua imetanda nchini tangu Jakaya aondoke..... Hakika kuondoka haraka kwa Jiwe at a tender age of 61, ni fumbo kubwa..... Nchi ilikua inaelekea kubaya sana thus Heavens had to intervene!!
Ilikua ni kosa kubwa kwa CCM kumpitisha Magufuli kugombea urais mwaka 2015! Yapasa sasa vyama kuanza kuwapima akili wagombea urais.
Huyu jamaa alikua kiongozi ktili, mnafiki,mchonganishi, mpenda sifa, asiyeshaurika na hakika hakua na adabu! ( Kumbuka alivyo deal na akina Mzee Kinana na Makamba). Jiwe alikua hana chembe ya staha... Lugha yake ilikua ya hovyo sana akiwa hadharani_ kumbuka alitamka neno mavi!!! Jamaa alikosa kabisa busara na hekima ..Itoshe tu kusema kwamba Magufuli alikua mtu mshamba unworthy kabisa kuukwaa urais nchini Tanzania... Kwa kifupi hakua presidential material!! At all!
He was such a coward leader.. Kumbuka jinsi alivyoli handle suala korona... Ati alijaribu kuwapumbaza watu kwamba ugonjwa ule ungaliisha kwa 'maombi'... Alijaribu pia kuuhadaa ulimwengu kwamba kulikuwa hakuna korona hapa nchini.. !! Disgusting!!
Jiwe alikuwa mbabaishaji, mtu asiye na utu, asiyeshaurika, mdini na alijaa chembechembe za ukabila!!
Tumempata Samia.. Kiongozi mstaarab, msikivu, mwenye utu na subira na busara pomoni. Hivi sasa Ikulu kunapendeza.. Wafanyakazi sasa ni kicheko!! Wafanyabiashara na wakulima ni nderemo!! Kumbuka Jiwe hakuongeza mishahara hadi anakufa!!
Nchi sasa inaheshimika kote duniani.. Rais Samia ameponya majeraha mengi.. Masheik wa Uamsho wako huru, Mbowe huru, magazeti huru nk nk.. Kwa kweli kama humpendi Samia go to hell!!
....