Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Magufuli ndie aliyetuletea huyu tena akamuapishia kwake Chato.
 
Bora nilale njaa nikiwa na amani ya moyo sio kuishi roho juu juu enzi za yule dikteta,usitukumbushe machungu ya yule katili tafadhali
 
🐒🐒🐒
16409521842520.jpg
 
Bora nilale njaa nikiwa na amani ya moyo sio kuishi roho juu juu enzi za yule dikteta,usitukumbushe machungu ya yule katili tafadhali
Kile kipindi cha mlo mmoja halafu Polepole anajiposti akimwaga viuno na kuyaenzi ma V8

Bora Maza na kauli zake laini zinatia faraja.
 
Ingekuwa JPM yupo hai hadi leo ninauwakika Makamba Mwgulu na Nape wasingekuwa mawaziri.

Gharama za maisha zingekuwa chini na matozo haya ya mwigulu yasingepitishwa.

Kwa taarifa yako hizi tozo ni sababu ya mikopo chefuchefu ya Magufuli.
 
Ingekuwa JPM yupo hai hadi leo ninauwakika Makamba Mwgulu na Nape wasingekuwa mawaziri.

Gharama za maisha zingekuwa chini na matozo haya ya mwigulu yasingepitishwa.
Tena viongozi wangekuwa na adabu kwa wananchi. Na maisha yangekuwa mteremko mno kwa gharama kidogo za maisha.
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Majivuno,umimi,ukabila,ushamba na kiburi.
 
Jiji la Dodoma na eneo la serikali Mtumba.
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
 
Back
Top Bottom