Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mwamba alijua kuunguruma nchi nzima. Kuna watu wanatamani ila ndo hibyo tena hawana nyota ya JIWE
Tatizo nyota, watetezi wa Magufuli ni sisi commoners, wapinzani wake almost wote ni politics affiliates… connect the dots…
 
Yaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo

Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu

Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida

RIP Shujaa Magufuli

Yaani Wewe Kweli Wa Kumkejeri Mzilankende, Kweli Ukifa Huna Chako Wala Thamani. Unasema Swaga Oops Ccm Imepasuka Sasa Hivi

 

Yaani Wewe Kweli Wa Kumkejeri Mzilankende, Kweli Ukifa Huna Chako Wala Thamani. Unasema Swaga Oops Ccm Imepasuka Sasa Hivi

Watu wameshamsahau mkapa, kikwete na Mwinyi wakishuka it will be the same shit, tuje kwa huyo mwamba sasa… the corner stone…
 
Ila bahati nzuri tunajua kuwabananisha kwenye matukio kila linapotajwa jina la JPM shangwe zinazoibuka wanaona aibu wenyewe
Tatizo nyota, watetezi wa Magufuli ni sisi commoners, wapinzani wake almost wote ni politics affiliates… connect the dots…
 
Umeshawahi ona mtu ana Cheri fake? Zile zilikiwa mbinu tu za kupunguza wafanyakazi serikalini baada ya kuona mambo hayaendi
Ila katika majitu majinga wewe ni namba moja.eti hakuna mtu mwenye cheti feki duuh
 
Nyerere alichukia wakabila!, kutengeneza double standard miongoni mwa watanzania, ndiyo likuwa dhambi iliyo kuu zaidi.

Kuishi kwa chuki, kuonea, kunyanyasa, imeandikwa usiue, kunyanganya, kutamani mke wa jirani yako au chochote cha jirani haya yote ni chukizo kwa muumba wetu, imeandikwa na siyo maneno ya kinywa changu cha nyama.
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Kwa kuweka mtoto wa dada yake kuwa mkurugenzi Kigamboni ambae alikuwa fisadi na kufanikisha kunidhuluma mali zangu na mkuu wake wa wilaya Sara Msafiri kutufukuza Tanzania tarehe 13/3/2020
 
Kwenye ufisadi yule Mwamba alikuwa hatakagi ujinga kabisa na hili hata CHADEMA wanalielewa vizuri.

Escrow hakuna aliyeambiwa arudishe hela kama kwenye EPA lakini mafisadi wa kanda ya ziwa walipanga foleni BoT kuzirejesha wakiongozwa na Ngeleja na Tibaijuka wote kutoka kanda pendwa.

Mwamba alitisha sana.

RIP JPM
 
Back
Top Bottom