Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Hayo yote yangefanyika tena kwa uzuri zaidi kama tungekuwa na rais mwenye weledi. Shida ya Mwendazake kwa kila zuri alofanya alifanya baya zaidi upande mwingine.
 
Wanaombeza ambao walikuwa marais au ambao hawajawa marais?

Katika kulinganisha vitu, kanuni moja ya muhimu ni kulinganisha vitu vinavyolinganishika.

Don't compare apples to oranges.
 
Huyo jamaa unayemtetea kazima ndoto za vijana wengi sana Tanzania kuliko hata unavyofikiri , hakika kifo chake kimerudisha matumaini kwa vijana wengi wa nchi hiii najua hutokubaliana na mimi lakin ndyo ukweli huo.
Ukweli mchungu
 
Pengine upo sawa kuwa 100,000/= inaweza tosha kuanzisha biashara japo sina uwakika unless you tell me they kind of bussiness that can be established with only 100,000/= but on top of that huyo jamaa ndyo alitengeneza majobless wengi ambayo ili wabidi wa forgone elimu zao then wakaanzishe hizo biashara ambazo mtaji wake ni tsh 100,000/=.
Bro, they don't know what you mean, yaan jamaa aliua ndoto za vijana wengi mno, watu wakakimbilia umachinga ili ku survival
 
Bro, they don't know what you mean, yaan jamaa aliua ndoto za vijana wengi mno, watu wakakimbilia umachinga ili ku survival
Sasa hapa anajaribu kumbrush ilianokane yupo safi , machungu na mateso aliyoyasababisha kwa hawa vijana kwame hayawezi kufutika tisa kumi hawana pakuyasema haya ,hata wakipata nafasi hawana wakuwasikiliza basi wanayaifadhi tu moyoni , a lots of graduate wapo kitaa wanatukanwa , wanasemwa vibaya hii yote ni kutoka na huyo jamaa kuua mfumo mzuri wa elimu uliokuwepo na kutengeza omba omba ,bodaboda na malaya wenye Elimu .
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Umpende na Goddess Lema sasa.
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Moja kati ya kumbukumbu alizoacha ni hii hapa.
screenshot_20230316-012242-jpg.2553815
 
Kesho dunia inaazimisha miaka miwili ya kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 nchini Tanzania.

Nimewasili Chato, Mkoani Geita. Kwenda kuweka maua kwenye kaburi la Hayati Magufuli kama njia mojawapo ya kumuenzi yale yote mazuri aliyofanya akiwa hai.

Je, wewe umepanga kufanya jambo gani ili kuazimisha miaka miwili ya kifo cha Magufuli?
 
Alikuwa mkatoliki, atakuwa toharani sasa, kwa imani ya kikatoliki hata marehemu wanaweza kuombewa wasamehewe dhambi zao, basi nami nitamuombea asamehewe kama alikufa pasipo kutubu.

Kumsema vibaya naona sasa kumekuwa kama kilevi kwa wengine, wanaona kama vile wao watapata utakatifu kwa kumsema vibaya Magufuli.
 
Back
Top Bottom