Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Psychopath
 
Askofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?

Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?

Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
Screenshot_20230324-180841.png
Screenshot_20230324-180824.png

 
Askofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?

Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?

Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
View attachment 2564018View attachment 2564019
View attachment 2564015
Wewe ni nani? Wewe ndo shetani uliyemuuwa Magufuli?
 
Askofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?

Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?

Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
View attachment 2564018View attachment 2564019
View attachment 2564015
Sisi waafrika akili zetu twajifahamu wenyewe.

Ujinga wetu ni pale tunapoingiza siasa makanisani.

Matokeo yake huwa ni gharika.
 
Magu alikuwa Nabii.

Wakati kakobe na wenzie wamejificha na kuvaa barakoa, kuogopa corona.

Jembe likitokea hadharani kuwaelekeza wananchi ktk IBADA wafunge na kuomba.

Mungu wa Magu ndiye aliyeinusuru Dunia na tauni ya corona.

Amen
 
Askofu Kakobe alimtaka Magufuli akatubu ili Mungu amsamehe. Alimuambia atubu sababu Magufuli alikuwa hafuati Sheria za Nchi. Kakobe alimwambia, CCM mpo wengi Bungeni, si mbadilishe tu katiba iwe ya chama kimoja kama hamtaki vyama vingi?

Kakobe akisema hata Mungu anatukanwa itakuwa wewe ndo usitukanwe wewe ni nani?

Je, Magufuli angetubu ili asife angepungukiwa nini?
View attachment 2564018View attachment 2564019
View attachment 2564015
MAGUFULI alijiona ni Mungu hivyo haikuwa Rahisi kwake Kutubu
 
Back
Top Bottom