Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣mzee wetu yupo kitengo sasa. Chura ukimpiga teke unamuongezea mwendoGily niitie Dad wao ni wao 😂 aje atuambie atamkumbuka hayati kwa lipi.
Leta ushahidi jinsi gani aliwachukia wachagaALIWACHUKIA SANA WACHAGA, Alikuwa akisikia china la kichaga ni lazima aliassociate na wizi
😂🤣🙌 Gily Mwambie Baba wao ni wao nampenda sana Yaani namkubali.🤣🤣🤣mzee wetu yupo kitengo sasa. Chura ukimpiga teke unamuongezea mwendo
wao ni wao sop mwakyembe kwel hapana atakuwa makongoro nyerere🤣ila hapana mbona makongoro mbunge
Kuwa ni mtu MWOVU kuwahi kutokeaacheni wajifurahishe ,waacheni wajifariji Ila nafsi zao ,zinawashuhudia ya kuwa ile ikulu ya chamwino bila jpm isingekuwa na isingekengwa.
mzee mwinyi (pokea heshima zako nyingi) huyu mzee pamoja na busara nyingi alizojaaliwa na Allah lkn inshu ya ujenzi wa ikulu ya chamwino ulimshinda.
Akaja JK akashindwa Tena huyu dk ya 15 tu ya kipindi Cha kwanza.
Mzee mkapa pia ,hola. Akaja Jpm akakomaa ikulu ndo hiyo mnaiona ,japo kwa Sasa nashangaa hata viongozi fulani fulani kwenye uzinduzi bila aibu hata kulitaja tu jina la JPM ikawa tabu ,lkn ukiangalia nafsini mwao wanatamani kumtaja lkn Kuna external force inawaziba midomo.zibweni midomo ,pua na macho ,lkn watz tunajua bila jpm ikulu ya chamwino isingekuwepo Kama ilivyo Sasa.
shukrani pia zimfikie SSH ,kwa kukaza na kutowasikiliza wale wahuni ambao ,walitaka kukushawishi uachane na project ya kuijenga ikulu ya makao makuu ya nchi (ikulu ya chamwino) ,kwa msimamo huo nakupa congelee zako ,nakupa na maua yakutosha .
Huna haja ya kulia kwani alimaliza safari yake. Acha apumzike. Acha kulia. Kwani, hatarudi. Mlilie Samia anayewachuuza kila uchao. Magufuli hatarudi tena. Walilie na wale waliokufa tokana na kuuawa na watu wasiojulikana pia.Mpendwa wetu Magufuli fanya urudi baba wanao tunateseka sana we miss you our beloved President.
Mwenzenu nalia kila mara nikiitizama hii picha.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2653095
Unalia mara kwa mara kwa sababu tu ya hii picha, au una matatizo yako mengine? Wewe ni Ke, au ni Me?Mpendwa wetu Magufuli fanya urudi baba wanao tunateseka sana we miss you our beloved President.
Mwenzenu nalia kila mara nikiitizama hii picha.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2653095
Sasa si ukazikwe naye?Mpendwa wetu Magufuli fanya urudi baba wanao tunateseka sana we miss you our beloved President.
Mwenzenu nalia kila mara nikiitizama hii picha.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2653095