Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Haikuwa bahati yako utawala ulee,, kuna watu kibao walipata ajira kipindi hicho,, JWTZ, TISS, TAKUKURU, ELIMU, AFYA, POLISI nk

Mm nina madogo kibao wameajiriwa utawala ule japo na waliofutwa kazi kwa uzembe wao pia wapo ila siwezi kulaumu
Kwanza kipindi Cha jpm, jwtz eti mpaka upitie jkt wakati kipindi Cha jk hizo mambo hazikuwepo kabisa. Jwtz ilikuwa ni wito ambao ukiwa nao unaenda moja kwa moja bila Kona Kona jpm akaja kuharibu ikawa ngumu sana. Tiss akaja wasukuma kibao na ukabila na uccm ukawa ni tiketi ya kupata ajira. Kila kijana akawa anasaka kadi ya ccm ili angalau abahatishe bahati yake. But all ni all ajira was a disasaster during jpm's regime
 
Ukutaka kujua Watanzania ni wajingawajinga kiasi gani, soma mada na comments zao nyingi.........kama mazobaaaa!!!

Eti mzee wa vietii nae shujaa leo, 🤣🤣🤣🤣
 
Zawadi tuliyoipoteza.
Kichaa yule Bora tulimleftisha mna nchi ingekuwa kwenye Lindi la umaskini mpaka Sasa na machinga wangekuwa wengi barabarani tena wasomi. Kwa Sasa kila msomi ana ajira yenye staha hakuna msomi barabarani tena
 
Mkuu mimi ni mtu mzima lakini machozi yananilenga nikiangalia clip ya JPM.

Naikumbuka sana kauli yake ya "Msema kweli mpenzi wa Mungu", na "Mimi nawaambia ukweli ndugu zangu, mimi ndio rais, siri zote nazijua, hakuna mtu mwingine atawaambieni ukweli, nchi hii imechezewa sana"
Hiyo TAKATAKA inakumbukwa na wajinga tu.
Very unfortunate nation. Yaani ukitaka kujua kuwa Magufuli alikuwa mtu wa HOVYO angalia watu ambao aliwakumbatia kama wasaidizi wa karibu.

1. Daud Bashite aka Makonda
2. Lengai Ole Sabaya
3. Mrisho Gambo

Hiyo mijitu yote ni takataka, miuaji, mijitu ya unyang'anyi na iliyokosa maadili. Still wapumbavu bado wanamuita Magufuli shujaa wao
 
Kichaa yule Bora tulimleftisha mna nchi ingekuwa kwenye Lindi la umaskini mpaka Sasa na machinga wangekuwa wengi barabarani tena wasomi. Kwa Sasa kila msomi ana ajira yenye staha hakuna msomi barabarani tena
Ila ukweli unaujua nafsini mwako, JPM pampja na mapungufu yake Mali zetu katetea kwa kadiri ya uwezo wake. Ukizungumzia swala la ajira na vipato vya watu kina mazingira lazma tufunge mkanda tusonge mbele as you ulivyokuwa Ching's kupata mkate na ulichonacho SASA haiimanishi uchumi WA watu wote umeimarika katika uongozi huu.
 
Ndo
Ila ukweli unaujua nafsini mwako, JPM pampja na mapungufu yake Mali zetu katetea kwa kadiri ya uwezo wake. Ukizungumzia swala la ajira na vipato vya watu kina mazingira lazma tufunge mkanda tusonge mbele as you ulivyokuwa Ching's kupata mkate na ulichonacho SASA haiimanishi uchumi WA watu wote umeimarika katika uongozi huu.
Kufunga mikanda ilikuwa ujinga wa jpm ndo mana Samia amekuja kumproove wrong kwa kuwaletea ahueni vijana badala ya kutembeza nguo na vyombo barabari na degree zao. Hayo tuwaachie darasa la saba
 
Hiyo TAKATAKA inakumbukwa na wajinga tu.
Very unfortunate nation. Yaani ukitaka kujua kuwa Magufuli alikuwa mtu wa HOVYO angalia watu ambao aliwakumbatia kama wasaidizi wa karibu.

1. Daud Bashite aka Makonda
2. Lengai Ole Sabaya
3. Mrisho Gambo

Hiyo mijitu yote ni takataka, miuaji, mijitu ya unyang'anyi na iliyokosa maadili. Still wapumbavu bado wanamuita Magufuli shujaa wao
Mbona baadhi Yao mnao mpaka Leo kwenye uongozi huu? Taka zao hamzioni au utaka wao unawafaa kwa sasa?
 
Y

Yule mwehu aliyeua uchumi nani amkumbuke. Hakuamini katika ajira za vijana kabisa ndoa zikaanza kusambaratika na ndoto za watu hasa graduates zikapotea kabisa. Mama anarudisha ndoto zao taratibu na kwa kuanzia tu tayari kaajiri walimu na madaktari elfu 13 na kila ukikatiza Sasa hivi kila Kona Kuna ajira zinamwagwa tu
Wewe ni taahira
 
Ndo

Kufunga mikanda ilikuwa ujinga wa jpm ndo mana Samia amekuja kumproove wrong kwa kuwaletea ahueni vijana badala ya kutembeza nguo na vyombo barabari na degree zao. Hayo tuwaachie darasa la saba
Watembeza nguo na Vyombo wameisha? Hao la Saba hawaihitaji maisha Bora na miundo mbinu mizuri na viongozi wenye kuthamini resources zao for betterment future generation of those so called la Saba?
 
IMG-20220725-WA0016.jpg
 
Watembeza nguo na Vyombo wameisha? Hao la Saba hawaihitaji maisha Bora na miundo mbinu mizuri na viongozi wenye kuthamini resources zao for betterment future of those so called la Saba?
Darasa la saba hizo kazi zao. Sisi wasomi hatukusonea kushinda na vyombo barabarani. Kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Hiyo TAKATAKA inakumbukwa na wajinga tu.
Very unfortunate nation. Yaani ukitaka kujua kuwa Magufuli alikuwa mtu wa HOVYO angalia watu ambao aliwakumbatia kama wasaidizi wa karibu.

1. Daud Bashite aka Makonda
2. Lengai Ole Sabaya
3. Mrisho Gambo

Hiyo mijitu yote ni takataka, miuaji, mijitu ya unyang'anyi na iliyokosa maadili. Still wapumbavu bado wanamuita Magufuli shujaa wao
Takataka ni wewe na wazazi wako!

Ndio maana Samia akingalia watu wenye akili mavi kama wewe anaishia kuwauza kwa warabu tu!

Ngoja waarabu watawale mtapigwa mtungo hadi mkome
 
Uchafu wa Mrisho unamfanya Benja aonekane Msafi...., Halikadhalika kwa Hassan na John.....
 
Ndo

Kufunga mikanda ilikuwa ujinga wa jpm ndo mana Samia amekuja kumproove wrong kwa kuwaletea ahueni vijana badala ya kutembeza nguo na vyombo barabari na degree zao. Hayo tuwaachie darasa la saba
Una takwimu zozote kwa hili usemalo bro? Ahueni ipi hiyo?
 
U
Takataka ni wewe na wazazi wako!

Ndio maana Samia akingalia watu wenye akili mavi kama wewe anaishia kuwauza kwa warabu tu!

Ngoja waarabu watawale mtapigwa mtungo hadi mkome
Ukitaka kula kubaki kuliwa pia. Hii ndo principal ya maisha. Ukiogopa kuliwa utakufa maskini kwa ujinga wako. Jpm alikuwa anawajaza ujinga ndo maana maskini walikuwa wanaongea kila uchwao na yeye anawaambia eti. Umaskini ndo uzalendo wenyewe. Fala yule
 
Kichaa yule Bora tulimleftisha mna nchi ingekuwa kwenye Lindi la umaskini mpaka Sasa na machinga wangekuwa wengi barabarani tena wasomi. Kwa Sasa kila msomi ana ajira yenye staha hakuna msomi barabarani tena
Itakua ulifeli fom foo kama huyu wa sasa aliyewatetea vyeti feki.
 
Back
Top Bottom