Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishasahau naye alikuwa mwalimu mtumishi wa ummaAlisema ataongeza na kupandisha mishara akikaribia kutoka madarakani. Alisahau mwanadamu anapanga na Mungu anaamua.
Lakini alidhibiti gharama za maisha na hapakuwa na tozoKuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika.
Mimi siko kwenye hiyo departmentWeka maelezo hatuna bundle la kutosha mifukoni kumepauka
Akili za watanzania utazijua tu! sasa hili nlao umeamka nalo. Mfuate shetani maguuli hguko al;iko akupe ukatibu mwenezi wa CCMShujaa Magufuli amelala hawezi kujitetea kwa lolote lakini Mungu wa mbinguni anamtetea Sawasawa na Exodus 14:14
Sisi tuliomkubali Shujaa Magufuli kwa kazi zake na kuyavumilia mapungufu yake ya kibinadamu tunamshukuru sana Mungu wa mbinguni kwa zawadi ile ya Mtu yule John Pombe Joseph Magufuli
Na tutazidi kumshukuru Mungu wa mbinguni kwa kila udhihirisho atakaotuletea wa Nia Njema iliyojaa Moyoni mwake Shujaa Magufuli
Amen.
Mungu wa mbinguni awabariki π
Zile kauli hazikuwa za CDM, ni kwamba kuna mtu wake wa karibu alishaanza kumnanga, jamii ikahoji na wewe tena unamsema vibaya kaka yako? Ndipo akashtuka, ili kuufikisha ujumbe aliokusudia ikabidi awapenyezee hao unaowalaumu wauseme na wala yeye hakusimama kuwaambia semeni mengine ila mwacheni kaka yangu apumzikeShujaa Magufuli amelala hawezi kujitetea kwa lolote lakini Mungu wa mbinguni anamtetea Sawasawa na Exodus 14:14
Sisi tuliomkubali Shujaa Magufuli kwa kazi zake na kuyavumilia mapungufu yake ya kibinadamu tunamshukuru sana Mungu wa mbinguni kwa zawadi ile ya Mtu yule John Pombe Joseph Magufuli
Na tutazidi kumshukuru Mungu wa mbinguni kwa kila udhihirisho atakaotuletea wa Nia Njema iliyojaa Moyoni mwake Shujaa Magufuli
Amen.
Mungu wa mbinguni awabariki π
Ni kweli wameishiwa pumzi kabisa.Shujaa Magufuli amelala hawezi kujitetea kwa lolote lakini Mungu wa mbinguni anamtetea Sawasawa na Exodus 14:14
Sisi tuliomkubali Shujaa Magufuli kwa kazi zake na kuyavumilia mapungufu yake ya kibinadamu tunamshukuru sana Mungu wa mbinguni kwa zawadi ile ya Mtu yule John Pombe Joseph Magufuli
Na tutazidi kumshukuru Mungu wa mbinguni kwa kila udhihirisho atakaotuletea wa Nia Njema iliyojaa Moyoni mwake Shujaa Magufuli
Amen.
Mungu wa mbinguni awabariki π
MAGUFULI ATASIMANGWA MILELE LABDA AFUFUKEEShujaa Magufuli amelala hawezi kujitetea kwa lolote lakini Mungu wa mbinguni anamtetea Sawasawa na Exodus 14:14
Sisi tuliomkubali Shujaa Magufuli kwa kazi zake na kuyavumilia mapungufu yake ya kibinadamu tunamshukuru sana Mungu wa mbinguni kwa zawadi ile ya Mtu yule John Pombe Joseph Magufuli
Na tutazidi kumshukuru Mungu wa mbinguni kwa kila udhihirisho atakaotuletea wa Nia Njema iliyojaa Moyoni mwake Shujaa Magufuli
Amen.
Mungu wa mbinguni awabariki [emoji3]