Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Endapo Magufuli angetawala hadi 2025 au 2030 kama ilivyokuwa ikitamkwa na wapambe wake wa kisiasa, bhasi Watanzania walikuwa wanapelekwa kuzimu.

Hebu fikiria Magufuli katawala miaka 6.

1. Miaka 6 Hakuna mtumishi yeyote alopata hata shilingi ya nyongeza ya mshahara ilihali gharama za maisha zilikuwa zinapanda kila uchwao

2. Miaka 6 Hakuna watumishi walopandishwa vyeo

3. Miaka 6 hakuna ajira mpya kwa graduates ilihali wastaafu waliongezeka na upungufu wa watumishi ulikuwa mkubwa

4. Makampuni kufunga biashara Tanzania na kuhamia nchi zingine ilianza kuwa jambo la kawaida

5. Watanzania kukimbia nchi yao ikawa kawaida, wapinzani wakaminywa pumzi na hakuna alohema

6. Uhuru wa vyombo vya habari tayari ulishanusa kuzimu, baadhi ya vyombo vikafungiwa na wanahabari wengine wapo kuzimu hadi leo

7. Hakuna project yeyote ya binafsi iliendelea kipindi cha magufuli, hata kujenga nyumba watu waliacha kama sio kuogopa, hakuna hata kituo cha mafuta kilidiriki kufunguliwa ispokuwa puma.

Kama sio kuzimu Magufuli alikuwa anatupeleka wapi???
Umenikumbusha kuhusu watu kuondoka mjini yaani kukimbia mjini
 
Endapo Magufuli angetawala hadi 2025 au 2030 kama ilivyokuwa ikitamkwa na wapambe wake wa kisiasa, bhasi Watanzania walikuwa wanapelekwa kuzimu.

Hebu fikiria Magufuli katawala miaka 6.

1. Miaka 6 Hakuna mtumishi yeyote alopata hata shilingi ya nyongeza ya mshahara ilihali gharama za maisha zilikuwa zinapanda kila uchwao

2. Miaka 6 Hakuna watumishi walopandishwa vyeo

3. Miaka 6 hakuna ajira mpya kwa graduates ilihali wastaafu waliongezeka na upungufu wa watumishi ulikuwa mkubwa

4. Makampuni kufunga biashara Tanzania na kuhamia nchi zingine ilianza kuwa jambo la kawaida

5. Watanzania kukimbia nchi yao ikawa kawaida, wapinzani wakaminywa pumzi na hakuna alohema

6. Uhuru wa vyombo vya habari tayari ulishanusa kuzimu, baadhi ya vyombo vikafungiwa na wanahabari wengine wapo kuzimu hadi leo

7. Hakuna project yeyote ya binafsi iliendelea kipindi cha magufuli, hata kujenga nyumba watu waliacha kama sio kuogopa, hakuna hata kituo cha mafuta kilidiriki kufunguliwa ispokuwa puma.

Kama sio kuzimu Magufuli alikuwa anatupeleka wapi???
Hivi unajua ulichoandika?
 
Ni kweli wezi na mafisadi mlikua mnakwenda kuzimu sasa mnajiachia tu kuiba kama kawaida yenu.
 
Endapo Magufuli angetawala hadi 2025 au 2030 kama ilivyokuwa ikitamkwa na wapambe wake wa kisiasa, bhasi Watanzania walikuwa wanapelekwa kuzimu.

Hebu fikiria Magufuli katawala miaka 6.

1. Miaka 6 Hakuna mtumishi yeyote alopata hata shilingi ya nyongeza ya mshahara ilihali gharama za maisha zilikuwa zinapanda kila uchwao

2. Miaka 6 Hakuna watumishi walopandishwa vyeo

3. Miaka 6 hakuna ajira mpya kwa graduates ilihali wastaafu waliongezeka na upungufu wa watumishi ulikuwa mkubwa

4. Makampuni kufunga biashara Tanzania na kuhamia nchi zingine ilianza kuwa jambo la kawaida

5. Watanzania kukimbia nchi yao ikawa kawaida, wapinzani wakaminywa pumzi na hakuna alohema

6. Uhuru wa vyombo vya habari tayari ulishanusa kuzimu, baadhi ya vyombo vikafungiwa na wanahabari wengine wapo kuzimu hadi leo

7. Hakuna project yeyote ya binafsi iliendelea kipindi cha magufuli, hata kujenga nyumba watu waliacha kama sio kuogopa, hakuna hata kituo cha mafuta kilidiriki kufunguliwa ispokuwa puma.

Kama sio kuzimu Magufuli alikuwa anatupeleka wapi???
Weee mwehu!
 
Endapo Magufuli angetawala hadi 2025 au 2030 kama ilivyokuwa ikitamkwa na wapambe wake wa kisiasa, bhasi Watanzania walikuwa wanapelekwa kuzimu.

Hebu fikiria Magufuli katawala miaka 6.

1. Miaka 6 Hakuna mtumishi yeyote alopata hata shilingi ya nyongeza ya mshahara ilihali gharama za maisha zilikuwa zinapanda kila uchwao

2. Miaka 6 Hakuna watumishi walopandishwa vyeo

3. Miaka 6 hakuna ajira mpya kwa graduates ilihali wastaafu waliongezeka na upungufu wa watumishi ulikuwa mkubwa

4. Makampuni kufunga biashara Tanzania na kuhamia nchi zingine ilianza kuwa jambo la kawaida

5. Watanzania kukimbia nchi yao ikawa kawaida, wapinzani wakaminywa pumzi na hakuna alohema

6. Uhuru wa vyombo vya habari tayari ulishanusa kuzimu, baadhi ya vyombo vikafungiwa na wanahabari wengine wapo kuzimu hadi leo

7. Hakuna project yeyote ya binafsi iliendelea kipindi cha magufuli, hata kujenga nyumba watu waliacha kama sio kuogopa, hakuna hata kituo cha mafuta kilidiriki kufunguliwa ispokuwa puma.

Kama sio kuzimu Magufuli alikuwa anatupeleka wapi???
Utaongea mengi kama mwanadam ila Hayati alisema Mtamkumbuka yaani mpaka na Lisu pamoja na zile risasi anamkumbuka kwa mema sio mabaya maana yake nini nawewe humu utamkumbuka hakuna siasa za vyama vingi kakojowe kalale ccm mbele kwa mbele aka chama dola
 
Nauliza tu Kwa sababu kila mmoja anasema lake

Ni Kweli sasa watu wengi Wana fedha na mahekalu yanajengwa kila kona

Lakini ni ukweli pia Viongozi Wote Wakuu wanalalamika Kodi kuingia kwenye mifuko ya watu binafsi, Fedha za tumbaku kuliwa na Watumishi wa Halmashauri kufuja Fedha za Umma

Tatizo ni nini hasa? 🐼

Chadema mlale Unono 😀
 
Nauliza tu Kwa sababu kila mmoja anasema lake

Ni Kweli sasa watu wengi Wana fedha na mahekalu yanajengwa kila kona

Lakini ni ukweli pia Viongozi Wote Wakuu wanalalamika Kodi kuingia kwenye mifuko ya watu binafsi, Fedha za tumbaku kuliwa na Watumishi wa Halmashauri kufuja Fedha za Umma

Tatizo ni nini hasa? 🐼

Chadema mlale Unono 😀
Magufuli hakustahili kuwa rais. Hakunua ikulu yupo pale kufanya nini ndo mana alikuwa anapuyanga kila kitu. Thanks mama kumproove wrong
 
Laiti ungejua hali ya uchumi saiz kuwa ni ngumu zaid ya awamu zote usingeandika haya
 
Jemedari alikuwa KIBOKO YA WEZI, MAFISADI, WALAFI, WAROHO, MIJIZI nk nk nk
 
Nauliza tu Kwa sababu kila mmoja anasema lake

Ni Kweli sasa watu wengi Wana fedha na mahekalu yanajengwa kila kona

Lakini ni ukweli pia Viongozi Wote Wakuu wanalalamika Kodi kuingia kwenye mifuko ya watu binafsi, Fedha za tumbaku kuliwa na Watumishi wa Halmashauri kufuja Fedha za Umma

Tatizo ni nini hasa? [emoji209]

Chadema mlale Unono [emoji3]
Wezi wako kila sehemu, hata humu wapo,sema mkono wa sheria ukikukamata unaiba usiseme tu mbona flani nae anafanya kama mimi!? Za mwizi ni 40 wwe pambana na Jinai yako!!
 
Magufuli hakustahili kuwa rais. Hakunua ikulu yupo pale kufanya nini ndo mana alikuwa anapuyanga kila kitu. Thanks mama kumproove wrong
Tupe chanzo cha mapato yako!ujuwe Mungu ana kuona!!
 
20240929_170116.jpg
 
Back
Top Bottom