Uchaguzi 2020 Je, utampa Magufuli kura yako uchaguzi ujao?

Uchaguzi 2020 Je, utampa Magufuli kura yako uchaguzi ujao?

Kama wanaibaga kura zilizoharibika wajiandae kuchukua yangu

BIG NO.
 
Umegundua kuwa wakiwamo kina askofu Niwemugizi, Zitto, askofu Bagonza nk tunataka chakula cha bure? Looh! Utakuwa unajitambua wewe?

Usisahau kuja kufuta bandiko lako hili la kijinga jinga, tusubiri ugonjwa uchanganye. Mkiambiwa ugonjwa utachanganya mnakuja tena kijinga jinga mkidai tunaombea ugonjwa uwe mkubwa.

Wajinga wakubwa nyie ugonjwa utaacha kuwa mkubwa kwa kutokuwa na hatua madhubuti za kuudhibiti? Mnapanda bangi kisha mnataka kuvuna maharage?

Mnalipwa pesa ngapi kuunga mkono huu upuuzi wa kuwa mnapuliziwa virus vya Corona na mabeberu kwa sababu wanataka kuwakwamisha? Wawakwamishe kitu gani? Mbona kujimwambafai kijinga mno?

Elimu zenu ndiyo hizi za ma PhD ambazo hata mmasai asiye soma ana nafuu?

Wakuu upuuzi wenu una kera na hatutawaacha kutuletea vifo tukiangalia kama wana kondoo wapelekwao machinjoni.
Povu kuubwa kisa ni kuwa; Hutaki kumsikia maneno yake ya hekima. Sawa tu ila kishasema. We baki kupopoma JF ila keshasema nayo imekuwa. Ati ngoja ugonjwa uchanganye; maneno ka haya nayo unaona kuwa ni hekima?? Pole sana. Tuseme vikichanganya weye utakuwa Akhera madukani au??
Punguani huonekana mapema kabisaaaaa. Ombea sana uchanganye ili upate cha kumlaumu JPM. Weye utabaki??
 
Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.

Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!

Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Hastahili kupata kura hata moja
 
Povu kuubwa kisa ni kuwa; Hutaki kumsikia maneno yake ya hekima. Sawa tu ila kishasema. We baki kupopoma JF ila keshasema nayo imekuwa. Ati ngoja ugonjwa uchanganye; maneno ka haya nayo unaona kuwa ni hekima?? Pole sana. Tuseme vikichanganya weye utakuwa Akhera madukani au??
Punguani huonekana mapema kabisaaaaa. Ombea sana uchanganye ili upate cha kumlaumu JPM. Weye utabaki??

Huo ndiyo ukweli mwenyewe. Ukipenda ukweli mchungu.

Unakata mti upande ambao tumekalia sote. tawi litakapo anguka tutaanguka sote. Unaambiwa tutaanguka mkuu acha hiyo kitu, wewe unasema tunakuchulia?

Dude kila mtu unaambiwa mgonjwa hadi kufa au kupona kwa ureja reje uliopo hapa kwetu anaambukiza watu kama 90 kwa wastani. Hao 90 watakuwa na 90, 90 wao nk. Halafu bado hutaki kuona kuwa ni wazi hili litachanganya? Kutokuona kwako hivyo ndiyo ambayo wewe una iona kuwa hekima kweli kweli?

Haya basi furahini tuwaambie ile lugha mnapenda kusikia:

"Sawa watoto wazuri eeh ugonjwa unapungua na unaelekea kwisha eeh maana mna mikakati sana eeeh. Maombi yamejibiwa na ugonjwa umekwisha kabisa. Covid-19 amekemewa na amelegea".

Umefurahi sasa? Rudini mkafungue na mashule.

Nimesahau kitu kimoja. Tena mna hekima kweli kweli na hasa JPM. Akawasaidie na Uganda waachane na hii lockdown yeye ana dawa ya kufukiza wasiwe na hofu ambayo ni maneno ya hekima kabisa.

Vipi hapo mkuu. Umefurahi sasa eeh?

Ama kweli majinga ndiyo yaliwao.
 
Mkuu wewe huna tofauti ni nyani. Huo ndiyo ukweli mwenyewe. Ukipenda ukweli mchungu.

Manyani hucheka wenzao kwa kudhani wao wako vizuri kuliko wenzao.
Tutaitana kila jina ila kwa sababu ya hasira na povu huwezi ona unachoacha kukiona. Hivyo sina haja ya kubishana ni mwendawazimu. Najiuliza; Hivi kikichanganya ka unavyo taka tuamini, Mwenzetu weye utakuwa wapi?? Majirani weshafunga mipaka yao. Upo Tz au ulishajiondokea na sasa unaandika ukiwa machimboni??
Weye ni hasara tu sio vinginevyo
 
Tutaitana kila jina ila kwa sababu ya hasira na povu huwezi ona unachoacha kukiona. Hivyo sina haja ya kubishana ni mwendawazimu. Najiuliza; Hivi kikichanganya ka unavyo taka tuamini, Mwenzetu weye utakuwa wapi?? Majirani weshafunga mipaka yao. Upo Tz au ulishajiondokea na sasa unaandika ukiwa machimboni??
Weye ni hasara tu sio vinginevyo

Wewe ndiyo faida unayekata mti tunakwambia tutaanguka wote tumekaa kwenye tawi hilo?

Wewe ndiyo mwenye akili timamu?

Mkuu nyani haoni kundule jitathmini.

Wala usidhani kuwa miye nina muda wa kubishana na mwenda wazimu wewe.

Wewe na povu lako kaa nalo. Huna lolote. Bure kabisa. Eti wewe ndiyo faida? Kama wewe ni faida then hakuna kitu kama hasara.
 
Nitampa Anko Magu "Kama Tu Kichwa chenye akili Sana Tz" Mheshimiwa Lissu Msomi mwenye akili nyingi kunikaribia Mimi Kama hatakuwapo kwenye kinyang'anyiro hicho, Kama akiwepo basi kura yangu Ni kwa Lissu, mke wangu kura yake kwa Lissu, mama, baba, familia yote kura Ni kwa Lissu
 
Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.

Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!

Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
YAANI HAINIINGII KICHWANI KABISA MZEE!! NAANZA ANZAJE KWANZA KUMPA KURA HUYU!!
 
Back
Top Bottom