Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Povu kuubwa kisa ni kuwa; Hutaki kumsikia maneno yake ya hekima. Sawa tu ila kishasema. We baki kupopoma JF ila keshasema nayo imekuwa. Ati ngoja ugonjwa uchanganye; maneno ka haya nayo unaona kuwa ni hekima?? Pole sana. Tuseme vikichanganya weye utakuwa Akhera madukani au??Umegundua kuwa wakiwamo kina askofu Niwemugizi, Zitto, askofu Bagonza nk tunataka chakula cha bure? Looh! Utakuwa unajitambua wewe?
Usisahau kuja kufuta bandiko lako hili la kijinga jinga, tusubiri ugonjwa uchanganye. Mkiambiwa ugonjwa utachanganya mnakuja tena kijinga jinga mkidai tunaombea ugonjwa uwe mkubwa.
Wajinga wakubwa nyie ugonjwa utaacha kuwa mkubwa kwa kutokuwa na hatua madhubuti za kuudhibiti? Mnapanda bangi kisha mnataka kuvuna maharage?
Mnalipwa pesa ngapi kuunga mkono huu upuuzi wa kuwa mnapuliziwa virus vya Corona na mabeberu kwa sababu wanataka kuwakwamisha? Wawakwamishe kitu gani? Mbona kujimwambafai kijinga mno?
Elimu zenu ndiyo hizi za ma PhD ambazo hata mmasai asiye soma ana nafuu?
Wakuu upuuzi wenu una kera na hatutawaacha kutuletea vifo tukiangalia kama wana kondoo wapelekwao machinjoni.
Ndio tena na familia yanguHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Hastahili kupata kura hata mojaHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Povu kuubwa kisa ni kuwa; Hutaki kumsikia maneno yake ya hekima. Sawa tu ila kishasema. We baki kupopoma JF ila keshasema nayo imekuwa. Ati ngoja ugonjwa uchanganye; maneno ka haya nayo unaona kuwa ni hekima?? Pole sana. Tuseme vikichanganya weye utakuwa Akhera madukani au??
Punguani huonekana mapema kabisaaaaa. Ombea sana uchanganye ili upate cha kumlaumu JPM. Weye utabaki??
Tutaitana kila jina ila kwa sababu ya hasira na povu huwezi ona unachoacha kukiona. Hivyo sina haja ya kubishana ni mwendawazimu. Najiuliza; Hivi kikichanganya ka unavyo taka tuamini, Mwenzetu weye utakuwa wapi?? Majirani weshafunga mipaka yao. Upo Tz au ulishajiondokea na sasa unaandika ukiwa machimboni??Mkuu wewe huna tofauti ni nyani. Huo ndiyo ukweli mwenyewe. Ukipenda ukweli mchungu.
Manyani hucheka wenzao kwa kudhani wao wako vizuri kuliko wenzao.
Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Tutaitana kila jina ila kwa sababu ya hasira na povu huwezi ona unachoacha kukiona. Hivyo sina haja ya kubishana ni mwendawazimu. Najiuliza; Hivi kikichanganya ka unavyo taka tuamini, Mwenzetu weye utakuwa wapi?? Majirani weshafunga mipaka yao. Upo Tz au ulishajiondokea na sasa unaandika ukiwa machimboni??
Weye ni hasara tu sio vinginevyo
YAANI HAINIINGII KICHWANI KABISA MZEE!! NAANZA ANZAJE KWANZA KUMPA KURA HUYU!!Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Hapana kaa hujampa hujampa tuNisipompa lakini wakachukua nako pia nitakuwa nimempa?