King klax
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 4,307
- 2,754
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu atusaidie watanzania ili tujue kuwa bila maisha na uhai.,mandege,maflyover,mabarabara na madaraja hayana maana.then wafanye uchaguzi sahihi na wawe na ujasri wa kutetea maamuzi yao.Huyu Mungu wanayemuomba aiepushe Tanzania na corona ni huyo huyo atayewakinga na ghathabu za huyu mtu anayeharibu maisha yetu na nchi yetuMtu mcha Mungu kama yeye bila shaka atausikia na kuuona ushauri wako maridhawa!
Unategemea muujiza nyakati hizi utokee mkuu 'Sijjijui'!
Yeye atakwambia Mungu kamsukumiza akawatawale waTanzania watake wasitake ili awaletee maendeleo barabara, reli, ndege na mavitu chungu nzima..., akishasema haya, kampeni imekwisha.
Kwani wewe ni kijana?Mtaji mkubwa wa ccm ni wazee nawashangaa wameleta corona ili iangamize wazee
Sasa ngoja wazee waishe na corona tubaki vijana watupu tuwafundishe adabu mwezi October
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti apewe nani? Magufuli ndo mungu wenu, damned MATAGA, kuna watu wengi hata ndani ya CCM wanafaa kuwa Rais na siyo MagufuliWeka mbadala sasa, kama hapewi anpewe nani? Au kura iharibike tu?
YES! YES! YES! YES! YES! YES! YES!Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Wataje.Eti apewe nani? Magufuli ndo mungu wenu, damned MATAGA, kuna watu wengi hata ndani ya CCM wanafaa kuwa Rais na siyo Magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusisingizie corona......huyu mhutu alishasindwa miaka mitano imekua ya kuharibu nchi......Yaani Janga la Dunia la CORONA ambalo limewashinda hata Marais wanaosifika Duniani ndiyo leo hii lifanye Rais Dkt. Magufuli hafai? Sasa naanza Kuamini kuwa Great Thinkers wameshapungua nchini Tanzania.
Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Mnapigana na nani kamanda?Big no,siwezi kumpa kura mtu aliyekimbia vita!
Magu amejenga barabara ipi miaka hii mitano, ukiacha za mijiniMimi mke wangu chadema damu, anasema safari hii ni T2020 JPM, kijijini kwao kwenda ni mkeka tu na maji na umeme umefika sasa. Humuelezi kitu sasa hivi, hivyo hakijaaribika kitu. Wanapisha barabarani wako anaenda huku wangu anaenda huku.
Jembe la waTZ in hideoutsGood. Mie nitapiga kura ya ndio saa tatu asubuhi kwa Jembe la waTz JPM.