Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Hujui tuko vitani dhidi ya Corona?Mnapigana na nani kamanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui tuko vitani dhidi ya Corona?Mnapigana na nani kamanda?
Mimi nitampaNadhani hata yeye mwenyewe hatojipa kura.
Mpe,ila yeye mwenyewe hatojipa.Mimi nitampa
Una ubavu lakini? au unataka kupotezwa na watu wasiojulikana[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa hali hii ujue anaweza kutuuza akakimbia na kitita..aloooo nitamtafuta popote alipo.
Fact[emoji3166]Yaani Janga la Dunia la CORONA ambalo limewashinda hata Marais wanaosifika Duniani ndiyo leo hii lifanye Rais Dkt. Magufuli hafai? Sasa naanza Kuamini kuwa Great Thinkers wameshapungua nchini Tanzania.
Kama kati yawatu wasiojulikana na mimi nimo je.😂😂😂😂😂😂Una ubavu lakini? au unataka kupotezwa na watu wasiojulikana[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Au sio?Nani atakaepinga maendeleo aliyoleta? Hakuna haja ya kura apite bila pingamizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa lockdown yao au nikiwa hapa nyumbani kwangu huru??
Usiogope kwani hao ndo walitakiwa waupate ili watutetee tupate msaada hata wa chakula cha lockdownCorona kaingia mpaka Bungeni BAADA ya KUSHINDWA KUZUIA MIKUSANYIKO ISIYOKUWA YA LAZIMA.
SASA KUCHAPA KAZI NI KUCHAPWA NA KAZI.
Acha uvivu mnataka chakula cha bure. Nenda chapa kaziNani anawadanganya? Huko maambukizi yamedhibitiwa. Rwanda na Uganda wamesha anza ku relax taratibu kali za lockdown kurudi kwenye maisha ya kawaida.
Rwanda na Uganda pia hadi sasa hawana vifo vya Corona.
Nani anawadanganya mnamwamini?
Hapo hapo nyumban kwako mkuu.Nikiwa lockdown yao au nikiwa hapa nyumbani kwangu huru??
Acha uvivu mnataka chakula cha bure. Nenda chapa kazi
Majukwaa ya kijamii yanatumiwa na watu wachache tabaka la wasomi na wenye nafuu ya maisha ambao kimsingi walio wengi hawaikubali ccm na viongozi wake kwa hiyo kutumia kipimo cha humu sio sahihiHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?