Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Kwa hiyo hata kura ya Bashite Magufuli hapati!IQup said:wasio mpa kura ni wale WEZI na WAPIGA DILI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hata kura ya Bashite Magufuli hapati!IQup said:wasio mpa kura ni wale WEZI na WAPIGA DILI
likiwekwa jiwe na yeye nahagua jiwe kwa maana ya jiweWeka mbadala sasa, kama hapewi anpewe nani? Au kura iharibike tu?
Taifa la kichwa chako litakuwa haliko sawa😂😂😂😂😂likiwekwa jiwe na yeye nahagua jiwe kwa maana ya jiwe
Hata kwa kulogwaHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Mimi nitampa 2025Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Tatizo linakuja umpe usimpe atatangazwa
Kura ni siri ya mtu,watakupiga pesa na kura watachagua wanapojua.Siku ya kupiga kura.naanzia baa nawachkua baa medi wote .napita kwa madem zangu wote nawapa buk 10 kumi nawambia mkiona john pombe magu weka tiki
Nitampa Magufuli kura yangu ya NDIOHabari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?
Simpi. Nitampigia yeyote atakayegombea upinzani ili kutounga kike kinachoobekana mwelekeo wa kuwa chama kimoja. Na kwa sababu hio hio nitampigia mgombea ubunge wa upinzani ili kuongeza wabunge wa upinzani bungeni.Nimejibu kwa mtindo wa swali kwa swali.
Unaweza vp kumpa kura nyoka?Habari za mda huu.
Corona ni hatari kufata taratibu zilizoweka na wizara ya afya kujilinda na kuwalinda tuwapendao.
Niende kwenye mada chap chap.
Kumpa kura yangu ni Big No!
Vipi wewe ndugu yangu utampa kura yako?