Acha kabisa man! Vyombo vimeng'aaView attachment 1056739
View attachment 1056740
Sie huku kila kitu tunatia ugumu...eehe uhuni ni uhuni tu.Kuna watu wanalawiti watu huko na wanavaa suti vizuri kweli.Ona hapo Mapambo ya dunia yalivyo pendeza.
Sasa hivyo ulivyovaa mkono wa kushoto ni vya nini honey
Henry Morton Stanley alitumwa na Newyork post kumtafuta Dr David's Livingstone akamkuta Ujiji mwaka 1871.Alivua kofia akasema Dr Livingstone I presume.Hata wazungu Wana utaratibu huo
Wa kuvua kofia kama kuonesha heshima!
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah ndio hasa navyopenda, i love jewelleries!Sasa hivyo ulivyovaa mkono wa kushoto ni vya nini honey
Kwan kuna ubaya wowote hapo?Sasa hivyo ulivyovaa mkono wa kushoto ni vya nini honey
Itabidi uchague kati ya jeweleries na mimi honeyHahah ndio hasa navyopenda, i love jewelleries!
HaupoKwan kuna ubaya wowote hapo?
Yeah nafikiri litakuwa swala mtambukaItabidi uchague kati ya jeweleries na mimi honey
View attachment 1056662
Ukiskia Cap ndio kama hii!
Daaah watu tunatofautiana mm hunikosi na bracelet na shingoni na naonekana wa heshma sjawahi hisiwa muhuni.Aisee...nilimkuta hubby naye anavaa cheni..alafu imagine ana manywele had shingoni..nikaitupaga..
Jamani tuseme ukwwl..mwanaume halisi namaanisha halishi aishie kuvaa saa na pete ya ndoa..mm men avae pete sio ya ndoa namuona km ametoka mombasa..nakua namgwaya...huyu wang ameanza kuvaa hizo culture .ina alama ya bendera nataka siku niivute paap ikatike ...uhuni sana..hyo demu anajielewa sana...!mwanaume utavaaje bracelete jamam..au upo under 20?
Mie kamba, bracelet, saa, pete! Hapo tu! Kofia sio kivile
Daaah watu tunatofautiana mm hunikosi na bracelet na shingoni na naonekana wa heshma sjawahi hisiwa muhuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28] huwa hana shida yule. Na pensi nayo usije iita uhuni pia.[emoji28][emoji28]Au la upunguze..hv mom hajawah kukuambia hii kitu kuwa ni uhuni?
hhahaa pensi napenda..napenda sana men avae pensi wknd...ila pensi zile nzito cadet...sio haya malaini km majezi yanakaa yanawachora tu πππππππππ[emoji28] huwa hana shida yule. Na pensi nayo usije iita uhuni pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sim yangu imegoma kuangalia Avatar za member[emoji28]hhahaa pensi napenda..napenda sana men avae pensi wknd...ila pensi zile nzito cadet...sio haya malaini km majezi yanakaa yanawachora tu [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]