Je, Viongozi hao kuhudhuria hafla za makanisani ni mpango wa kuwagawa wakristo kwa sababu ule upande wako pamoja kuhusu DP World?

Je, Viongozi hao kuhudhuria hafla za makanisani ni mpango wa kuwagawa wakristo kwa sababu ule upande wako pamoja kuhusu DP World?

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam JF,

Nichukue fursa hii kuhoji uwepo wa JKM kwenye hafla ya wasabato je yeye mwanasiasa alienda kufanya nini kwenye hafla ya dini ya wengine? Je, Huyo Rais wenu alienda makanisani kufanya nini?

Hii mbinu ya kudhani mtawagawa wakristo wakati nyie mmekula kiapo cha pamoja cha kuunga juhudi za kujinasibu na DP World.

Tunafahamu karibia waislam asilimia 95% kwenye mitandao wana unga mkono hilo limkataba la kuuza Tanganyika. Je, Kinachofanyika sasa ni jitihada za kuwagawa wakristo ili mpate ushindi wa dhuluma?

Wakristo washajua hilo toka waislam wamejipumbaza Kwa kueneza udini na kutamka bayana nao wakristo wana akili nyingi tena sana. Hao wasabato na walutheri wamewapaka mafuta kwa mgongo wa chupa, waumini hawapo hivyo Umoja wa Imani yao katika utashi wa kulipenda taifa na Mali zake ni mkubwa mno.
Wakristo sio mazuzu wanawachora tu. Anaegawa taifa ni huyo aloleta hio IGA ya DP World.

Shukrani 🙏
 
Umeandika takataka mnyonge pia ana haki Kama utashindwa kuelewa Logic ndogo Kama ya JK Basi ww bichwa lako ni halina uwezo wa kufikiri naona lile tunalolikataa sisi wakristo ndo unachorudia hatutaki kujinasibu eti "Sisi Wakristo" kwanini usitumie neno Watanzania kujenga hoja mbona hauna akili?
 
Wasalaam JF,

Nichukue fursa hii kuhoji uwepo wa JKM kwenye hafla ya wasabato je yeye mwanasiasa alienda kufanya nini kwenye hafla ya dini ya wengine? Je, Huyo Rais wenu alienda makanisani kufanya nini?

Hii mbinu ya kudhani mtawagawa wakristo wakati nyie mmekula kiapo cha pamoja cha kuunga juhudi za kujinasibu na DP World.

Tunafahamu karibia waislam asilimia 95% kwenye mitandao wana unga mkono hilo limkataba la kuuza Tanganyika. Je, Kinachofanyika sasa ni jitihada za kuwagawa wakristo ili mpate ushindi wa dhuluma?

Wakristo washajua hilo toka waislam wamejipumbaza Kwa kueneza udini na kutamka bayana nao wakristo wana akili nyingi tena sana. Hao wasabato na walutheri wamewapaka mafuta kwa mgongo wa chupa, waumini hawapo hivyo Umoja wa Imani yao katika utashi wa kulipenda taifa na Mali zake ni mkubwa mno.
Wakristo sio mazuzu wanawachora tu. Anaegawa taifa ni huyo aloleta hio IGA ya DP World.

Shukrani 🙏
Wapo kimkakati lakini wameshashindwa.
 
Kuna waislam kibao hawataki huo mkataba ila sasa kuna wapumbavu wameshindwa kwa hoja wanaleta kejeli na Udini. Wasabato hawana influence yeyote.
 
Kuna waislam kibao hawataki huo mkataba ila sasa kuna wapumbavu wameshindwa kwa hoja wanaleta kejeli na Udini. Wasabato hawana influence yeyote.
Yule alitumia hiyo fursa ya wasabato kama mwavuli wa kuonekana kwa tafsiri hilo limkataba ni yeye mhusika, na yumkini hata ndugu membe walimuua kisa kupingana nao kuhusu Mkataba wa Bandari
 
Umejibu kama zuzu mithili ya kibwengo maji na popo bawa wa mtumbwi maji
Hata waislamu wengine hawataki huo Mkataba je watumie neno sisi waislamu? Hakuna Nchi ya udini makima ya kiafrika iliyorithishwa Tamaduni za wazungu na waarabu ndo tunajinasibu kwa ibada za wafu wa wenzetu(mitume) Jenga hoja Kama raia anayejitambua achana na neno linaunganisha dini yako hata Kama wewe ni mpumbavu Basi ficha ujuha wako mbele za Watu unajinasibu kwa dini usiyojua Asili yake?
 
Hata waislamu wengine hawataki huo Mkataba je watumie neno sisi waislamu? Hakuna Nchi ya udini makima ya kiafrika iliyorithishwa Tamaduni za wazungu na waarabu ndo tunajinasibu kwa ibada za wafu wa wenzetu(mitume) Jenga hoja Kama raia anayejitambua achana na neno linaunganisha dini yako hata Kama wewe ni mpumbavu Basi ficha ujuha wako mbele za Watu unajinasibu kwa dini usiyojua Asili yake?
Narudia tena wewe ni kibwengo maji tu tunawaona mashekhe na video zao zipo, TV Imani ipo na mengineyo kibao tu, Kila mtu akae na hoja zake, pita kushoto siafu sio wako
 
Tanzania ni kubwa na muhimu kuliko makundi yenu ya kiimani

Kama vitisho endeleeni kutisha Kondoo wenu sio Rais na Serikali yake

Wakumbusheni Viongozi wenu wa kiimani tunawaheshimu sio kwa kuwa hatujui madhaifu yao, bali kwa kuwa wanaheshimiwa na wale tunaowaheshimu tu.

Mmeshakumbushwa kwa lugha laini sana 'Hakuna mwenye ubavu wa kuleta choko choko ' na pia mmetolewa wasiwasi pia kuwa hakuna ' Mwenye ubavu wa kuuza rasilimali za Nchi'

Mkiheshimu Mamlaka nanyi mtaheshimiwa na mkileta vitisho na Propaganda mtapuuzwa tu hata na wafuasi wenu
 
Narudia tena wewe ni kibwengo maji tu tunawaona mashekhe na video zao zipo, TV Imani ipo na mengineyo kibao tu, Kila mtu akae na hoja zake, pita kushoto siafu sio wako
Kwahiyo mwenzio akila mavi nawe unakula sababu ya Tv Iman na mashekhee? Are you serious? Dini Ni Nini? Dini ipi ipo sahihi kwako chini ya jua? Dini ndiyo ukamilifu? Na wale wasio na dini je tunawaweka kundi gani? Hivi wewe unaweza kuongoza hata familia? Sisi tupinge Mkataba lakini tukisema tutumie makosa Yale Yale ya wenzetu kujadili hii hoja unafahamu athari yake? Kemea udini kataa Mkataba kama Mtanzania huru asiyefungamana na itikadi yoyote nitakuona una uwezo wakufikiri.
 
Kwahiyo mwenzio akila mavi nawe unakula sababu ya Tv Iman na mashekhee? Are you serious? Dini Ni Nini? Dini ipi ipo sahihi kwako chini ya jua? Dini ndiyo ukamilifu? Na wale wasio na dini je tunawaweka kundi gani? Hivi wewe unaweza kuongoza hata familia? Sisi tupinge Mkataba lakini tukisema tutumie makosa Yale Yale ya wenzetu kujadili hii hoja unafahamu athari yake? Kemea udini kataa Mkataba kama Mtanzania huru asiyefungamana na itikadi yoyote nitakuona una uwezo wakufikiri.
Wakatae kwanza hao wanaodhani wakristo ni wajinga, kwao wamekula kiapo na notion ya binadamu wote ni sawa na. ni ndugu hawaia mini, hao viumbe ni mashetani. Hawajakemewa mpaka Leo toka wameanza upuuzi wao wa udini. Aanze Ukamikaze yeye
 
Umeandika takataka mnyonge pia ana haki Kama utashindwa kuelewa Logic ndogo Kama ya JK Basi ww bichwa lako ni halina uwezo wa kufikiri naona lile tunalolikataa sisi wakristo ndo unachorudia hatutaki kujinasibu eti "Sisi Wakristo" kwanini usitumie neno Watanzania kujenga hoja mbona hauna akili?
Hata ukimtukana, bado binafsi naona ana hoja.. JK ni muislamu, hivyo hakwenda kanisani kufanya ibada. JK ni mwanasiasa na amekwenda kanisani kutamka mambo ya kisiasa. Sasa yeye kama mwanasiasa aliyeingia kanisani kufanya siasa, anawezaje kuwakataza wengine wasitamke mambo siasa huko kanisa?
 
Umeandika takataka mnyonge pia ana haki Kama utashindwa kuelewa Logic ndogo Kama ya JK Basi ww bichwa lako ni halina uwezo wa kufikiri naona lile tunalolikataa sisi wakristo ndo unachorudia hatutaki kujinasibu eti "Sisi Wakristo" kwanini usitumie neno Watanzania kujenga hoja mbona hauna akili?
Ameongea ukweli mtupu ila wewe unaefikiri kwa kutumia tumbo ndio tatizo!
 
Hata ukimtukana, bado binafsi naona ana hoja.. JK ni muislamu, hivyo hakwenda kanisani kufanya ibada. JK ni mwanasiasa na amekwenda kanisani kutamka mambo ya kisiasa. Sasa yeye kama mwanasiasa aliyeingia kanisani kufanya siasa, anawezaje kuwakataza wengine watamke mambo siasa huko kanisa?
Baelezee Mwamba na hajawahi kukemea matamshi ya waislam tena udini wao na matamko ya udini wao yako wazi
 
Hata ukimtukana, bado binafsi naona ana hoja.. JK ni muislamu, hivyo hakwenda kanisani kufanya ibada. JK ni mwanasiasa na amekwenda kanisani kutamka mambo ya kisiasa. Sasa yeye kama mwanasiasa aliyeingia kanisani kufanya siasa, anawezaje kuwakataza wengine watamke mambo siasa huko kanisa?
Kwani kanisani JK alijialika uko kamageta ndani ndani rorya? Hao waliomualika hawakujua JK ni Muislamu? Walikua wanatafuta publicity au sympathy ya Waumini?
 
Wasalaam JF,

Nichukue fursa hii kuhoji uwepo wa JKM kwenye hafla ya wasabato je yeye mwanasiasa alienda kufanya nini kwenye hafla ya dini ya wengine? Je, Huyo Rais wenu alienda makanisani kufanya nini?

Hii mbinu ya kudhani mtawagawa wakristo wakati nyie mmekula kiapo cha pamoja cha kuunga juhudi za kujinasibu na DP World.

Tunafahamu karibia waislam asilimia 95% kwenye mitandao wana unga mkono hilo limkataba la kuuza Tanganyika. Je, Kinachofanyika sasa ni jitihada za kuwagawa wakristo ili mpate ushindi wa dhuluma?

Wakristo washajua hilo toka waislam wamejipumbaza Kwa kueneza udini na kutamka bayana nao wakristo wana akili nyingi tena sana. Hao wasabato na walutheri wamewapaka mafuta kwa mgongo wa chupa, waumini hawapo hivyo Umoja wa Imani yao katika utashi wa kulipenda taifa na Mali zake ni mkubwa mno.
Wakristo sio mazuzu wanawachora tu. Anaegawa taifa ni huyo aloleta hio IGA ya DP World.

Shukrani 🙏
IF YOU CANT CONVICE THEM CONFUSE THEM THIS IS THE PRINCIPLE NDICHO CCM WALICHOAMUA KWA SASA
 
Mipango ya mama isiyo na shaka inawapelekesha hadi mnatia huruma. Mtakuja na kila aina ya uzushi na chokochoko kali za kidini lakini kamwe hamtofanikiwa kuleta vita vya kidini hapa. Uongo na unafiki wenu umewekwa peupe na sasa mlichobakisha ni mfululizo wa threads zenye viashiria vya stress! Mnajibishana wenyewe tu hata aibu hamna.
 
Back
Top Bottom