Je, viongozi kama Mwigulu wanavyoanza kuwaandaa watoto wao kushika madaraka wanatamani uongozi wa kiimla?

Yaani siku hizi jamii forum limeshapoteza mvuto, kwa mada za kipuuzi Kama hizi, wewe mtoa post huna kazi za kufanya yaani unafuatilia mpaka unajua mtoto mwigulu kila siku alikuwa ana vaa nguo mpya.!
Umeona lakini hadhira aliyokuwa anaitembelea! Yaani ni hadhira iliyochoka mbaya lakini mwangalie sasa mtoto na baba yake. Wewe unaweza ukaona kawaida lakini jicho la kisanaa linaona utofauti! Huwezi elewa wewe uliyekulia kwenye mboga tano family.
 
Andaa mtoto wako kuwa kiongozi ,viongozi wanaandaliwa sio porojo Shetta aka baba Quila kamuandaa mtoto wake kuwa kiongozi baada ya miaka 20 utasikia majina yaleyale .Acha kulalamika andaa mtoto wako
 
Nafikiri tukiweka hoja za u ccm pembeni, ukwel ulio waz ninkwamba kama wazazi, tuna majukumu na wajibu wa kuwaandaa watoto mapema waje kuwa vile tunavyogaka wawe au kuwaongoza na kuwatia moyo wawe kama vile wanavyotaka wao kama endapo ndoto zao ni sahihi na unaona zitakua na manufaa
 
 
Sio vzuri kumnenea mabaya mtoto wa mwenzako, Nani kakwambia atakuwa bodaboda, ww unadhani Ccm itatawala milele? Siku ikianguka hao watoto wanaoandaliwa leo watakuwa viongozi wa taifa gani,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…