#COVID19 Je, Viongozi na Watendaji Serikalini wameyapuuza mapendekezo ya Kamati ya kutathmini Covid-19?


Nahisi hujui kusoma, nimekumbia na aliyekuwa katibu Mkuu Kiongozi bwana Kijazi. Ina maana hukuona popotee nilipomtaja ila umemuona Mpango tu kwenye maelezo yangu?
 
Nahisi hujui kusoma, nimekumbia na aliyekuwa katibu Mkuu Kiongozi bwana Kijazi. Ina maana hukuona popotee nilipomtaja ila umemuona Mpango tu kwenye maelezo yangu?
Sasa nani kamuambukiza nani au unataja tu watu? aliyemuambukiza Magufuli ni Kijazi au Mpango?
 
Sasa nani kamuambukiza nani au unataja tu watu? aliyemuambukiza Magufuli ni Kijazi au Mpango?

Nasema hivi, inaonekana una ubongo mdogo ndio maana unajadili kama mtoto mdogo. Unaweza kuambukiza usife ama ukafa. Kwahiyo kufa haijalishi nani kakuambukiza itategemea na kinga yako kupambana na ugonjwa husika.
 
Nasema hivi, inaonekana una ubongo mdogo ndio maana unajadili kama mtoto mdogo. Unaweza kuambukiza usife ama ukafa. Kwahiyo kufa haijalishi nani kakuambukiza itategemea na kinga yako kupambana na ugonjwa husika.
Hoja yangu hata sio kufa ,issue kwanza inaanzia kwa kupata hayo maambukizi na hapo ndio tulipokuwa tunapajadili na ndio ukawa unawataja akina Kijazi na Mpango kwamba walikuwa karibu na Magufuli hivyo ndio wanaweza kuwa wamemuambukiza.
 
Ulifikiria masharti yangeendelea kuweko siku zote? Mbona walisema kabisa kuwa masharti yanawekwa ili hospital zisielemewe na pia waujue ugonjwa vizuri na namna ya kuweza kuutibu na mwisho chanjo ipatikane?
Hakuna mahali nimesema kuwa masharti yangeendelea kuwepo siku zote. Sidhani kama huu ni ugonjwa wa kwanza kutokea duniani.
 
Kiuhalisia corona bongo cio serious kiviiile! Tunatishana tuu kwa kuwaogopa wazungu ! Tangu siku ile waliposema Chanjo ya Hiari nikajua HAMNA kitu apa
 
Haikutakiwa kufanya usanii kwa suala ambalo linajulikana.

Suala chanjo kuwepo nchini ni lazima kwa sababu huwezi kusafiri bila kuchanjwa.

Hoja ni kwa watanzania wengi kama watakubali kuchanjwa kwa hiari yao! Inavyoonekana wengi hawajakubali!
Kama mtu anajiona hana sababu ya kuchanjwa asiende kuchanjwa it is that simple mkuu. Swala la wengi wajakubali lisikuumize kichwa kwa sababu Wapo watu ambao wanaihitaji sana hiyo chanjo kutokana na sababu zao binafsi.

P.S. Binafsi siipingi chanjo, ila sina sababu yoyote ya msingi ya kuchanjwa hivyo sitaenda.
 
Hakuna mahali nimesema kuwa masharti yangeendelea kuwepo siku zote. Sidhani kama huu ni ugonjwa wa kwanza kutokea duniani.
Sasa concern yako au point yako hasa ilikuwa ni nini hasa ukizingitia unajua huu siyo ugonjwa wa kwanza kutokea duniani?
 
Haya ni mawazo pia yanafikirisha bila kututoa kwenye mstari. Rais alipokea taarifa ila utakelezaji umekuwa ukisuasua. Nafikiri ile ya India yaijafika vizuri ila ipo injiana.
 
Chanjo ni hiari ila haitakuwa hiari kwa watakaokuwa wakisafiri nje ya nchi hata Macca lazima uchanjwe period.
 
Sasa concern yako au point yako hasa ilikuwa ni nini hasa ukizingitia unajua huu siyo ugonjwa wa kwanza kutokea duniani?
Acha upuuzi. Kama hukunielewa ungepita kimya kuliko kuonyesha upunguani wako hapa.
 
Acha upuuzi. Kama hukunielewa ungepita kimya kuliko kuonyesha upunguani wako hapa.
Unaona umeshindwa hoja halafu unaleta viroja? Wewe ni zaidi ya mpumbavu. Sasa uliposema huu siyo ugonjwa wa kwanza kutokea duniani ulikuwa unadhani ni ujanja. Nilishakusoma na nikajua ujuha ndiyo unakusumbua. Nia yako ni kujenga hoja mfu kwa kutumia ujinga mliokaririshwa na mwendazake. Idiot!
 
Inaelekea TAKOSA linakuwasha.
 
Kwa unayoandika itoshe kusema una upunguani wa kiwango cha PhD.
Punguani wa PhD nadhani unamjua. Ni yule alikuwa anadai ana PhD lakini mawazo yake ni ya hovyo hovyo kama ya kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…