Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,193
unaniambia mmie nijibu hoja bila matusi au someone else? rudia post yako hapo juu.
na mada hii itaendelea kufunua tu sentiments za kibaguzi badala ya kuzifisha chini chini. It is time to come out everybody who is a chagga-hatter.. njoo na kisingizio chochote kile, ili ile siri ya familia yetu tuwe wa kwanza kuikubali.
Kama vile janga la kitaifa??? Jinsi tulivyolishupalia. Ila mbaya wanayofanya hawa ndugu ni kupendeleana waziwazi inapokuja maslahi fulani fulani hasa nafasi za vyeo kazini. Wana....Kama kwa hiari haiwezekani, Rais anaweza kutoa agizo (executive order) na kutaka wachagga waachie ngazi na wakae pembeni kwa angalau miaka mitano ili watu wa makabila mengine wapate nafasi. Hili linaweza kuwahusu Wanyakyusa na Wahaya vile vile. Kama hawatafanya kwa hiari tunaweza kufanya kwa nguvu hata kwa kutunga sheria maalum ya kuwalazimisha.
Mkuu Mtanzania,
Heshima mbele, Chadema ni chama cha siasa kama vingine, na kuna some of us tumekuwa tukiwategemea sana na bado tunaaaminia pia, matatizo ndani ya chama ni kawaida, lakini bado ninalia kuwa hili la Wangwe hawakuli-handle kisiasa, siasa za taifa hupangwa haishitukizwi,
Tatizo kwenye siasa sio kuanguka, ila ni how far umeanguka, Public Opinion ndiyo hasa uti wa mgongo wa Chadema, kwenye hili wameharibu tena sana na bado hawajisadii na hizi kampeni wanazozifanya, Makamba sio siri kuwa kwa sasa hatakiwi kabisa ndani ya CCM, lakini bado analiwa timing ya kisiasa na wanaohusika, so far yuko kwenye life support it is only a matter of time kabla hajasukumwa au kujisukuma mwenyewe, kinachoendelea sasa ni yeye kupewa nafasi ya kujimaliza mwenyewe na he is doing very good kwenye hilo, that is politics za taifa,
No question kuwa the man Wangwe is a thug, lakini ni mwanasiasa mzuri kwa sababu anaweza propaganda, serious ishus yeye anazijibu kama nothing, lakini between the line unaona kuwa ishus ni serious hasa anazoshutumiwa, viongozi wa Chadema wajifunze kuwa kuna siasa za ndani za chama na siasa za bunge na mafisadi, kwa sababu they come accross kama ni very angry leaders, wajifunze kufanya transition between kupigana na ufisadi kwenye taifa na how to deal na matatizo ya ndani ya chama, kuwa ni ishu mbili tofauti, Lisu anarusha very serious accusations ambazo huwezi kum-convince mwananchi kuwa Wangwe amezifanya in only seven months za umakamu wake,
Otherswise, ninawatakia Chadema mafanikio mema on how to deal na Wangwe, lakini wasimu-undermine huyu, kwa sababu wengi wao wanaonekana kujawa sana na hasira, sasa anaweza kuwafikisha mahali wakameguka na ni lazima wawe waangalifu sana na ishus za hela kwani zinaonekana kuwa ndio hasa kitovu cha matatizo ya Wangwe, sasa ni rahisi sana kuwashawishi wenye shida ya hela huko kuwa ana hoja,
Halafu pia ni lazima ukweli usemwe kuwa nimeshitushwa sana na charge ya Wangwe kuwa wafanyakazi wengi huko HQ ya Chadema ni kutoka mkoa mmoja, kama ni kweli hii ni ngumu sana kuisafisha lakini only kama ni kweli, ninarudia kuwa viongozi karibu wote wa Chadema walioongelea hii ishu wanaonekana kuwa na hasira sana, to the point kwamba wanarusha serious accusations ambazo in the end zinawafanya wajiweke kwenye mtihani mgumu wa kujibu swali zito kwamba how did the guy became makamu wa Chama kikuubwa kama Chadema?
Ahsante Wakuu!
A MODEST PROPOSAL
Na. M. M. Mwanakijiji
Kuna vumbi la chuki, fitina, wivu, kisasi, na hisia za kibaguzi dhidi ya jamii ya Wachagga nchini. Kuna kila dalili kuwa jamii ya Wachagga nchini siyo tu inaanza kutengwa lakini uwepo wake katika nafasi mbalimbali za uongozi inazua hoja ya ukabila kwa haraka zaidi yawezekana kuliko kabila jingine lolote nchini. Katika Tanzania yetu, wachagga wameanza kunyoshewa kidole siyo kwa siri tena bali kwa wazi kabisa tena na watu ambao wakati mwingine hawapati hata kigugumizi.
Ubaguzi huo msingi wake mkubwa ni idadi ya wachagga katika nafasi mbalimbali za uongozi na hasa kuhusiana na elimu yao. Kuanzia mara tu baada ya uhuru jamii ya wachagga mojawapo ya jamii ambayo watu wake wengi wamesoma sana na kufanikiwa kielimu na kiuchumi imekuwa ikinyoshewa kidole cha kupendelewa.
Mtu yeyote ambaye anaweza akafanya uchambuzi yakinifu hatoshangaa kukuta wataalamu wa kichagga katika nafasi mbalimbali za uongozi au taaluma nchini. Kwenye vyuo vikuu, kwenye idara za serikali na hata kwenye taasisi binafsi kumejaa watu wenye asili ya mkoa wa Kilimanjaro na hususan watu wa jamii ya Kichagga.
Endapo itatangazwa nafasi yoyote ya kitaalamu usishangazwe ukiona kuwa waombaji wengi wana majina ya "Kichagga".
Ni kwa sababu hiyo basi kuna kila dalili kuwa kutokana na wingi wao katika nafasi muhimu na vyeo mbalimbali (hata ndani ya Jeshi la Polisi) Wachagga siyo tu ni wengi lakini wanaonekana kufanikiwa zaidi. Hili ni tishio kwa baadhi ya watu. Ni tishio kwa watu ambao hawako tayari kuangalia jitihada za watu katika kufanikiwa kwao na matokeo yake kushutumu ukabila kila idadi ya Wachagga kwenye kitengo fulani inazidi mmoja.
Ushauri wangu ni kuwa, kwa vile Wachagga wameshasoma sana na kuendelea katika biashara karibu mikoa mingi nchini. Na kwa vile wanaendelea kufanikiwa pia katika nafasi mbalimbali za uongozi nchini, basi itakuwa vizuri kama watajitolea kuachilia nafasi hizo ili kuwapa nafasi watu wa makabila mengine.
Kwa vile ni wao wanaonekana kulalamikiwa kutokana na mambo ya kifisadi aidha kwa moja kwa moja au kwa kuashiria basi ni vizuri wawape watu wengine nafasi hizo hata kama watu hao hawajasoma sana. Hii yote itakuwa ni katika kudumisha mshikamano, umoja na udugu wa Taifa letu.
Endapo Wachagga wataachilia nafasi mbalimbali kama UCEO, Ukurugenzi, Ukuu wa Idara n.k watasababisha watu wawapende na kuwakubali kuwa ni wazalendo wa kweli. Sitoshangaa kuwa ndugu zetu wa Jamii ya Kichagga wakikaa pembeni, basi ufisadi utakoma serikalini, idara zitaongozwa na watu wazuri, na mara moja na daima Tanzania itaanza kukua katika uongozi.
Kwa kupendekeza nashauri wabunge wote ambao ni Wachagga au wana asili ya mkoa wa Kilimanjaro kuachia ngazi mara moja ili watu wa makabila mengine wapewe nafasi hizo. Siyo wao tu bali pia wabunge ambao wameoa au kuolewa uchagani vile vile wafuate nyazo hizo.
Wakishamaliza hao, wakuu wote wa idara za serikali ambao wana asili ya mkoa wa Kilimanjaro na hasa wa jamii ya kichagga (wamarangu, wamachame, wa Rombo, na wa Kibosho) na wao waamue kuachilia nafasi hizo kwa ndugu zao Wamakua, Wamwera, Wa Ndali, Wadigo n.k Katika hili Wapare hawahusishwi.
Tukishamaliza wakuu hao wa idara za serikali ningependekeza madaktari wote wenye kumiliki hospitali binafsi ambao ni wachagga au wameoa/kuolewa uchagani na wenyewe waamue kuingia ubia na watu wa makabila mengine kama wangengereko, wambuu, na wanjiro ili hayo makabila madogo na wenyewe wapate nafasi ya kujifunza fani hizi muhimu.
Zaidi ya yote, majaji na mahakimu wote ambao wana asili ya Uchaggani na wenyewe waamue kujitoa katika nafasi hizo kwani wingi wao pia unaonekana sana na hivyo kuwa kikwako kwa watu wa makabila mengine kufanikiwa zaidi katika nyanja ya sheria. Kwanza kabisa wale majaji wa Kichagga wa mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu wawe wa kwanza kuweka manyanga chini.
Katika kufanya hivyo jamii ya Watanzania ambao inaona ukabila wa wachagga katika sehemu nyingi itaridhika kwani kwa mara ya kwanza tutakuwa tumeshughulikia chanzo cha matatizo yetu mengi.
teh teh teh tehhhhhheeeeeeeeeeeeeeee, nina element za uchaga na ninajua yanayosemwa ni kweli. Ukienda likizo chrismas kule Moshi utajua haya pia. Ni connection ka kwenda mbele, chagas wapenda maendeleo lakini tatizo wanapenda waendelee wao tu. Kitu kikubwa ni kwamba hawapendi kutegemewa na hivyo hufanya kila njia kuhakikisha watu wa familia wanajitegemea na pia upate wa kukusaidia pindi unapokwama. Hivyo hujitahidi kusaidia wa kwao na hapo upendeleo wa ukabila ndipo unapokuja. Think about it in a wider sense and be honest on your self, utakubali kuwa ukabila upo huko nyumbani Moshi.
Mkuu hivi kweli kuna makabila HAYAPENDI maendeleo?
Hapana, awe mchagga au msukuma wa kwetu..mtu ukiwa muhangaikaji una stahili kupata unachokipata. Sema kama watu wanapendeleana au hawana vigezo, you can rise an eyebrow. Ila all in all nakubali, WACHAGGA WENGI NI HARDWORKING and most of them they deserve to be where they are. Just like every body! Wasukuma wenzangu..tulikalia kuchunga ng`ombe..ndo hivyo wakina Masanja walio kwenye system ni wachache mno!
Honestly speaking, Mimi siyo Mchagga, but I admire them, wanajua kuhangaika kuliko makabila mengi ya Tanzania. Harafu bwana tunaona wachagga kama wako kwenye nafasi nyingi kwa sababu ya umaskini....kama tungekuwa na uchumi imara..ni kwamba wengi wetu tungekuwa absorbed kwenye sectors nyingine. haya malalamiko yangekuwa hayapo..lakini angalia sector zenye "ulaji" za jamhuri ni TRA na BOT...kila mtu macho yake yako pale! Sasa jamani tufanyeje? tuungane wote tuchape mzigo...maana raia million 40 hiyo BOT na TRA hazitutoshi!
Suluhisho: Kama mtu amekuwa hired kwa mlango wa nyuma, lets condemn that and report it where possible. Lakini haifai kulaumu mtu mwenye kisomo chake ati alipendelewa! Harafu ukishajenga mentality kwamba unaonewa..ndo hivyo utaonewa kweli.
All I know is: we live in a very unkind world where it is man eat man. NA HIYO HAITAISHA LEO WALA KESHO, NI KUCHAPA JOB TUU NDO SULUHISHO MAKINI!
teh teh teh tehhhhhheeeeeeeeeeeeeeee, nina element za uchaga na ninajua yanayosemwa ni kweli. Ukienda likizo chrismas kule Moshi utajua haya pia. Ni connection ka kwenda mbele, chagas wapenda maendeleo lakini tatizo wanapenda waendelee wao tu. Kitu kikubwa ni kwamba hawapendi kutegemewa na hivyo hufanya kila njia kuhakikisha watu wa familia wanajitegemea na pia upate wa kukusaidia pindi unapokwama. Hivyo hujitahidi kusaidia wa kwao na hapo upendeleo wa ukabila ndipo unapokuja. Think about it in a wider sense and be honest on your self, utakubali kuwa ukabila upo huko nyumbani Moshi.
Ben,
you have a very good point. Nilimaanisha kuwa mchaga kama angekuwa na uwezo angewafanya wachaga wote wawe na positions nzuri, yaani well paying. Hivyo hujitahidi kuchomeka watu wao kwenye hizi posts well paying. Na kama sio kupewa nafasi ya kazi basi hata ni kutoa tenda ili tu mwenzie afanikiwe. Na pia hupenda sana cha juu (10%).
Kumweka ndugu au jamaa utaua ndege wengi kwa jiwe moja. Kwanza utapata cha juu bila kelele wala kokoro. Then utakuwa umeondoa utegemezi, yaani kuja kuliliwa shida kila siku na kukubidi kutoa za mfukoni mwako na pia hata ukidondoka una mtu wa kukunyanyua, kwani uliowasaidia kuwaweka kwenye nafasi hawawezi kukuacha ukaadhirika. Watafanya vikao kukutafutia kazi na kama ni mtaji wako radhi hata kuchangishana. It is a good sprit, ila tatizo linalopigiwa kelele ni wao kujilimbikizia hizo nafasi ambazo zilitakiwa ziwe za mgawanyo sawa kwa watanzania wote wenye qualifications.
Hawa ndio walioanzisha mchezo wa technical know who. In what sense, yaani kigogo wa kichaga atafanya awezalo kucreate position ambayo itamsuit mtu anayemfahamu. Sasa hapo interviewee vigezo vyote nakuwa anavyo kupata kazi husika.
Mtandao wa Wachaga kwenye TAASISI na IDARA za UMMA umekomaa na kuimarika sana kama CCM ilivyojikita kila mahali Tanzania hii ya leo. Maoni yangu ni tuendelee kuilinda IKULU yetu tu ili IBAKI kuwa MALI ya WATANZANIA wote. HILI, CCM wameliweza.
Na bado ngoja aendelee kuwachanganya.....si unaoan watu wanavyojichanganya.....utakuja kusikia kitu baadaeMwanakijiji,
Naomba nikushukuru kwa kuwa na uwezo mzuri wa kuspin na kuwapata baadhi ya watu humu.
Hongera, ila sisi wakulu wa kale huwezi kutupata.
Tukubaliane kutokubaliana.
Asante
FairPlayer
Mwanakijiji,
Naomba nikushukuru kwa kuwa na uwezo mzuri wa kuspin na kuwapata baadhi ya watu humu.
Hongera, ila sisi wakulu wa kale huwezi kutupata.
Tukubaliane kutokubaliana.
Asante
FairPlayer