Mkuu Mtanzania,
Heshima mbele, Chadema ni chama cha siasa kama vingine, na kuna some of us tumekuwa tukiwategemea sana na bado tunaaaminia pia, matatizo ndani ya chama ni kawaida, lakini bado ninalia kuwa hili la Wangwe hawakuli-handle kisiasa, siasa za taifa hupangwa haishitukizwi,
Tatizo kwenye siasa sio kuanguka, ila ni how far umeanguka, Public Opinion ndiyo hasa uti wa mgongo wa Chadema, kwenye hili wameharibu tena sana na bado hawajisadii na hizi kampeni wanazozifanya, Makamba sio siri kuwa kwa sasa hatakiwi kabisa ndani ya CCM, lakini bado analiwa timing ya kisiasa na wanaohusika, so far yuko kwenye life support it is only a matter of time kabla hajasukumwa au kujisukuma mwenyewe, kinachoendelea sasa ni yeye kupewa nafasi ya kujimaliza mwenyewe na he is doing very good kwenye hilo, that is politics za taifa,
No question kuwa the man Wangwe is a thug, lakini ni mwanasiasa mzuri kwa sababu anaweza propaganda, serious ishus yeye anazijibu kama nothing, lakini between the line unaona kuwa ishus ni serious hasa anazoshutumiwa, viongozi wa Chadema wajifunze kuwa kuna siasa za ndani za chama na siasa za bunge na mafisadi, kwa sababu they come accross kama ni very angry leaders, wajifunze kufanya transition between kupigana na ufisadi kwenye taifa na how to deal na matatizo ya ndani ya chama, kuwa ni ishu mbili tofauti, Lisu anarusha very serious accusations ambazo huwezi kum-convince mwananchi kuwa Wangwe amezifanya in only seven months za umakamu wake,
Otherswise, ninawatakia Chadema mafanikio mema on how to deal na Wangwe, lakini wasimu-undermine huyu, kwa sababu wengi wao wanaonekana kujawa sana na hasira, sasa anaweza kuwafikisha mahali wakameguka na ni lazima wawe waangalifu sana na ishus za hela kwani zinaonekana kuwa ndio hasa kitovu cha matatizo ya Wangwe, sasa ni rahisi sana kuwashawishi wenye shida ya hela huko kuwa ana hoja,
Halafu pia ni lazima ukweli usemwe kuwa nimeshitushwa sana na charge ya Wangwe kuwa wafanyakazi wengi huko HQ ya Chadema ni kutoka mkoa mmoja, kama ni kweli hii ni ngumu sana kuisafisha lakini only kama ni kweli, ninarudia kuwa viongozi karibu wote wa Chadema walioongelea hii ishu wanaonekana kuwa na hasira sana, to the point kwamba wanarusha serious accusations ambazo in the end zinawafanya wajiweke kwenye mtihani mgumu wa kujibu swali zito kwamba how did the guy became makamu wa Chama kikuubwa kama Chadema?
Ahsante Wakuu!