Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

Je, Viongozi wa Idara ambao ni Wachagga waachie ngazi!??

Status
Not open for further replies.
Na wao si waslamu tu kama WEWE?
Mbona hujataja waslamu wengine kama MWINYI,SALMIN AMOUR,KIKWETE,ROSTAMA AZIZI,IDDI SIMBA,MUSUGURI NA YEYE ni Mchagga? SI ANA SHARE KWENYE MEREMETA?
Unataka tuendelee?
Na hilo la karafuu limewaletea maendeleo kina nani?
Wewe ni MHAFIDHINA?

Sikutaja kuja wengi waaminifu. MZee kawawa,dr.Salim Ahmed Salim,tizama mawaziri wakuu wa kasikazini walivyokwapua,
 
Sikutaja kuja wengi waaminifu. MZee kawawa,dr.Salim Ahmed Salim,tizama mawaziri wakuu wa kasikazini walivyokwapua,

Kina Kawawa ni watu wa kaskazini?
Na Salim Pia?
I didn't know that! Kwa hiyo ndio maana wachagga ni wabaya?
Sasa naona pia umehamisha unasema na wa kaskazini?
Yani sasa unjumuisha Tanga,Arusha Kilimanjaro na Manyara siyo?
 
Tatizo sio wachagga maanake hata kama wachagga wangejitoa kwenye hizo nafasi, tungeanza kuwalaumu wahaya, wahaya wakitoka, tunawanzia wanyakyusa, etc... Lakini chakushangaza TZ waindi na waharabu wanavyofanya hamna mtu anafikiria hivyo... Sasa sijui tatizo liko wapi hapa... mimi naona hatupendi kuona Mtanzania halisi akiendelea zaidi iwe mmoja au kabila... yaani maradufu wahindi au mzungu apete kuliko mbantu mwenzie.. lakini i could be mistaken.....

mbona hatuwaonei wivu wala kuwalaumu wapemba? wanachuma kwa jasho lao,hakuna wizi unaotokea serikali bila kuwepo hawa kina Mangi.
 
Kina Kawawa ni watu wa kaskazini?
Na Salim Pia?
I didn't know that! Kwa hiyo ndio maana wachagga ni wabaya?

mawaziri wa kaskazini wakuu wastafu ni MSUYA,SUMAYE NA LOWASSA,
WASIO WA KASKAZINI NI DR.SALIM AHMED NA MZEE KAWAWA TIZAMA WA KASAKZINI WALIVYOKWAPUA.
 
mbona hatuwaonei wivu wala kuwalaumu wapemba? wanachuma kwa jasho lao,hakuna wizi unaotokea serikali bila kuwepo hawa kina Mangi.

Wapemba wenyewe wanataka kujitenga na wanasema wao si weusi wala si watanzania!
KADAnGANYE MAPUMBAVU LAKINI SI HAPA JF!

Hivi kweli nyie WANANCHI MLIMCHAGUWA VIPI HUYU MTU?
Na nyie CHADEMA ILIKUWAJE?

Mimi sitetei kama kuna mabaya ndani ya chadema kwani siko karibu na chama chochote!

Mimi ni INDEPENDENT!

NA PIA NARUDIA KAULI YANGU HII...Kwamba WATANZANIA INDEPENDENT AMBAO HAWANA VYAMA NI WENGI MARA TATU YA WALE WA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI NA CHAMA TAWALA!

Na pia waliopiga kura hawafikii hata robo ya wananchi!

Hivyo inawezekana hata mafisadi wenyewe wamewekwa madarakani na mafisadi wapiga kura!

Muwaandikishe wananchi wapige kura! Hta wahadzabe na wamasai na wamang'ati!

Kwani kama ccm ndiyo chama TAWALA KILICHOUZA NCHI..NA HALAFU HAKIJAWAHI KUSHINDA UCHAGUZI KILIMANJARO...Then unakuja kusema wachagga ni mafisadi...Unatumia kigezo cha chadema badala ya ccm unakuwa kama MWENDAWAZIMU ULIYECHANGANYIKIWA!

UPELEKWE MIREMBE MARA MOJA NA SPIKA ASIKUBALI UINGIE BUNGENI TENA!
 
mawaziri wa kaskazini wakuu wastafu ni MSUYA,SUMAYE NA LOWASSA,
WASIO WA KASKAZINI NI DR.SALIM AHMED NA MZEE KAWAWA TIZAMA WA KASAKZINI WALIVYOKWAPUA.

Ilkuwa ni WACHAGGA NA SASA NI WAMASAI,WAPARE NA WA IRAKI?(Mbulu)
Wewe subiri MAASAI WARRIOR WATAKUONYESHA KAZI!
 
...mambo ya Wangwe kama ni kweli basi Chadema is soooooo weak,how come mtu mmoja tena WANGWE eti anaweza kuua chama? nafikiri they're just overestimating the guy,sasa wajifunze kujenga vyama vyenye good policy & good leadership,sio kujenga watu wenye nguvu ambao wakisema hata kama ni utumbo basi everything goes!
 
...mambo Ya Wangwe Kama Ni Kweli Basi Chadema Is Soooooo Weak,how Come Mtu Mmoja Tena Wangwe Eti Anaweza Kuua Chama? Nafikiri They're Just Overestimating The Guy,sasa Wajifunze Kujenga Vyama Vyenye Good Policy & Good Leadership,sio Kujenga Watu Wenye Nguvu Ambao Wakisema Hata Kama Ni Utumbo Basi Everything Goes!

Good Leadership Haipatikani Bila Demokrasia Ya Kweli,wabunge Wanateuliwa Kwenye Bar Bila Uchaguzi Wala Ridhaa Ya Wanachama Na Policy Ya Chama Ni Ruzuku Tu Utaweza Kujenga Chama? Mwenyekiti Akimchukia Mtu Anamfukuza Kwa Baraka Za Mzee Mtei Hicho Chama Au Business Family?
 
Good Leadership Haipatikani Bila Demokrasia Ya Kweli,wabunge Wanateuliwa Kwenye Bar Bila Uchaguzi Wala Ridhaa Ya Wanachama Na Policy Ya Chama Ni Ruzuku Tu Utaweza Kujenga Chama? Mwenyekiti Akimchukia Mtu Anamfukuza Kwa Baraka Za Mzee Mtei Hicho Chama Au Business Family?

KWANINI USIMWOMBE ROSTAMA AKUINGIZE KWENYE BUSINESS FAMILY YAKE KWA MARA YA PILI?
Halafu ukawa kama CHANGUDOWA UKAPELEKWA KWENDA KUPEWA RAHA UKO KEMPISKI CHUMBANI NA HUKU UKIIPONDA KANDA YA KASKAZINI!
Kuwa makini next time MAASAI WARRIOR SPOTS YOUR ASS.. YOU'RE DONE!
TRUST ME!
 
HOJA YA ccm KUWA CHAMA CHA MAFISADI INALAZIMISHIWA KUWA YA UKABILA WA WATU WA KANDA YA KASKAZINI!
AMA KWELI HAUIFAHAMU JF!
 
Tatizo sio wachagga maanake hata kama wachagga wangejitoa kwenye hizo nafasi, tungeanza kuwalaumu wahaya, wahaya wakitoka, tunawanzia wanyakyusa, etc... Lakini chakushangaza TZ waindi na waharabu wanavyofanya hamna mtu anafikiria hivyo... Sasa sijui tatizo liko wapi hapa... mimi naona hatupendi kuona Mtanzania halisi akiendelea zaidi iwe mmoja au kabila... yaani maradufu wahindi au mzungu apete kuliko mbantu mwenzie.. lakini i could be mistaken.....

Nafikiri hii uliyosema ni just a matter of time. Kama moto ukiwaka basi WAHINDI kwanza wataonja joto ya jiwe. Labda baadaye ndiyo waje Wachaga na Wahaya. Kuna chuki kubwa saana kwa Wahindi na hata zaidi ya Waarabu. Sema tu kwamba kikiwaka, basi Wazungu watakuja na majeshi yao na kuchukua RAIA wao na familia zao [Mushi kama kaowa US pia watambeba 🙂 ] Wahindi hata Idd Amini alisema kuwa wana characters za kuteleza. Hivyo kikiwaka utaona hao. Kwanza kila unapokuja uchaguzi wao huwa wanalala mbele kwenda Kenya. Na uchaguzi Kenya wanakuja Tanzania. Utashangaa kuwa ukienda Tafuta Wahindi, unakutana sanasana na ma GOA. Na GOA ni mlal hoi tu kama Mkala.
Nafikiri huu MJADALA unakosa mwelekeo kabisa. Ilikuwa ni habari nzuri sana na nilitegemea watu watajadili nini kifanyike ili KUINUA MAISHA YA MAKABILA MASIKINI na badala yake imekuwa NINI KIFANYIKE KUYAONDOA MAKABILA YALIYOENDELEA. Nasikitika pia kuwa MMK hiki kichwa chako cha habari na habari nzima ya mwanzo umeiandika vibaya kiasi kwamba haitaleta hitimisho. Sasa wakati wengine tukipigia kelele MSAADA wa makabila dhaifu, kuna wengine wanaichukulia kuwa sisi ni PRO-Wangwe.
Kama kweli sisi ni WATZ basi tuachane na dhana za CCM, CHADEMA nk. Acha Chadema wazikane wenyewe kwa wenyewe. CCM pia wanyweshane Mercury weee na ikishindikana basi hata kunyunyiziana madawa kwenye viti bungeni. Mie ombi langu ni moja tu. Bila kujali Mchaga/Mhaya/Mnyakyusa kasoma kiasi gani, na anahela kiasi gani, je huyu MJOMBA wangu huku Tabora na binamu Singida IFANYWEJE ILI NA WAO WAWE NA MAISHA BORA aliyoahidi Kikwete (forget about Kikwete here). Hamna siasa,dini,ukabila au jazba. Sisi huku hatuhui EPA, MEREMETA wala BLING BLING. Uchaga na Ukurya sisi hautusaidii. Wengine mwanywa chai ila sisi huku bado TUMELALA. Hata kikiwaka basi mjue sisi tutapigana sawa na ile vita ya pili ya dunia yaani unapelekwa vitani kumpigania Mgeruman bila hata kujua kisa ninini.
 
Good Leadership Haipatikani Bila Demokrasia Ya Kweli,wabunge Wanateuliwa Kwenye Bar Bila Uchaguzi Wala Ridhaa Ya Wanachama Na Policy Ya Chama Ni Ruzuku Tu Utaweza Kujenga Chama? Mwenyekiti Akimchukia Mtu Anamfukuza Kwa Baraka Za Mzee Mtei Hicho Chama Au Business Family?

.....you really hate Chadema!
 
Hivi niulize swali moja hapa!..Natazama pande mbili za hii shilingi pamoja na kwamba haina soko kabisa..
Hivi wazungu walipokuwa wakishika wao madaraka kuendesha nchi ktk nafasi zote muhimu kulikuwepo na sababu gani ya kuwaondoa?..
je, tulipofanya hivyo ilikuwa chuki au?... maanake sioni tofauti kati ya Ukabila na Ubaguzi wa rangi ktk matukio ama uendeshaji wake. Najribu kutenganisha mifano hii miwili lakini nimekwama kwa sababu siwezi kutumia neno wageni kwa Wazungu nikaliacha kwa Wachagga..

Je, kuna jibu lolote ambalo tunaweza kulitumia na likawa halali kwa Wachagga lakini sio kwa Wazungu, waarabu na kadhalika..na kama hakuna je inakuwaje tunahalalisha kumwondoa mzungu madarakani, mzungu ambaye alikuwa na elimu na kila sifa kuliko hata huyo mchagga lakini tunalikataa inapofika kwa mchagga!..kuna tofauti zipi zinajenga ubaguzi wa kabila la ule wa rangi.
Ni swali tu sina jibu, nimeumizwa kichwa changu kwa muda kisha nimeona bora nililete kwa wataalam..
 
Mkandara...tofauti ya mzungu na mchagga ni kuwa Mzungu alitutawala kwa nguvu pasipo ridhaa yetu. Wazungu walikuja mahali kusiko kwao na wakafanya kana kwamba ni kwao. Kumbuka shairi la Shaaban Robert "Kwetu ni kwao kwanini".

Wazungu hawakuwa na haki na ardhi yetu, mali yetu na kila kitu kilichochetu. Wachagga na watu wa makabila mengine wana haki sawa kabisa na sisi wengine kwani hapa na wao ni kwao. Kama wamefanikiwa wamefanikiwa kupitia kilicho chao. Na wengine watakaofanikiwa hawana budi kufanikiwa kwa kutumia kilicho chao.

Tulipowaondoa wazungu walienda wapi? kwao. Tukiwaondoa wachagga katika nchi yao tutawapeleka wapi isipokuwa wale viongozi wenye chuki dhidi yao watajaribu kufanya kile kilichojaribiwa kufanya na Hitler.

Tatizo la Tanzania si wachagga. Anayelaumu wachagga kwa matatizo yake ni kwa sababu hana ujasiri wa kujiangalia yeye mwenyewe.
 
Jamani mimi kila mara mnapozungumzia ukabila na udini mwili wangu huwa unapata goose bumps.....haya maneno mawili yananitisha.....
 
Hivi niulize swali moja hapa!..Natazama pande mbili za hii shilingi pamoja na kwamba haina soko kabisa..
Hivi wazungu walipokuwa wakishika wao madaraka kuendesha nchi ktk nafasi zote muhimu kulikuwepo na sababu gani ya kuwaondoa?..
je, tulipofanya hivyo ilikuwa chuki au?... maanake sioni tofauti kati ya Ukabila na Ubaguzi wa rangi ktk matukio ama uendeshaji wake. Najribu kutenganisha mifano hii miwili lakini nimekwama kwa sababu siwezi kutumia neno wageni kwa Wazungu nikaliacha kwa Wachagga..

Je, kuna jibu lolote ambalo tunaweza kulitumia na likawa halali kwa Wachagga lakini sio kwa Wazungu, waarabu na kadhalika..na kama hakuna je inakuwaje tunahalalisha kumwondoa mzungu madarakani, mzungu ambaye alikuwa na elimu na kila sifa kuliko hata huyo mchagga lakini tunalikataa inapofika kwa mchagga!..kuna tofauti zipi zinajenga ubaguzi wa kabila la ule wa rangi.
Ni swali tu sina jibu, nimeumizwa kichwa changu kwa muda kisha nimeona bora nililete kwa wataalam..


Mkandara,
Kwangu mie hilo si chanzo cha matatizo. Kuna tofauti kati ya Mzungu na Mchaga. Ila kama Mchaga, Mahalu, Mhindi, Chenge nk wanaiba na kupeleka pesa NJE YA NCHI basi hamna tofauti kabisa na Mzungu/Mhindi. Kama Mkapa angeliiba na kuwekeza na hiyo miradi ikawa inatesa Africa nzima basi ingelikuwa poa sana. Ila ukisikia kajenga nyumba sijui UK, SA nk hapo ndipo unapata kichefuchefu.
Kama kweli humu kuna watu wanalengo la kujadili hili basi kwanza TUTAFUTE CHANZO na tukiipata mizizi tutajua hii chuki bin Fitina inaanzia wapi. Muda wote watu wanahaha na MATAWI weee kuwa ohhh haya yamekuwa makubwa sana hadi yanatuziba sisi mwanga wa jua. Kwangu mie UKABILA ni matawi. Awe Chenge, Mkapa, Mahalu, Rostam, Mramba, Anna, Ballali, nk ni FISADI tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom