SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
AyaNdo tupate sasa ushahidi wa vipofu wenyewe Kwa kutumia ushahidi na Utafiti wa kisanyansi kuhusu NDOTO za VIPOFU!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AyaNdo tupate sasa ushahidi wa vipofu wenyewe Kwa kutumia ushahidi na Utafiti wa kisanyansi kuhusu NDOTO za VIPOFU!!
Kwa tulio soma na hawa watu they are very special añaweza kujua huyuHahahahahaha mkuu,
Ukiwaona wakipita utahisi wapo wapo tu. Ila ukikaa nao,kwa karibu,utagundua kuna watu wenye macho,lakini hata akili zao hazifikii za hawa unaoulizia.
Binafsi nilichogundua,sehemu ya macho,walipewa sensi nyingine na inafanya kazi. Kwani unadhani mfano ukiingia ndani bila kubisha hodi haelewi kwamba kuna mtu kaingia?
Wapo vizuri sana. Wanasoma,yupo mmoja ana PHD. Sasa kwenye ndoto,huongea na watu,husimuliwa na wanavutaga picha ya simulizi. Kwa hiyo,kasoro tu macho,maisha mengine ni kama ya watu wa kawaida. Japo hawa viumbe hasa walioelimika,ni wabaguzi sana. Kama huna tatizo kama lao,kukuamini ni ngumu. Jiulize inapofikia hatua ya kuoana wao kwa wao
Usiyaite ya kitoto,kwa sababu kuuliza kwake ni kwamba hana maarifa. Wengi wetu hujiuliza vitu kama hivo. Ni mfano wa mtu anaeamini kwamba akiiba,akachomoa laini kwenye simu na kutupa,atakuwa amemaliza.Ndio lakini huwezi uliza maswali ya kitoto kama haya...upofu unaishia kwenye macho tu jamani
Nina ushuhuda wa vipofu wa KAZIMA TABORA, ntaweka baadaye nikiridhishwa na knowledge Kutoka Kwa wengine kuhusu jambo hili.Kwa tulip soma na hawa watu they are very special añaweza kujua huyu
Nani kwa kushika mkono tu darasa la watu 160
Ndo maana nimesema kama hujakaa nao,ni ngumu kuwaelewa,ila wewe fumba macho,mguse tu mama yako mzazi,tuone kama utamtambua.Kwa tulio soma na hawa watu they are very special añaweza kujua huyu
Nani kwa kushika mkono tu darasa la watu 160
Ndio nmeuliza nijueKiziwi kuskia njaa🤣
Tutawapata wapi au ccbrtPoint hapo, tuzame kwenye tafiti, tupate vipofu kadhaa, tupate kushare nao experience zao kuhusu ndoto.
Naamini wapo humu wataalam.
Siyo Kuota Tu, bali vipofu wanaona pia.Salaam, shalom!!
Twende haraka kwenye mada, nimekuwa nikipost mada za intelligence ya Mbinguni katika jukwaa hili na zinahamishiwa majukwaa mengine,
Leo tuanze mwaka na swali hili, Je vipofu wa Kuzaliwa huota ndoto?
Karibuni🙏
Wapo humu, wataleta tu ufafanuzi tuongeze Maarifa.Tutawapata wapi au ccbrt
Sijajua kwa mawasiliano ya kiswahili,Tutawapata wapi au ccbrt
Ahsante. Vipofu wanaona pia.Siyo Kuota Tu, bali vipofu wanaona pia.
Yes kwanza ukiwa unaota macho na masikio yako huwa hayafanyi kazi wakati huo unaweza kuota umekufa au upo vitani na kadhalika vitu ambavyo hujawahi hata kuviona au unaota unapaa na kadhalika thats brain sio macho au masikioUna ushahidi?
Kuna kitu nataka tujifunze hapa.
Kwani ndoto inatengenezwa kwenye Ubongo au Akili?Yes kwanza ukiwa unaota macho na masikio yako huwa hayafanyi kazi wakati huo unaweza kuota umekufa au upo vitani na kadhalika vitu ambavyo hujawahi hata kuviona au unaota unapaa na kadhalika thats brain sio macho au masikio
Ni kama vitu gani unatamani kujua kwao labda mkuu? Ninavyojua ntakuelewesha haina shida. Japo nina imani najua karibia 95%Wapo humu, wataleta tu ufafanuzi tuongeze Maarifa.
Pia ikiwa Kuna member humu anaishi na kipofu wa tangu Kuzaliwa asaidie kumhoji na kuleta majibu.
Nataka kujua ikiwa kipofu anaota ndoto au la!!Ni kama vitu gani unatamani kujua kwao labda mkuu? Ninavyojua ntakuelewesha haina shida. Japo nina imani najua karibia 95%
Hapo ndio utaamini uwezo wa Muumba.Unajua nini darcity , kwa mtu asiewaelewa ni haki kuwaza wanaishije.
Tofauti na watu wenye macho, ni kwamba kila kitu huwachukua mda kukamilisha. Wanafua nguo, wanadeki,wanapika balaa. Humenya viazi mwenyewe,atawasha jiko au gesi,atapika na atakupakulia.
-Humimina maji kwenye glass na hamwagi
-Huweza kutambua rangi ya nguo anayoenda kuvaa(anakuwa ameshakalili,ila ukimpa nguo yake atakwambia ina rangi gani)
Kwanza uelewe kitu kimoja. Hao watu walio wengi na walioweza kuelimika,hawana shida na kuwa na macho. Kwa sababu,walishakubaliana na hiho hali,na hawawezi kutamani kitu ambacho hakitakaa kiwezekane katika maisha yao.Nataka kujua ikiwa kipofu anaota ndoto au la!!
Na ikiwa aota ndoto, ni za aina Gani?
Yaani nataka kujua ikiwa anaota ndoto, anatumia mfumo upi, ni tofauti kiasi Gani na mfumo wetu?
Maana WANADAMU sometimes huota vitu ambavyo kamwe hatujawahi kuvionya duniani, so na vipofu ni hivyo hivyo?
Sasa akili inatoka kwenye ubongo ndio maana ubongo ukifa na mtu kisayansi anakuwa amekufa brain controls everything movement hisia na kadhalikaKwani ndoto inatengenezwa kwenye Ubongo au Akili?