Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

Hiyo ndiyo nyinyi SUNNI mnayojua ushahidi umewekewa Bado tu unakaza Shingo yako. Na Mwana mfalme Bin Salman atawanyoosha mpaka mseme poo. Soma hadithi 146
Ona hapo kibandiko

Huo ndiyo ushahidi wako wa maneno ya MBS?
 
Acha ubishi wa Kitoto, kama ameandika upuuzi mbona unam diss MBS?
Tambua kuwa MBS ndiye mlinzi Mkuu wa Quran na Utamaduni wake kwa sasa, akiamua leo hakuna kwwnda kuhiji Makka ndiyo itakua hakuna.
Watu wakiamua kubadilisha tamaduni wala hawashindwi, ni swala la muda tu. Waturuki waliingiza alama yao ya Mwezi Mchanga na Nyota mbona hadi leo watu mnaifuata na bila hiyo alama uislam haukamiliki?
 
Ndugu yangu kwa taarifa tu Wasaudia na Wairani ni Wasomi Wazuri sana. Licha ya hizo siasa kali. Mfano nchi hizo Zina Wana wake waliosoma ila mfumo dume uliwadidimiza. Kwa anavyoenda Bin Salmin watafika mbali
Wanawake walisomaje ikiwa wanadidimizwa!?
 
Inaonekana MBS ni noma, hataki utani, nadhani kwenye football ndiyo wameanzia vizuri.
 
Kwamba Uturuki ya Sasa ni Bora kuliko Ottoman? You cant be serious, kwenye peak yake Uturuki ni habari nyengine, wamecivilise ulaya Nzima ile.
Mimi nazungumzia Uturuki ya post WW1 wewe unaleta ya medieval era. Kwani ukiwauliza Waturuki founding father wao ni nani wanamtaja nani?

Alafu huoni hapo umechanganya vitu viwili tofauti, Ottoman empire vs Turkiye. Pale nimetaja Iran kwanini hujataka nitaje Achaemenid empire. Au pale Saudi Arabia kwanini hujataka nitaje zile kingdom mbili zilizokuwepo kabla ya familia ya al Saud
 
Wewe utakuwa huijui Saudi Arabia. Hela wanayopokea kwenye hija hata 5% ya bajeti yao haifiki. Unaona ni nyingi, je ni nyingi kulinganisha na nini. Wanaweza funga hizo miji mitakatifu na wasihisi chochote. Uko hawapati hata dola bilioni 20, hizo ni peanuts kwao
 
Kwa vitabu vilivyopita alikuwa hajajipanga kuvilinda?Ila sasa ndo kajipanga sio?
 
Then hio ni failure, kuisifia Uturuki ambayo imenyanganywa maeneo na kuwekewa vikwazo vya uchumi ni ujinga. Uturuki ya sasa ni weak compare na zamani, so unapowasifia wa sasa as if ni smart haimake sense. Zunguka unavyotaka ila point yangu ushaielewa.
 
Uturuki ni weak dhidi ya nani. Saudi Arabia, Iran au nani?
 
Sasa USA, France, Japan na China ziko Middle East au unajiandikisha kwenda na mkumbo. Hujui maana ya Middle East niliyotaja hapo?
Na quote paragraph yako


Quote yako ina maanisha
1. Ataturk alikua Mzembe wa dini
2. Uzembe wake wa dini ukasababisha Uturuki wawe na maendeleo makubwa
3. Uturuki hawajalegea kama wanaotegemea "Alhamdulilah" ya mafuta.

Lakini hili ni kweli? Uturuki ya Zamani na sasa ya sasa ipo Vyema? Naamini jibu unalo ila sababu wewe ni mramba miguu wa west unajiziba tu akili.

Uturuki ya Sasa ni shadow of former self, haifiki hata robo ya Uturuki ya Zamani na wao kuacha asili yao imepelekea huko.

Haya ni Masharti ambayo Ataturk na west Waliingia.
1. Uturuki isifanye Oil Exploration, Leo Uturuki hawazalishi mafuta na Gas si sababu hawana, la Hasha wanayo ila huu Mkataba uliwabana, Saudi na Nchi nyengine za Ghuba Zimeendelea sana Sababu ya mafuta just imagine lost Opportunity iliofanywa na Ataturk.

2. Waache Black Sea watu wapite kama Uani kwao wasipokee fee wala chochote

3. Maeneo yao kuporwa etc.

Kutokana na mkataba huo Uturuki ime suffer miaka 100, wakiangalia Taifa kubwa lililokuwa top duniani likibaki taifa la kawaida, mpaka Leo Uturuki imegawanyika kuhusu yeye, Pengine ni kati ya baba wa Taifa Controversial duniani. Ataturk ni Mangungo wa Ulaya.

Ndio Maana sasa Hivi Erdogan amekua popular sana sababu mwaka huu 2023 mkataba unaisha, west wanataka uwe renewed ila jamaa hataki wameshaanza Oil Exploration.
 
Yupi huyo? Mrithi ni mbs hakuna mwingine, huyo unaomsema hapa ni yupi?
 
We nae hujui ulichoandika!

Unaijua aramco? Na mmiliki wake ni nani?

Waarabu ndio wamiliki wakuu wa hayo mafuta marekani na nchi nyinginezo wanafanya biashara tu!
 
Sasa mungu gani Huyo Wa kutembezwa uchi kwa waja wake??? Mambo mengine bwana
 
Hiyo ndiyo nyinyi SUNNI mnayojua ushahidi umewekewa Bado tu unakaza Shingo yako. Na Mwana mfalme Bin Salman atawanyoosha mpaka mseme poo. Soma hadithi 146
Ona hapo kibandiko
View attachment 2746228
@FaizaFoxy usimjibu tena huyu hata ulivyomjibu alete ushahidi naona ulimfanyia tu hisani ila hastahili hiyo privilege mjinga kama huyu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…