Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

Je, Vision 2030 ya Saudi Arabia ya Mwana Mfalme Mohammed Bin Salman inamaanisha nini kwa Waumini wa SUNNI?

umeandika upuuz mtupu.MSIMAMO WA MTU MMOJA HAUWEZ KUWA MSIMAMO WA UISLAM.huyo mbs wenu ataondoka QURAN NA HADITH ZITABAKI.afanye atakavyo fanya ila maandiko ya uislam yatabaki vile vile.kwenye dhambi itabaki dhambi tu.na kwenye thawabu itabaki thawabu tu.uislam hauangalii wewe ni nani
Acha ubishi wa Kitoto, kama ameandika upuuzi mbona unam diss MBS?
Tambua kuwa MBS ndiye mlinzi Mkuu wa Quran na Utamaduni wake kwa sasa, akiamua leo hakuna kwwnda kuhiji Makka ndiyo itakua hakuna.
Watu wakiamua kubadilisha tamaduni wala hawashindwi, ni swala la muda tu. Waturuki waliingiza alama yao ya Mwezi Mchanga na Nyota mbona hadi leo watu mnaifuata na bila hiyo alama uislam haukamiliki?
 
Ndugu yangu kwa taarifa tu Wasaudia na Wairani ni Wasomi Wazuri sana. Licha ya hizo siasa kali. Mfano nchi hizo Zina Wana wake waliosoma ila mfumo dume uliwadidimiza. Kwa anavyoenda Bin Salmin watafika mbali
Wanawake walisomaje ikiwa wanadidimizwa!?
 
Inaonekana MBS ni noma, hataki utani, nadhani kwenye football ndiyo wameanzia vizuri.
 
Kwamba Uturuki ya Sasa ni Bora kuliko Ottoman? You cant be serious, kwenye peak yake Uturuki ni habari nyengine, wamecivilise ulaya Nzima ile.
Mimi nazungumzia Uturuki ya post WW1 wewe unaleta ya medieval era. Kwani ukiwauliza Waturuki founding father wao ni nani wanamtaja nani?

Alafu huoni hapo umechanganya vitu viwili tofauti, Ottoman empire vs Turkiye. Pale nimetaja Iran kwanini hujataka nitaje Achaemenid empire. Au pale Saudi Arabia kwanini hujataka nitaje zile kingdom mbili zilizokuwepo kabla ya familia ya al Saud
 
Mzee, Hawa wasaudi bila mafuta bado wanatoboa, Kuna baadhi ya watu duniani kote hukudanya fedha , ili wakalizunguke ndude Fulani jiwe jeusi wakiamini wakifanya hivyo watakwenda mbinguni. Hivyo wanaamini cash inflow Kila mwaka kwa watu hao, lazima iingie nchini kwao kama mwampisa anavyoamini watu lazima wafike kanisani kwake kuacha mapesa na baadaye kuksnyaga mafuta wayaitayo ya upako
Wewe utakuwa huijui Saudi Arabia. Hela wanayopokea kwenye hija hata 5% ya bajeti yao haifiki. Unaona ni nyingi, je ni nyingi kulinganisha na nini. Wanaweza funga hizo miji mitakatifu na wasihisi chochote. Uko hawapati hata dola bilioni 20, hizo ni peanuts kwao
 
Ambacho hatukifahamu ALLAH anasema wakati sisi tunapanga Naye anapanga ILA KATUKUMBUSHA KUWA "YEYE NI MBORA KABISA KATIKA KUPANGA"

Makka, Madina na Jerusalem ITABAKI NI MIJI MITIKUFU KABISA WALA HAKUNA UBISHI, MAKKAH na Madina Mola Mlezi ameahidi kuilinda HATA DAJJAL [MPINGA KRISTO] HATAKANYAGA!!!!

ila kingine USISHANGAE NCHI ZILIZOKUWA ZA KIKAFIRI [ MAJORITY NON MUSLIMS] Zikawa ndiyo MUSLIM COUNTRIES.....

Huwezi shindana na Mola Mlezi!!! Na Qur'an ameahidi ATAILINDA dhidi ya kukngiliwa na MIKONO MIOVU kama ilivyoingiliwa VITABU VILIVYOPITA....
Kwa vitabu vilivyopita alikuwa hajajipanga kuvilinda?Ila sasa ndo kajipanga sio?
 
Mimi nazungumzia Uturuki ya post WW1 wewe unaleta ya medieval era. Kwani ukiwauliza Waturuki founding father wao ni nani wanamtaja nani?

Alafu huoni hapo umechanganya vitu viwili tofauti, Ottoman empire vs Turkiye. Pale nimetaja Iran kwanini hujataka nitaje Achaemenid empire. Au pale Saudi Arabia kwanini hujataka nitaje zile kingdom mbili zilizokuwepo kabla ya familia ya al Saud
Then hio ni failure, kuisifia Uturuki ambayo imenyanganywa maeneo na kuwekewa vikwazo vya uchumi ni ujinga. Uturuki ya sasa ni weak compare na zamani, so unapowasifia wa sasa as if ni smart haimake sense. Zunguka unavyotaka ila point yangu ushaielewa.
 
Wanawake walisomaje ikiwa wanadidimizwa!?
Wanawake walisomaje ikiwa wanadidimizwa!?
Ona mwenyewe wanawake wa Saudia walivyosoma
Screenshot_20230912-000222.png
 
Then hio ni failure, kuisifia Uturuki ambayo imenyanganywa maeneo na kuwekewa vikwazo vya uchumi ni ujinga. Uturuki ya sasa ni weak compare na zamani, so unapowasifia wa sasa as if ni smart haimake sense. Zunguka unavyotaka ila point yangu ushaielewa.
Uturuki ni weak dhidi ya nani. Saudi Arabia, Iran au nani?
 
Sasa USA, France, Japan na China ziko Middle East au unajiandikisha kwenda na mkumbo. Hujui maana ya Middle East niliyotaja hapo?
Na quote paragraph yako

Wenzao Uturuki walipata bahati kiongozi wao wa kwanza Mustafa Kemal Ataturk alikuwa mzembe kwenye dini hadi leo wana maendeleo makubwa na hawajalegea kama hawa wanaotegemea alhamdulillah ya mafuta wakati kwa mabadiliko ya kiteknolojia, kisiasa na kiuchumi mafuta yatafika siku yasiwe big deal.

Quote yako ina maanisha
1. Ataturk alikua Mzembe wa dini
2. Uzembe wake wa dini ukasababisha Uturuki wawe na maendeleo makubwa
3. Uturuki hawajalegea kama wanaotegemea "Alhamdulilah" ya mafuta.

Lakini hili ni kweli? Uturuki ya Zamani na sasa ya sasa ipo Vyema? Naamini jibu unalo ila sababu wewe ni mramba miguu wa west unajiziba tu akili.

Uturuki ya Sasa ni shadow of former self, haifiki hata robo ya Uturuki ya Zamani na wao kuacha asili yao imepelekea huko.

Haya ni Masharti ambayo Ataturk na west Waliingia.
1. Uturuki isifanye Oil Exploration, Leo Uturuki hawazalishi mafuta na Gas si sababu hawana, la Hasha wanayo ila huu Mkataba uliwabana, Saudi na Nchi nyengine za Ghuba Zimeendelea sana Sababu ya mafuta just imagine lost Opportunity iliofanywa na Ataturk.

2. Waache Black Sea watu wapite kama Uani kwao wasipokee fee wala chochote

3. Maeneo yao kuporwa etc.

Kutokana na mkataba huo Uturuki ime suffer miaka 100, wakiangalia Taifa kubwa lililokuwa top duniani likibaki taifa la kawaida, mpaka Leo Uturuki imegawanyika kuhusu yeye, Pengine ni kati ya baba wa Taifa Controversial duniani. Ataturk ni Mangungo wa Ulaya.

Ndio Maana sasa Hivi Erdogan amekua popular sana sababu mwaka huu 2023 mkataba unaisha, west wanataka uwe renewed ila jamaa hataki wameshaanza Oil Exploration.
 
Yule mwamba mwingine kijana aliekuwa aongoze Saudia kwa sasa,waliemuua yule ndio alikuwa balaa. Amesoma ulaya. Alianza mapema tu kuonyesha mabadiriko. Alikuwa hakubariani kabisa na sheria za nchini mwao. kipindi hicho babaake ndio alikuwa anaongoza,huku yeye akitegemewa kupokea kijiti kutoka kwa baba,alikuwa anampinga wazi wazi babaake. Hasa sheria za kuwakandamiza kuwafunga jera za kificho ndugu zake.
Vijana walikuwa wanamkubali kichiz.yule mwamba. Wakafanya mpango wa kumuondoa haraka. Alikuwa bonge la kijana mwenye maono ya mbali. Hata hizi sera za huyu wa sasa mwasisi wake ni yule mwamba hayati
Yupi huyo? Mrithi ni mbs hakuna mwingine, huyo unaomsema hapa ni yupi?
 
ndio maana nimesema kule wanaenda kuchota mipesa kwa watu wasio jielewa. makampuni mengi ya uchimbaji mafuta kote huko ni ya wazungu, waarabu wanapata kamisheni tu, sema cha muhimu ni kwamba wanapata kamisheni kubwa sana, ila wazungu wakiondoa uwekezaji kwenye mafuta, wameisha hao. hawana meli binafsi za kusafirishia mafuta kwenda kwenye masoko, wawekezaji wazungu ndio wamiliki wa kila kitu. kusema nchi zote duniani zinategemea migration kusustain uchumi wao, hauelewi unachokiongea.
We nae hujui ulichoandika!

Unaijua aramco? Na mmiliki wake ni nani?

Waarabu ndio wamiliki wakuu wa hayo mafuta marekani na nchi nyinginezo wanafanya biashara tu!
 
Huwezi kushindana na Mola, wakati tayari wengi wameshamtupa nje ya ulingo tayari!
Unapodai kwamba tutakufa, kwani ni wafuasi wa dini gani hawafi?

Muhammad (S.A.W) amekufa na ameshakuwa udongo, Yesu amening'inizwa hadharani uchi mpaka kifo, ndani ya Makanisa kuna makaburi, ndani ya waislamu yapo pia.

Hizo hofu za kitoto zimeshapitwa na wakati.
Sasa mungu gani Huyo Wa kutembezwa uchi kwa waja wake??? Mambo mengine bwana
 
Hiyo ndiyo nyinyi SUNNI mnayojua ushahidi umewekewa Bado tu unakaza Shingo yako. Na Mwana mfalme Bin Salman atawanyoosha mpaka mseme poo. Soma hadithi 146
Ona hapo kibandiko
View attachment 2746228
@FaizaFoxy usimjibu tena huyu hata ulivyomjibu alete ushahidi naona ulimfanyia tu hisani ila hastahili hiyo privilege mjinga kama huyu!
 
Back
Top Bottom