Je, vita vikiendelea miezi sita ijayo Urusi ataishiwa silaha?

Je, vita vikiendelea miezi sita ijayo Urusi ataishiwa silaha?

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
Nimetafakari na kugundua silaha zinazopelekwa Ukraine ni nyingi sana.

Nimesoma Ujerumani wanasitisha kuendelea kumsaidia maana wataishiwa silaha wamebakiza akiba.

Mchambuzi mwingine anasema hats US atakoma siku zikiendelea maana silaha zake zitapungua kwenye akiba zake.

Najiuliza nchi karibuni thelathini zipeleke silaha nyingi hivyo Ukraine alafu urusi haingizi silaha mpya naona kama atachoka na kuishiwa mabomu na miundombinu ya kivita.

Je, ni mbinu ya NATO kumchosha ili waje waishtukize Russia?

Je Russia anasilaha nyingi kiasi hicho?
 
Urusi keshafeli kwenye mipango ya kijeshi. Kapewa kichapo cha mbwa koko kwenye miji ya ndanindani huko Ukraine kakimbilia kwenye miji ya mashariki kwenye watu wa asili ya urusi wengi. Na huko pia atafuatwa apewe kichapo na kufurumushwa kabisa atoke ndani ya ardhi ya Ukraine
 
Urusi keshafeli kwenye mipango ya kijeshi. Kapewa kichapo cha mbwa koko kwenye miji ya ndanindani huko Ukraine kakimbilia kwenye miji ya mashariki kwenye watu wa asili ya urusi wengi. Na huko pia atafuatwa apewe kichapo na kufurumushwa kabisa atoke ndani ya ardhi ya Ukraine
Mh!
 
US kapigana vita miaka 20 zaidi. US hawezi kuwa na shida ya silaha hata siku moja..... Na ndio maana unaona yeye ndo anaombaa zaidi.

Anachofanya US anawapa washirika US made weapons, washirika wanatoa Soviet made kwenda Ukraine
 
Ha ha ha ha ha ha we jamaa unanichekesha urusi inatoda doza huku ikraine huku ikiendelea kuuza silaha kwa mataifa mengine wakati hiyo ukraine imegeuzwa magofu kwa ndege za zaman ambazo ni su 25 z.

Inchi za magharib wasipojia angalia silaha zao zitaisha kama findland na ujeruman
 
Urusi keshafeli kwenye mipango ya kijeshi. Kapewa kichapo cha mbwa koko kwenye miji ya ndanindani huko Ukraine kakimbilia kwenye miji ya mashariki kwenye watu wa asili ya urusi wengi. Na huko pia atafuatwa apewe kichapo na kufurumushwa kabisa atoke ndani ya ardhi ya Ukraine
😂😂😂Pole mkuu uwahurumii wenzio wanavyotunguliwa huko‼️
 
Urusi keshafeli kwenye mipango ya kijeshi. Kapewa kichapo cha mbwa koko kwenye miji ya ndanindani huko Ukraine kakimbilia kwenye miji ya mashariki kwenye watu wa asili ya urusi wengi. Na huko pia atafuatwa apewe kichapo na kufurumushwa kabisa atoke ndani ya ardhi ya Ukraine
Ni kweli kabisa mkuu,na Jana Putin amempigia simu Zelensky akiomba amrudishie mji wa Crimea,Mariupol lkn kwa sharti la kuomba mpango wa Zelensky kwenda kuikamata Moscow usitishwe,ana Hali mbaya Sana urusi.Yaani hata chakula Cha kulisha jeshi lake kiliisha, wanajeshi wake wanaiba tu kwny ma supermarket sa hivi ili wa-survive.
 
Ha ha ha ha ha ha we jamaa unanichekesha urusi inatoda doza huku ikraine huku ikiendelea kuuza silaha kwa mataifa mengine wakati hiyo ukraine imegeuzwa magofu kwa ndege za zaman ambazo ni su 25 z


Inchi za magharib wasipojia angalia silaha zao zitaisha kama findland na ujeruman
Na Canada nao walitangaza Muda mrefu tu kwamba silaha za kutuma UKRAINE zimeshawaishia.
 
Urusi ana silaha nyingi alizibakiza tangu enzi za ww2,

Ikumbukwe urusi hajatumia Sana sophisticated weapons tangu Vita Hii ianze, anakwenda na mizinga na vifaru ambayo Ni mabaki ya ww2

Jana marekanj wamekiri kua mpka Sasa urusi hajatumia hata 25% ya silaha zake Ukraine.

Kingine,
Wkt Vita bado inaendleea, bado uzalishaji wa silaha unaendelea maana malighafi za kutengeneza anazo mwenyewe haagizi nje
 
Urusi ana silaha nyingi alizibakiza tangu enzi za ww2,

Ikumbukwe urusi hajatumia Sana sophisticated weapons tangu Vita Hii ianze, anakwenda na mizinga na vifaru ambayo Ni mabaki ya ww2

Jana marekanj wamekiri kua mpka Sasa urusi hajatumia hata 25% ya silaha zake Ukraine.

Kingine,
Wkt Vita bado inaendleea, bado uzalishaji wa silaha unaendelea maana malighafi za kutengeneza anazo mwenyewe haagizi nje

Mwambie awape wanajesh wake chakula kwanza waache kupora maana hali ngumu.
 
Back
Top Bottom