yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Wanatumia na kuzalisha kwa wingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu utudanganye ya Sniper kufa,General wa US kule NATO kukamatwa na kubwa kuliko zote ya Kyiv kuwa chini ya Russia ndani ya masaa kadhaa,huwa nikiona comment yako nabaki kuguna hiiiiiiiii (in JPM's voice) [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ha ha ha ha ha ha we jamaa unanichekesha urusi inatoda doza huku ikraine huku ikiendelea kuuza silaha kwa mataifa mengine wakati hiyo ukraine imegeuzwa magofu kwa ndege za zaman ambazo ni su 25 z.
Inchi za magharib wasipojia angalia silaha zao zitaisha kama findland na ujeruman
Likely, sasa amekodi mamluki toka Libya, Syrina na kwengineko ni wazi ata jeshi hana lakini kwa ulaya kuisaidia Ukraine bado hawajachoka nadhan mpango waendeleaNimetafakari na kugundua silaha zinazopelekwa Ukraine ni nyingi sana.
Nimesoma Ujerumani wanasitisha kuendelea kumsaidia maana wataishiwa silaha wamebakiza akiba.
Mchambuzi mwingine anasema hats US atakoma siku zikiendelea maana silaha zake zitapungua kwenye akiba zake.
Najiuliza nchi karibuni thelathini zipeleke silaha nyingi hivyo Ukraine alafu urusi haingizi silaha mpya naona kama atachoka na kuishiwa mabomu na miundombinu ya kivita.
Je, ni mbinu ya NATO kumchosha ili waje waishtukize Russia?
Je Russia anasilaha nyingi kiasi hicho?
Leo tu Ametest kombora ambalo halizuiliki na defense yoyote ya sasa, Sarmat. Kuna Silaha za Mrusi za kupigana na mabwama wakubwa kama Us, na kuna Silaha zinazotumika sehemu kama Ukraine.Baada ya kushindwa mnatafta sababu, silaha gan ambazo hajatumia???, mpaka analalamika mda wote
Sasa nchi ikishakuwa na polisi wa namna hii unategemea raia watakuwaje zaidi ya kujaza makamasi vichani mwao badala ya Ubongo?Mwambie awape wanajesh wake chakula kwanza waache kupora maana hali ngumu.
Alisikika mlevi mmoja wa chibuku akisemaUrusi keshafeli kwenye mipango ya kijeshi. Kapewa kichapo cha mbwa koko kwenye miji ya ndanindani huko Ukraine kakimbilia kwenye miji ya mashariki kwenye watu wa asili ya urusi wengi. Na huko pia atafuatwa apewe kichapo na kufurumushwa kabisa atoke ndani ya ardhi ya Ukraine
Urusi malalamiko yake ni kuishiwa vilainishi. Analazimika kuwabaka kavu kavu. Ila upande wa silaha...!Urusi mpaka anaomba msaada wa wapiganaji waende kumsaidia, kaweka dau kabisa...Limeli lake babu kubwa lilizamishwa tukiona, limsafara lote kilomita 64 limeliwa shaba...
Urusi mbali. Tunaanza kuwaambia manyang'au wamalize tatizo LA njaa kwanza Kenya. Wamalizane na wasomali. Ndipo waanze kuwatikisia masaburi warusiMwambie awape wanajesh wake chakula kwanza waache kupora maana hali ngumu.
Unawajua hao Kyiv post!?Likely, sasa amekodi mamluki toka Libya, Syrina na kwengineko ni wazi ata jeshi hana lakini kwa ulaya kuisaidia Ukraine bado hawajachoka nadhan mpango waendelea
View attachment 2194160
Yule kamanda wa jeshi la maji wa Ukraine kajificha kiwandani analia lia kule MariupolUrusi keshafeli kwenye mipango ya kijeshi. Kapewa kichapo cha mbwa koko kwenye miji ya ndanindani huko Ukraine kakimbilia kwenye miji ya mashariki kwenye watu wa asili ya urusi wengi. Na huko pia atafuatwa apewe kichapo na kufurumushwa kabisa atoke ndani ya ardhi ya Ukraine
Russia sio zimbabwe, Russia haitaji kununua au kusaidiwa kama Ukraine. Yeye anazifyatua tu kama vile mchina anavyofyatua vi t-shirtsNimetafakari na kugundua silaha zinazopelekwa Ukraine ni nyingi sana.
Nimesoma Ujerumani wanasitisha kuendelea kumsaidia maana wataishiwa silaha wamebakiza akiba.
Mchambuzi mwingine anasema hats US atakoma siku zikiendelea maana silaha zake zitapungua kwenye akiba zake.
Najiuliza nchi karibuni thelathini zipeleke silaha nyingi hivyo Ukraine alafu urusi haingizi silaha mpya naona kama atachoka na kuishiwa mabomu na miundombinu ya kivita.
Je, ni mbinu ya NATO kumchosha ili waje waishtukize Russia?
Je Russia anasilaha nyingi kiasi hicho?
kaka unasoma habari zako unatoa wapi?Uchumi wa Urusi uko pale pale,..Ni kweli kabisa mkuu,na Jana Putin amempigia simu Zelensky akiomba amrudishie mji wa Crimea,Mariupol lkn kwa sharti la kuomba mpango wa Zelensky kwenda kuikamata Moscow usitishwe,ana Hali mbaya Sana urusi.Yaani hata chakula Cha kulisha jeshi lake kiliisha, wanajeshi wake wanaiba tu kwny ma supermarket sa hivi ili wa-survive.
Kuachambua ya nchi yenu mnashindwa unashadadia mambo ambayo unataona kwenye media ambazo hazielezi ukweliFb, Twitter, watsup nk zote zimeanza US na wewe unazijua umewahi kufika US? Dogo mbona unajizima data?
Mbona wewe unafahamu kuwa 1961 tulipata uhuru lakini haukuwepo?Wabongo Kwa kujua mambo ya nchi ambazo hata hamjawahi kufika 😂😂😂
Haya tuambie Azory Gwanda na Ben Saanane wako wapiKuachambua ya nchi yenu mnashindwa unashadadia mambo ambayo unataona kwenye media ambazo hazielezi ukweli
Huo ni uhuru wa watawala je wewe uko huru kujadili mazaifu ya viongozi, au kuwakosoa, au kuomba mabadiliko uko huru?Mbona wewe unafahamu kuwa 1961 tulipata uhuru lakini haukuwepo?
Nazani unajua nani wa kumuuliza mambo mengine uwe unafikiri kwanza ndipo unamuuliza mtuHaya tuambie Azory Gwanda na Ben Saanane wako wapi