Je, vita vikiendelea miezi sita ijayo Urusi ataishiwa silaha?

Je, vita vikiendelea miezi sita ijayo Urusi ataishiwa silaha?

Ha ha ha ha ha ha we jamaa unanichekesha urusi inatoda doza huku ikraine huku ikiendelea kuuza silaha kwa mataifa mengine wakati hiyo ukraine imegeuzwa magofu kwa ndege za zaman ambazo ni su 25 z.

Inchi za magharib wasipojia angalia silaha zao zitaisha kama findland na ujeruman
Tangu utudanganye ya Sniper kufa,General wa US kule NATO kukamatwa na kubwa kuliko zote ya Kyiv kuwa chini ya Russia ndani ya masaa kadhaa,huwa nikiona comment yako nabaki kuguna hiiiiiiiii (in JPM's voice) [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimetafakari na kugundua silaha zinazopelekwa Ukraine ni nyingi sana.

Nimesoma Ujerumani wanasitisha kuendelea kumsaidia maana wataishiwa silaha wamebakiza akiba.

Mchambuzi mwingine anasema hats US atakoma siku zikiendelea maana silaha zake zitapungua kwenye akiba zake.

Najiuliza nchi karibuni thelathini zipeleke silaha nyingi hivyo Ukraine alafu urusi haingizi silaha mpya naona kama atachoka na kuishiwa mabomu na miundombinu ya kivita.

Je, ni mbinu ya NATO kumchosha ili waje waishtukize Russia?

Je Russia anasilaha nyingi kiasi hicho?
Likely, sasa amekodi mamluki toka Libya, Syrina na kwengineko ni wazi ata jeshi hana lakini kwa ulaya kuisaidia Ukraine bado hawajachoka nadhan mpango waendelea

mac.jpg
 
Baada ya kushindwa mnatafta sababu, silaha gan ambazo hajatumia???, mpaka analalamika mda wote
Leo tu Ametest kombora ambalo halizuiliki na defense yoyote ya sasa, Sarmat. Kuna Silaha za Mrusi za kupigana na mabwama wakubwa kama Us, na kuna Silaha zinazotumika sehemu kama Ukraine.

Kuna vitu vikishushwa hapo ukraine hadi panya hawatasalimika.
 
Urusi keshafeli kwenye mipango ya kijeshi. Kapewa kichapo cha mbwa koko kwenye miji ya ndanindani huko Ukraine kakimbilia kwenye miji ya mashariki kwenye watu wa asili ya urusi wengi. Na huko pia atafuatwa apewe kichapo na kufurumushwa kabisa atoke ndani ya ardhi ya Ukraine
Alisikika mlevi mmoja wa chibuku akisema

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Urusi mpaka anaomba msaada wa wapiganaji waende kumsaidia, kaweka dau kabisa...Limeli lake babu kubwa lilizamishwa tukiona, limsafara lote kilomita 64 limeliwa shaba...
Urusi malalamiko yake ni kuishiwa vilainishi. Analazimika kuwabaka kavu kavu. Ila upande wa silaha...!
Anasikitika NATO kupeleka silaha zakizamani. Anatamani wamhonge huyo shoga wao silaha za kisasa

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Urusi keshafeli kwenye mipango ya kijeshi. Kapewa kichapo cha mbwa koko kwenye miji ya ndanindani huko Ukraine kakimbilia kwenye miji ya mashariki kwenye watu wa asili ya urusi wengi. Na huko pia atafuatwa apewe kichapo na kufurumushwa kabisa atoke ndani ya ardhi ya Ukraine
Yule kamanda wa jeshi la maji wa Ukraine kajificha kiwandani analia lia kule Mariupol
 
Nimetafakari na kugundua silaha zinazopelekwa Ukraine ni nyingi sana.

Nimesoma Ujerumani wanasitisha kuendelea kumsaidia maana wataishiwa silaha wamebakiza akiba.

Mchambuzi mwingine anasema hats US atakoma siku zikiendelea maana silaha zake zitapungua kwenye akiba zake.

Najiuliza nchi karibuni thelathini zipeleke silaha nyingi hivyo Ukraine alafu urusi haingizi silaha mpya naona kama atachoka na kuishiwa mabomu na miundombinu ya kivita.

Je, ni mbinu ya NATO kumchosha ili waje waishtukize Russia?

Je Russia anasilaha nyingi kiasi hicho?
Russia sio zimbabwe, Russia haitaji kununua au kusaidiwa kama Ukraine. Yeye anazifyatua tu kama vile mchina anavyofyatua vi t-shirts
 
Ni kweli kabisa mkuu,na Jana Putin amempigia simu Zelensky akiomba amrudishie mji wa Crimea,Mariupol lkn kwa sharti la kuomba mpango wa Zelensky kwenda kuikamata Moscow usitishwe,ana Hali mbaya Sana urusi.Yaani hata chakula Cha kulisha jeshi lake kiliisha, wanajeshi wake wanaiba tu kwny ma supermarket sa hivi ili wa-survive.
kaka unasoma habari zako unatoa wapi?Uchumi wa Urusi uko pale pale,..

Jana Kamanda mmoja wa Ukraine ameomba msaada,majeshi yake yamezungukwa na majeshi ya Urusi,

Leo Putin amemwambia waziri wake wa ulinzi kuwa asishambulie kiwanda cha chuma walikojificha Wanajeshi wa Ukraine ambacho kimzungukwa na majeshi ya Urusi

"Msishambulie lakini izungukeni hiyo sehemu asitoke hata nzi"..hayo ni maneno ya Putin raisi wa Urusi

Sanctions hazifanyi kazi,..
 
Marekani mpaka sasa katoa msaada wa dola bilion 4 hivi,...
Hizo silaha anazotoa sio sehem ya akiba ni silaha za biashara, kuziuzia nchi nyingine....

Hivyo anatoa pesa hazina anakwenda kununua kwenye jeshi lake na makampuni mengine yanayotengeneza silaha....

Yeye ana akiba ya kutosha kupigana vita miaka 10....

Urusi tunampa mwaka mmoja, akishalegea tunamchakaza ndani ya siku 6 biashara inakwisha, baada ya hapo tuna dili na China
 
Back
Top Bottom