Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Mbona wanatishia Nuclear badala ya hizo hightech silaha.
Maana Nuclear ni option ya mwisho.
silaha za nuclear syo silaha???….
Umesahau vita haichagui silaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wanatishia Nuclear badala ya hizo hightech silaha.
Maana Nuclear ni option ya mwisho.
Urusi keshafeli kwenye mipango ya kijeshi. Kapewa kichapo cha mbwa koko kwenye miji ya ndanindani huko Ukraine kakimbilia kwenye miji ya mashariki kwenye watu wa asili ya urusi wengi. Na huko pia atafuatwa apewe kichapo na kufurumushwa kabisa atoke ndani ya ardhi ya Ukraine
Ni kweli kabisa mkuu,na Jana Putin amempigia simu Zelensky akiomba amrudishie mji wa Crimea,Mariupol lkn kwa sharti la kuomba mpango wa Zelensky kwenda kuikamata Moscow usitishwe,ana Hali mbaya Sana urusi.Yaani hata chakula Cha kulisha jeshi lake kiliisha, wanajeshi wake wanaiba tu kwny ma supermarket sa hivi ili wa-survive.
Mwambie awape wanajesh wake chakula kwanza waache kupora maana hali ngumu.
sarcasm jomba,jiongeze.Ukisikia changanya na za kwako??
Kama kutakua na jitihada za kuivamia moscow bas ujue nyuklia zote zitaishia apo ukraine kusibak na kitu