Uchaguzi 2020 Je, Vyombo vya Habari hapa nchini vimeripoti "press conference" aliyoifanya mgombea Urais kupitia Chadema, Tundu Lissu?

Je, UPAMBAVU ni TUSI?

"WA AJABU HAIJAPATA KUTOKEA" nalo ni TUSI?

HOFU, HOFU, HOFU
VYOMBO VYA HABARI HAVIKO HURU.
Vyombo vyote vya habari vineendelea kuvfyata mikia yao kwenye bukuta
 
Vyombo vyote vya habari vineendelea kuvfyata mikia yao kwenye bukuta
mdudu
Mama mbavu zangu 😁 😛

Kwa maelezo yako ni kwamba vyombo karibuni vyote vya habari, hapa nchini zimeifyata "mikia" yao kwenye bukta zao?
 
Haitawasaidia chochote, mwisho wa siku watakuja kuaibika tu. Hakuna Dikteta anayedumu MILELE.

mbona unaongea kwa huruma sana! wewe mwenyewe hauna mda mrefu duniani
 

Mimi nimetazama LIVE kupitia youtube na SIJASIKIA TUSI LOLOTE!.
 
Wafanyakazi ( walimu, wajeda ,watumishi mbali mbali), waliofukuzwa kazi, mama ntilie, boda boda, wamachinga, waliokosa ajira na wanyonge wote hao wanawachora tu. Ila yaliyopo moyoni ni kwenye sanduku la kura ,
Mpaka hawa TBC nao watapindua meza

Tuendelee kupiga kampeni ,. Mwaka huu mtapigwa chini kimya kimya.
 
Hana issue za kuripotiwa , hakuna MTU wa kuripoti matusi na kejeri za muungano . Yeye akazane kuita wenzake , Wajinga, wapuuzi, washamba, Dictator, atukane majina yote lakini hakuna media yeyote itaripoti maneno hayo tena.
Kama vile unamiliki chombo cha habari vile, kumbe kapuku mmoja tu

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
naona unateseka mkuu
 
Hana issue za kuripotiwa , hakuna MTU wa kuripoti matusi na kejeri za muungano . Yeye akazane kuita wenzake , Wajinga, wapuuzi, washamba, Dictator, atukane majina yote lakini hakuna media yeyote itaripoti maneno hayo tena.
Siasa zinahitaji ukomavu wa kisiasa,sio watu wengi wanapenda kusikia lugha ya makuli.
 
Magazeti yote ya leo na jana na siku zilizopita hayaweki picha za mikutano ya wagombea wa upinzani hasa CHADEMA ila magazeti yote yamejaa picha za mikutano ya Magu na caption za kuvutia.
Bila shaka ni amri toka juu.
 
Hana issue za kuripotiwa , hakuna MTU wa kuripoti matusi na kejeri za muungano . Yeye akazane kuita wenzake , Wajinga, wapuuzi, washamba, Dictator, atukane majina yote lakini hakuna media yeyote itaripoti maneno hayo tena.
Kwenye jina lako toa ..... o.... weka .....u
 
Je yule fara anayetumia matusi kama katerero, unamsemaje? Na vyombo vya habari vinayarudia hivyo hivyo!
 
..uwezo wa TL kujenga hoja unazidi kujidhihirisha kila anavyopata nafasi ya kuzungumza na makundi mbalimbali.

..lingine ni kwamba TL ana uelewa wa mambo mengi sana tofauti na ile imani kwamba yeye ni mtu wa sheria-sheria tu.
 
Hana issue za kuripotiwa , hakuna MTU wa kuripoti matusi na kejeri za muungano . Yeye akazane kuita wenzake , Wajinga, wapuuzi, washamba, Dictator, atukane majina yote lakini hakuna media yeyote itaripoti maneno hayo tena.
Idiocy!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…