Uchaguzi 2020 Je, Vyombo vya Habari vitaanza kumpa "Coverage" kubwa Tundu Lissu, mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA?

waWapunguze uoga, wampe tu coverage.
 
Haa haaa amna hela mwenyekiti anajilipa kwanza 50m .alizozikopesha chama na mwaka huu ruzuku inaenda kwaanguka kwa asilimia 96
 
Habari ya Mjini ni Lissu kwa sasa, wanafikiri kwa kuvikataza vyombo vya habari basi Lissu hatasikika kumbe ndo kwanza habari zake zinatembea kwa speed ya mwanga, jiwe na jopo lake la roho mbaya anataman kupasuka
 
Tunashukuru kama vyombo vya habari vimerejea katika kutekeleza majukumu yao kwa weledi
 
Hiyo ndio hali alisi kabisa kila ninapo angalia TVs na Ninapo soma Magazeti. Kwa kweli hii hali inasikitisha kwa Tasnia ya Habari nchini karne hii ya 21. NI AIBU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…