[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mimi ndio nilivyokuwa nafikiri, hapo ni kama kujenga Vyoo vya shimo kwa mtindo tofauti.
Wakati nasoma kwenye shule moja kongwe ya serikali tulikuwa na Vyoo vya aina mbili, vile vya kuflash na vile vya shimo ambavyo tulivipa jina na kuviita 'mapambano'....kutokana na changamoto ya maji ilikuwa ni salama na rahisi zaidi kutumia choo cha mapambano.
Kazi inaendelea!!!!WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Mmekubali kufanywa nini!?
Halafu kila mwaka unahitimisha wahandisi,wasanifu majengo n.kNdio mafanikio ya sera za Force Account.
Serikali inamuamini fundi Maiko, makandarasi ni wezi kabisa.
Bongo kila mtu msemaji kaka....Mnachanganya. Kujenga nyumba binafsi ambayo ina choo kimoja au viwili ni tofauti sana na kujenga yenye vyoo tisa vilivyojipanga. Sio sehemu zote Tanzania zenye uzoefu wa manholes, septic tank na soak pit.
Hata wale ambao wana vyoo vinavyotumia maji wengi hawajui namna vilivyounganishwa kwenye septic tank maana mabomba yanakuwa yamefikiwa. Na sio wote wanaojenga nyumba zao. Wengi tuu ni wapangaji.
Huyo mtu atakayejenga hivi kwa makusudi ili apige fedha atakuwa punguani kweli. Hapa ni ignorance tu na sio ufisadi.
Amandla...
Wote hao hawafui dafu kwa fundi Maiko aliyepigiwa upatu na Serikali hadi sasa tunaona uzoefu wake.Halafu kila mwaka unahitimisha wahandisi,wasanifu majengo n.k
Mkuu wewe unsona septic tank pale?Mnachanganya. Kujenga nyumba binafsi ambayo ina choo kimoja au viwili ni tofauti sana na kujenga yenye vyoo tisa vilivyojipanga. Sio sehemu zote Tanzania zenye uzoefu wa manholes, septic tank na soak pit.
Hata wale ambao wana vyoo vinavyotumia maji wengi hawajui namna vilivyounganishwa kwenye septic tank maana mabomba yanakuwa yamefikiwa. Na sio wote wanaojenga nyumba zao. Wengi tuu ni wapangaji.
Huyo mtu atakayejenga hivi kwa makusudi ili apige fedha atakuwa punguani kweli. Hapa ni ignorance tu na sio ufisadi.
Amandla...
Kazi haijamalizika. Lakini inaelekea ni tanki tu la kuhifadhi choo maana sioni baffle wall wataiwekaje.Mkuu wewe unsona septic tank pale?
Kuna jambo hujalijua ila inajifanya kujua swala la ujenzi waachieni wajenzi wao ndio wanajua kwa mazungira yapi kijengwe nini.Tatizo siyo kufukia pekee. Hakuna chemba ndogo za kupokea mzigo na kuunganisha kwenye chemba kubwa. Hapo harufu itawasumbua sana na ikitokea kumeziba sijui watayakata hayo mabomba kuzibua na kuyaunga tena?
Mitano tena kwa mkandarasi
Kwani septic haipo mkuu?Mkuu wewe unsona septic tank pale?
Tumia Akili hata za kuazima mkuuKwani huoni kama ujenzi unaendelea hapo!
Na uyo mtu aje na msumeno kukata ina maana si amedhamilia hata ukifukia chini utasema vip mtu akija na jembe kuchimbua
Hivi kweli hata kama hujui kusoma hata picha huioni< hao unaowatetea wanaweza kujenga vyoo vya namna hiyo majumbani kwao? Je huyo Mkandarasi na mafundi wake hawaoni hata aibu kwa kitendo hicho?Ndio shida ya force account. Wote hao hawajui lolote kuhusu miundo mbinu ya maji taka kwenye vyoo na mabafu mengi. Kuwatumbua itakuwa sio haki.
Ni kuwaletea mtaalamu atakae waelekeza namna ya kujenga inspection chambers, septic tanks, soak pits au French drains. Sio makosa yao. Na michoro mengi inakosa michoro ya hii miundo mbinu.
Amandla...
Wanafunzi wanakua na kuona utendaji wa kazi wa namna hii unadhani unawajengea utamaduni ganiWaziri Ummy na DED wa hiyo Wilaya tunaomba maelezo..
Hata hivyo tunamshukuru uhuru wa kutoa maoni na kuibua uozo maana awamu ya Mwendazake ulikuwa marufuku kuonyesha madhaifu ya serikali bali sifa za bwana Magu kiongozi wa malaika na wanyonge.
Receiving mini-chamber ina umuhimu mkubwa sana kwa sewarge system yeyote.Kuna jambo hujalijua ila inajifanya kujua swala la ujenzi waachieni wajenzi wao ndio wanajua kwa mazungira yapi kijengwe nini.