Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaitwa kila tundu na bomba lake...Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini...
What huyo aliyejenga ni fundi kweli?View attachment 1957636
WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Hawa ni kuwawajibisha but vyoo vingi ukienda havijajengwa hivyo..View attachment 1957636
WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Waziri Ummy na DED wa hiyo Wilaya tunaomba maelezo..Hiv watu ni makusudi au
Jf waongeze emojis maana nilikua nataka nioneshe kicheko cha kujigalagaza hapa hamna😂😂😂😂
Harufu yote itarudi ndaniNgoma zinaenda moja kwa moja bila kupita kwenye chemba ndogo, huyu injinia ni noma.......angeleta huu utaalamu kwa mafundi wetu wa kitaa.
DU! Hatari.Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini...
Waziri Ummy,DED wa hiyo Halmashauri watoe maelezo ya upuuzi kama huo.. Haiwezekani fedha za Umma zitumike hivi.Viongozi wenye dhamana ya kusimamia majengo ya serikali hebu tuwe na huruma na uchungu wa fedha za serikali ambazo ni kodi wanazokamuliwa masikini...
Mhh jamani wa TZ sasa is too much! Inatia kinyaa na kukatisha tamaa kama kuna wenzetu wanafanya haya!View attachment 1957636
WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Kuisaidia Serikali ni vema kueleza ujenzi huu ni wa shule gani, hao wakaguzi tunaowaona wamechukua hatua gani? inasaidia wahusika kufuatilia.View attachment 1957636
WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
View attachment 1957636
WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
Acha kabisa 😸Hapo hakuna hata haja ya kuflash, kimba linateleza tu
Hayo mabomba yatafukiwa. Ujenzi unaendelea. Kwa wasiojua mnaona ajabu but huo ni mtindo unatumika Sana kwenye shule hasa za umma ambazo hazna maji ya kutoshaa. Hpo Kopo la maji tu linatoshaAcha kukatwa jua la miezi 6 tu kwishney
Mkuu nimekuelewa ila kosa hapo Ni hizo bomba ni nyembamba sana walahiii.. Yani hapo watoto wakitupia makaratasi kidogo tu panaziba fasta...!! Ila pia wangekuwa wamefunika hata tusingeona haya madhaifu...Hayo mabomba yatafukiwa. Ujenzi unaendelea. Kwa wasiojua mnaona ajabu but huo ni mtindo unatumika Sana kwenye shule hasa za umma ambazo hazna maji ya kutoshaa. Hpo Kopo la maji tu linatosha
kupunguza gharama ya kujenga chemba, aisee hii ni mpya... yaani mzigo unatoka toilet unapita kwa bomba moja kwa moja kwenye karo.WATOTO WETU WOTE WATAINGIA FORM 1 MWAKA HUU HATUNA SECOND SELECTION TUMEJENGA MADARASA YA KUTOSHA RAIS AMETOA 842 BILIONI alisikika kiongozi mmoja akinadi kwa bashasha na masham sham sera za Chama
4" ni nyembamba? Ilifaa waweke "ngapi?Mkuu nimekuelewa ila kosa hapo Ni hizo bomba ni nyembamba sana walahiii.. Yani hapo watoto wakitupia makaratasi kidogo tu panaziba fasta...!! Ila pia wangekuwa wamefunika hata tusingeona haya madhaifu...