Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?

Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?

haya mabo ya gender equality si yamekuwa initoated na hao hao wazungu? kama sio wao hata viti maalumu visingekuwepo,japo havisaidii
Hakuna siku wazungu wamelazimisha gende equality kama wanavyolazimisha kutambuliwa kwa mashoga. Hadi nchi zinawekewa sunction! Sijawahi sikia wakiweka sunctions kwa nchi isiyoheshimu haki za akina mama kama watakavyo. Ni unafiki tu! Wakifanya upuuzi ni maendeleo, Afrika tukifanya mila zetu eti ni kinyume cha haki.
 
Naunga mkono hoja, gender balance is not 50/50, but promotional representation, kama kwa Rwanda wanawake wako 60% na wanaume ni 40%, then hiyo 60% ya wabunge wanawake Rwanda ni gender balance. Hata sisi Tanzania, kwenye matokeo ya sensa yetu ya watu na makazi, wanawake wako wengi kupita wanaume, hivyo wanapaswa kuwa wengi zaidi ya wanaume kwenye kila sekta zisizo hitaji muscle powers.
P
hope it is proportional representation! ama 1:1 au 1:2 kutegemea na ratio yao.
 
Hakuna siku wazungu wamelazimisha gende equality kama wanavyolazimisha kutambuliwa kwa mashoga. Hadi nchi zinawekewa sunction! Sijawahi sikia wakiweka sunctions kwa nchi isiyoheshimu haki za akina mama kama watakavyo. Ni unafiki tu! Wakifanya upuuzi ni maendeleo, Afrika tukifanya mila zetu eti ni kinyume cha haki.
Gender equality haikupata resistance kama la homosexuals, lilikubalika tu fasta, tz haijawahi kukubali ushoga tangia enzi za nyerere na haijawahi kuwekewa vikwazo kwa ajili ya hilo
 
Gender equality haikupata resistance kama la homosexuals, lilikubalika tu fasta, tz haijawahi kukubali ushoga tangia enzi za nyerere na haijawahi kuwekewa vikwazo kwa ajili ya hilo
Baada ya kuruhusu uvutaji bangi baadhi ya majimbo ya US, inakuja kulazimishwa kuruhusu kuvuta bangi ktk nchi zetu. Maana, naona kuna watu munaamini binadamu wa maana wako US na ulaya.

btw. ni nchi ngapi dunia hii ziliruhusu ushoga, miaka ya enzi ya Nyerere unayoitaja?
 
Hakuna haja hata ya awamu moja. Wanaume na wanawake wana usawa. Wabunge ikiwezekana tupunguze. Hivi kazi ya mbunge ni nini kwa utawala kama huu unaotenda makubwa miradi ya kimkakati.

So far mbunge hana kazi anayoifanya zaidi ya kwenda kulipwa pesa nyingi zinazokatwa sie wananchi wa kawaida.

Kinondoni kila mtaa sasa hivi unapigwa rami sababu serikali ilishaandaa mradi wa uendelezaji jiji la dsm Dmdp. Mbezi beach hakuna lami sababu labda haikuwemo kwenye maombi ya fedha toka kwa wahisani.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuruhusu uvutaji bangi baadhi ya majimbo ya US, inakuja kulazimishwa kuruhusu kuvuta bangi ktk nchi zetu. Maana, naona kuna watu munaamini binadamu wa maana wako US na ulaya.

btw. ni nchi ngapi dunia hii ziliruhusu ushoga, miaka ya enzi ya Nyerere unayoitaja?
mbona unarukia kwingine na kupindisha hoja, nimesema tz haijawahi kuwekewa vikwazo kisa kutokuruhusu ushoga, enzi za nyerere, mwinyi, mkapa hadi leo. yapo mambo mengi tu ambayo ynaruhusiwa Ulaya na USA kama vile utaoaji mimba lakini Tz haturuhusu na hayajawahi kusababisha kuwekewa vikwazo
 
mbona unarukia kwingine na kupindisha hoja, nimesema tz haijawahi kuwekewa vikwazo kisa kutokuruhusu ushoga, enzi za nyerere, mwinyi, mkapa hadi leo. yapo mambo mengi tu ambayo ynaruhusiwa Ulaya na USA kama vile utaoaji mimba lakini Tz haturuhusu na hayajawahi kusababisha kuwekewa vikwazo
Kama ulimaanisha hivyo, hukuandika hivyo. Soma unachoandika kabla ya kupost.
You wrote;
Gender equality haikupata resistance kama la homosexuals, lilikubalika tu fasta, tz haijawahi kukubali ushoga tangia enzi za nyerere na haijawahi kuwekewa vikwazo kwa ajili ya hilo
 
Kama ulimaanisha hivyo, hukuandika hivyo. Soma unachoandika kabla ya kupost.
You wrote;
Gender equality haikupata resistance kama la homosexuals, lilikubalika tu fasta, tz haijawahi kukubali ushoga tangia enzi za nyerere na haijawahi kuwekewa vikwazo kwa ajili ya hilo
Tangia inamaana ya kuanzia kipindi kilichotajwa hadi kipindi cha sasa, haijalimit kwa hicho kipindi kilichotajwa tu.

Ni sawa na neno since kwa English Since meaning in the intervening period between (the time mentioned) and the present.
 
Spika mstaafu wa bunge mama Makinda amesema wakati umefika wa kuweka ukomo wa mbunge wa viti maalum kuhudumu kwa upendeleo huo.

Makinda amedai utaratibu wa viti maalum ulianzishwa ili kuwaandaa wanawake waweze kwenda kugombea majimboni lakini sasa mbunge anakaa zaidi ya miaka 10 katika viti maalum hii si sawa. Hawa ving'ang'anizi wanawanyima fursa wanawake wengine walio wengi.
Yaelekea Makinda anasoma jf, hili aliliona humu
last week

Je, Wabunge Viti Maalum ni wa kubebwa? Mnaonaje iwe ni awamu moja tuu kisha waendeni jimboni, kupisha wengine, au waendelee kubebwa tu?

Wanawake Tanzania ni Duni/Dhaifu Kiongozi , Kama Si Duni/Dhaifu na Wana Uwezo Sawa na Wanaume, Viti Maalum Vya Nini?

P
 
Marekani wanawake walianza kupiga kura zaidi ya miaka 200 tokea uhuru wao.

Miaka 100 tena baadae ndipo Hillary Clinton akapitishwa kupeperusha bendera na kama sio Russian intrusion bila shaka leo she could be madam President.

It won't be easy.

Mama Makindaa awaache dada zetu, mama zetu wainjoy viti maalum. Kuogombea kutoka jimboni sio jambo jepesi.

Wewe mwenyewe kwenye bandiko lako uchaguzi wa Busanda ilionesha wazi kuwa Lolensia Bukwimba bila msaada wa JPM akiwa waziri, alikuwa ashashidwa kwenye uchaguzi mdogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Freddie Matuja, kwanza nimefurahi kwa reference yako ya Mhe. Lolensia Bukwimba, ni kweli mwanzo kwenye ule uchaguzi mdogo alitoboa kwa kubebwa na JPM, tena kampeni ziliendeshwa kwa lugha ya Kisukuma mwanzo mwisho, bila hivyo asinge toboa haswa kwa kuzingatia Wasukuma ni moja ya makabila yenye male chauvinism na kudharau wanawake. Lakini baada ya kuingia Bungeni, akajenga uwezo, 2010 na 2015 akasimama mwenyewe na akatoboa.

Hivyo Mama Makinda ana hoja ya msingi sana, lengo la viti Maalum liwe ni kujenga tuu uwezo kwa a single term, kisha waende jimboni na sio kubebwa na kuendelea kubebwa tuu!.
P
 
Hivi hao Wabunge wa viti maalumu wanatija gani kwa Taifa? Mimi nashauri wangefutwa tu wabaki wa kuchaguliwa.
Wanatoa hoja mjarabu,mfano mmoja alitaka zifungwe machine za kupima nini sijui za wanaume wasiotahiliwa Ila hitimisho hakutoa,kimsingi bado sana.
 
Kwa nini usifutwe?
Lengo lilikuwa kuonyesha njia ba kuwashirikisha wanawake katika kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Labda mnisaidie lengo lililobaki kwa viti ba viti vya rais ambavyo kimsingi vinaficha madudu ya wabunge WA majimbo, kwa kuwa wengi hawazungumzi katika vikao vingi vya bunge na wapo wapo tu.
Mnisaidie, maana sasa mnajadili kuwawekea ukomo na wakati takwimu nyingi zinaonesha tayar wanawake ni 75% katika uchumi inashindikana nini kwenye siasa? Hasa uchaguz maana lengo lilikuwa kubadilisha mind set ya jamii juu ya wanawake katika maamuz
Wanabodi,

Kwanza angalieni hii picha
More than 60% of Rwanda’s parliamentarians are women. Photo: Sam Ngendahimana
More than 60% of Rwanda’s parliamentarians are women. Photo: Sam Ngendahimana

Nimesoma kwenye Ripoti ya WB, Bunge la Rwanda ndilo Bunge linaloongoza Dunia kwa gender equality baada ya kuwa na asilimia kubwa ya wabunge wanawake kuliko wanaume, wakati Bara la Africa likiongoza duniani kwa kuwa na maspika wengi wanawake kuliko mabara yote.

Hii maana yake ni gender equality is possible ila pia nafasi za upendeleo kwa wanawake vikiwemo viti maalum, dhumuni lake sio kuongeza tuu idadi ya wanawake bungeni, bali ni kuwajengea uwezo wabunge wanawake walioteuliwa, yaani empowerment, kuwa empower.

Hilo kwa Rwanda limewezekana kwasababu ubunge wa viti maalum kule ni kwa awamu moja tuu, awamu ya pili wanakwenda majimboni na kupisha wengine.

Mnaonaje na sisi Tanzania tukafuata mfumo huo?.

Japo sio neno zuri kulitumia lakini ndio ukweli wenyewe, Ubunge wa Viti Maalum ni ubunge wa kubebwa. Sasa kama wewe Mbunge mwanamke umebahatika kubebwa, ukaukwaa ubunge wa Viti Maalum, na ukakaa Bungeni miaka 5, maana yake umeisha kuwa empowered, huhitaji kubebwa tena kumendea ubunge kupitia Viti Maalum, sasa unakuwa umeiva kustahili kwenda kugombea jimboni.

Kama umekuwa Mbunge Viti Maalum miaka mitano na bado huwezi kwenda jimboni, then wewe utakuwa hufai, hata ukirudi Bungeni utakuwa huna jipya!, hivyo ni bora upumzishwe, wapewe nafasi wengine wenye uwezo wa kujiongeza kwasababu kiukweli kabisa kuna baadhi ya hawa wabunge wa viti maalum huwasikii wakichangia mjadala wowote zaidi ya kuupara na kutokelezea, hadi watu humu kuwabatiza jina la Wabunge wa "Vitu Maalum".

Ukibebwa, bebeka, haiwezekani mtu ubebwe mara ya kwanza, uvushwe mto mpaka ng'ambo ya pili, halafu baada ya kufika upande wa pili, badala ya kushuka na kutembea mwenyewe, wewe bado unang'ang'ania mgongoni uendelee kubebwa!. Kitakacho fuata hapo ni wewe kubwaga tuu chini puu!, unless huyo anayekubeba, naye anapata uroda fulani kukubeba,maana kiukweli ukibeba chochote nimzigo kwako,ila kama mzigo huo unafaida kwako, japo ni mateso kuendelea kuubeba, utaendelea kuubeba tuu.

Mnaonaje wanabodi, hawa wabunge wa kubebwa kupitia Viti Maalum, wawekewe ukomo wa miaka 5 tuu au kwa sababu kubebwa ni raha, na kula uroda hivyo wabebaji wanapenda kuendelea tuu kubeba na wabebwaji wanaona uroda kubebwa?.

Ukibebwa bebeka, na next time jibebe, usibwete, na kupenda kuendelea kubebwa tuu, oneni aibu!. Tuweni kama Rwanda!.

Vipi wajameni, wa kubebwa waendelee kubebwa tuu au wajibebe, na wasipojibeba wabwagwe?

Paskali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo siku ya wanawake duniani, vipi wabunge hawa waendelee kubebwa?.
P
 

Wajameni, kama uwezo wa kujieleza wa baadhi ya wabunge wanawake wa viti maalum ndio huu!.
Bora hivi viti vifutwe!.
P
 
View attachment 1365325

Yani hawa wanawake wanao pewa ubunge wa upendeleo wanamaliza hela za walipa kodi bure kabisa, Kwenye bunge letu wapo 113 wanakula mishahara na posho za bure, kazi yao kusifu juhudi na kuwapamba viongozi wa vyama vyao.
: Wabunge wa Viti Maalum

1. Maida Hamadi Abdallah
2. Munde Tambwe Abdallah
3. Rose Vicent Busiga
4. Mwantum Dau Haji
5. Agnes Elias Hokororo
6. Dkt. Christine Gabriel Ishengoma
7. Zainabu Athumani Katimba
8. Fakhari Shomari Khamis
9. Mariam Nassoro Kisangi
10. Amina Iddi Mabroud
11. Catherine Valentine Magige
12. Maryprisca Winfred Mahundi
13. Angelina Malembeka
14. Agnes Mathew Marwa
15. Mary Francis Masanja
16. Aysharose Ndoholi Mattembe
17. Lucy Thomas Mayenga
18. Taska Restituta Mbogo
19. Subira Khamis Mgalu
20. Neema William Mgaya
21. Easter Lukago Midimu
22. Jackline Ngonyani Msongozi
23. Bupe Nelson Mwakang'ata
24. Maryam Azan Mwinyi
25. Shally Joseph Raymond
26. Oliver Danieli Semuguruka
27. Juliana Daniel Shonza
28. Fatma Hassan Toufiq
29. Rose Cyprian Tweve
30. Martha Jachi Umbulla
31. Tecla Mohamed Ungele
32. Mwantum Mzamili Zodo
33. Wanu Hafidh Amei
34. Jackline Kainja Andrea
35. Martha Festor Bariki
36. Tauhida Galos Cassian
37. Josephine Thabita Chagula
38. Pindi Azara Chana
39. Ghati Zephania Chomete
40. Suma Ikenda Fyandomo
41. Martha Nehemia Gwau
42. Saada Mansour Hussein
43. Asha Abdallah Juma
44. Dkt. Rita Enespher Kabati
45. Santiel Eric Kirumba
46. Ester Edwin Maleko
47. Janeth Mauris Masaburi
48. Hawa Chakoma Mchafu
49. Minza Simon Mjika
50. Bernadeta Kasabango Mushashu
51. Neema Mwandabila
52. Nora Waziri Mzeru
53. Mariamu Ditopile Mzuzuri
54. Irene Alex Ndyamkama
55. Josephine Genzabuke
56. Mariamu Madalu Nyoka
57. Asya Sharifu Omar
58. Zulfa Mmaka Omary
59. Maimuna Ahmad Pathan
60. Regina Ndege Qwaray
61. Kabula Enock Shitobelo
62. Zaytun Seif Swai
63. Mwanaisha Ulenge
64. Anastazia James Wambura
65. Zuwena Athumani Bushiri
66. Aleksia Asia Kamguna
67. Dkt. Christine Christopher Mnzava
68. Nancy Hassan Nyarusi
69. Husna Juma Sekiboko
70. Amina Daud Hassan
71. Furaha Ntengo Matondo
72. Janeth Elias Mahawanga
73. Stela Alex Ikupa
74. Hadija Shabani Taya
75. Ummy Hamisi Nderiananga
76. Bahati Keneth Ndingo
77. Najma Murtaza Giga
78. Juliana Didas Masaburi
79. Lucy John Sabu
80. Asia Abdukarimu Halamga
81. Judith Salvia Kapinga
82. Ng'wasi Damas Kamani
83. Sylvia Francis Sigula
84. Munira Mustafa Khatibu
85. Latifa Khamis Juakali
86. Amina Bakari Yussuf
87. Amina Ali Mzee
88. Dkt. Paulina Nahato
89. Dkt. Thea Medard Ntara
90. Mwanaidi Ali Khamisi
91. Dkt. Alice Karugi Kaijage
92. Janejelly James Ntate
93. Neema Kijichi Lugangira
94. Khadija Hasani Aboud
 
Back
Top Bottom