kwaio wameanzisha biblia mpya kulingana na matamanio yao dah nashkuru kua muislamu ndo mna papa nae anataka kuanzisha ndoa za jinsia mojaAgano la kale liliwashinda waefeso wakaamua kuanzisha agano jipya lenye masharti nafuu.
Kuuelewa uislamu unataka kukaa chini usomeshwe sio kusikiliza porojo za watuDah ila Mungu fundi kajua kuwakomoa awa watu. Ila imezuiliwa kuliwa tu.. organs hazijaandikwa kwenye Quran
Hio umesema wewe.Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Wanasema ukipandikizwa figo ya nguruwe ati unakua mwanaharamu...
Manake hata under emergency unaweza kumlala mzazi wako..poor afrikans.Sio Quran ni hadithi,
Actually inaruhusu kula chochote unapokuwa kwenye emegencies. under extreme emegiencies unaruhisiwa hata kula sehem yako ili usogeze siku za kuishi. Ndo maana mnaambiwa uislam ni dini iliyokamilika.
Under emegencies haram inageuka halali, hata talaka ni halali inayochukiza
Sawa kama umekalibia kufa ule ili uishi..na kama hakuna wanyama zaidi ya nguruwe si ndio imekua halali hiyo..manake mungu wenu hana msimamo..hataki mkapige wale mabikra 70 wenye mcho kama goroli..daah dini ni ulaibu.Uislamu sivyo kama unavyofikiria wewe.Uislamu umekataza kula nguruwe,lakini ikiwa hakuna chakula kingine,na utakufa kwa njaa,unaruhusiwa kula ili usife na njaa.Kwa ufupi katika uislamu,kukiwa na dharura,ya kuweza kufariki,unaruhusiwa kuondoa kifo,kumponya aliye na tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wengine ngurume kwao ni haramu...Hio umesema wewe.
Figo ya nguruwe inahusiana nini na kuchepuka?
Acheni kusingizia kiumbe asie na dhambi. Zinaa inaleta watoto wa haramu sio nguruwe
Kwahiyo manapoongelea habari za shetani na matendo yake huko kwenye nyumba ya ibada..inaonyesha mnampenda?au anafanya mazuri?Halafu nyie wakristo sijui kwann mnapenda sana kuwajadili waislamu
Yni humu post za dhihaka za uislamu zipo nyingi tuu lkn siku zte kizuri ndio hupenda kuongelewa kwaio m sishangai
Hakuna suala la mabikira 70,umedanganywa na ukadanganyika.Aliyekueleza ,alikuona huna elimu,ndio ikawa rahisi kukudanganya.Akili za kuambiwa changanya na zakoSawa kama umekalibia kufa ule ili uishi..na kama hakuna wanyama zaidi ya nguruwe si ndio imekua halali hiyo..manake mungu wenu hana msimamo..hataki mkapige wale mabikra 70 wenye mcho kama goroli..daah dini ni ulaibu.
#MaendeleoHayanaChama
Aiseee..mungu asiye na msimamo.hawa jamaa din yao bana. eti Mungu anatoa amri msile nguruwe. ila ukikutana na dharura porin hakuna chakula anakuruhusu ule. haram gafla halali.
Kwahiyo kwa kusema hivyo torati ya musa haitumiki katika uislamu?subiri nikujibu mimi jpo sio niloleta hio mada
kuna msemo wa wahenga unasema kila.zama na kitabu chake
Taurat alishushiwa Mussa ili awaongoze wana wa israel na huo mstari unawahusu hao ila sisi ummati muhammad tumeletewa qurani ndo muongozo wetu kwaio iyo jmoc unayosema ww ni kipindi hicho cha wana wa israel sio sasa ivi
katika uislamu hakuna jumamosi ya mapumziko
Ndio ilivyo,huwa likija suala la uislamu,kuna wanaopinga bila hoja za maana.Mfano binadamu ni haramu kuliwa kwa dini zote na wasio na dini,lakini mbona unaweza kupandikizwa figo ya binadamu.Huu uzi ulikua na maana nzuri tu ila kuna watu wameuharibu.
Heheee..ndio mtajua hamjui wafia dini.ukianza kuleta mada izo za ushoga na yule pastor alofunga ndoa kule uingereza na shoga mwenzake nae utasemaje
Wewe ndio huna msimamo,jibu ni rahisi,binadamu hailiwi,lakini figo ya binadamu inapandikizwa.Aiseee..mungu asiye na msimamo.
#MaendeleoHayanaChama
Heheee..wafia dini bhna.Nyamaza kafiri mkubwa wewe
Ndio maana kanisa kuu huko vatikani mapadri wanalawiti watoto wa kiume wadogo
Kuna muda kumuelewesha mtu aliyekua na majibu tyr ni kazi ngumu mno mm simlazimishi mtu kuufuata uislamu lkn mtakuja kujua siku mkifa ndo utajua ipi dini ya hakiKwahiyo kwa kusema hivyo torati ya musa haitumiki katika uislamu?
#MaendeleoHayanaChama
Nguruwe anapata hedh kama mwanamke? Sidhani!!!! Kwaiy ukaamua koconclude mnyama kama uyo ni binadamu kwa sifa kama izoKwenye kuwagawa makundi like form one,nguruwe yupo kundi moja na binadam,size ya moyo wake inakaribiana Sana na ya binadamu,damu yake inashabihiana Sana na ya binadamu,jike lake linapata hedhi Kama binadamu
Kwani iyo quotation hapo juu imetoka kwenye kitabu gani Mkuusubiri nikujibu mimi jpo sio niloleta hio mada
kuna msemo wa wahenga unasema kila.zama na kitabu chake
Taurat alishushiwa Mussa ili awaongoze wana wa israel na huo mstari unawahusu hao ila sisi ummati muhammad tumeletewa qurani ndo muongozo wetu kwaio iyo jmoc unayosema ww ni kipindi hicho cha wana wa israel sio sasa ivi
katika uislamu hakuna jumamosi ya mapumziko