Je wajua hili kuhusu uume wa nyau..?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412


Unajua kwanini (nyau) Paka wakijamiiana nyau wa kike hulalamika sana?

Sababu ni hii ...
Paka dume uume wake unakama miiba milaini ambayo mwanzo huukuna uke wa paka jike na kuleta raha sana , lakini kadiri anavyo endelea na akikaribia kufika mshindo huwa inaanza kutoka kwenye ulaini na kuwa aina fulani ya ugumu, hivo wakati tendo linaendelea katikati ya starehe yao miiba ile huanza kumuumiza.

Paka jike huanza kuhisi utamu uliochanganyika na maumivu makali ndani yakeπŸ˜•..je huu uume ungekuwa wa binadamu ingekuaje nasoma comment.

Follow @_amutiqun
πŸ‘ΈπŸ˜πŸ‘.
 
Mkuu baada ya likizo naona nyuzi zako zimekuwa mtambuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…