Je wajua hili kuhusu uume wa nyau..?

Je wajua hili kuhusu uume wa nyau..?

Bora tungekuwa na miiba tu tuwachubue!
Wana enjoy sana wanawake
kuna wanawake wanapenda mkuu zipo hizi condom zenye miiba wanaziita studded
images (2).jpeg
 
Zamani tuliambiwa ukiona paka wanapigana miti ujue kifo kinakukabili. Na ulikuwepo ushahidi wa watu kadhaa ambao walitangulia mbele za hali baada ya kuona ishara hii.
Mshana usitutafutie balaa maisha matamu
Hao paka wa siku hizi si paka bali ni mipakashume inakula mpaka kitimoto
 
Zamani tuliambiwa ukiona paka wanapigana miti ujue kifo kinakukabili. Na ulikuwepo ushahidi wa watu kadhaa ambao walitangulia mbele za hali baada ya kuona ishara hii.
Mshana usitutafutie balaa maisha matamu
Hao paka wa siku hizi si paka bali ni mipakashume inakula mpaka kitimoto
Kwa wenye uhitaji, tunauza maumbile bandia wakuu (ni mfano na uume wa paka)....😜
Karibuni sana PM
😂😂😂😂
 
Zamani tuliambiwa ukiona paka wanapigana miti ujue kifo kinakukabili. Na ulikuwepo ushahidi wa watu kadhaa ambao walitangulia mbele za hali baada ya kuona ishara hii.
Mshana usitutafutie balaa maisha matamu
Hao paka wa siku hizi si paka bali ni mipakashume inakula mpaka kitimoto
Dah mnafurahia gemu la pakA??hii ni dhambi
.
FB_IMG_1723284350115.jpg
 
View attachment 3066338

Unajua kwanini (nyau) Paka wakijamiiana nyau wa kike hulalamika sana?

Sababu ni hii ...
Paka dume uume wake unakama miiba milaini ambayo mwanzo huukuna uke wa paka jike na kuleta raha sana , lakini kadiri anavyo endelea na akikaribia kufika mshindo huwa inaanza kutoka kwenye ulaini na kuwa aina fulani ya ugumu, hivo wakati tendo linaendelea katikati ya starehe yao miiba ile huanza kumuumiza.

Paka jike huanza kuhisi utamu uliochanganyika na maumivu makali ndani yake😕..je huu uume ungekuwa wa binadamu ingekuaje nasoma comment.

Follow @_amutiqun
👸😁👐.
Dah sijui kwanini binaadamu hatukupewa AK47 za hivi 😢😢
Cc : ephen_
 
Zamani tuliambiwa ukiona paka wanapigana miti ujue kifo kinakukabili. Na ulikuwepo ushahidi wa watu kadhaa ambao walitangulia mbele za hali baada ya kuona ishara hii.
Mshana usitutafutie balaa maisha matamu
Sio kweli
 
Back
Top Bottom