Je wajua hili kuhusu uume wa nyau..?

Zamani tuliambiwa ukiona paka wanapigana miti ujue kifo kinakukabili. Na ulikuwepo ushahidi wa watu kadhaa ambao walitangulia mbele za hali baada ya kuona ishara hii.
Mshana usitutafutie balaa maisha matamu
Hao paka wa siku hizi si paka bali ni mipakashume inakula mpaka kitimoto
 
Zamani tuliambiwa ukiona paka wanapigana miti ujue kifo kinakukabili. Na ulikuwepo ushahidi wa watu kadhaa ambao walitangulia mbele za hali baada ya kuona ishara hii.
Mshana usitutafutie balaa maisha matamu
Hao paka wa siku hizi si paka bali ni mipakashume inakula mpaka kitimoto
Kwa wenye uhitaji, tunauza maumbile bandia wakuu (ni mfano na uume wa paka)....😜
Karibuni sana PM
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Zamani tuliambiwa ukiona paka wanapigana miti ujue kifo kinakukabili. Na ulikuwepo ushahidi wa watu kadhaa ambao walitangulia mbele za hali baada ya kuona ishara hii.
Mshana usitutafutie balaa maisha matamu
Hao paka wa siku hizi si paka bali ni mipakashume inakula mpaka kitimoto
Dah mnafurahia gemu la pakA??hii ni dhambi
.
 
Dah sijui kwanini binaadamu hatukupewa AK47 za hivi 😒😒
Cc : ephen_
 
Zamani tuliambiwa ukiona paka wanapigana miti ujue kifo kinakukabili. Na ulikuwepo ushahidi wa watu kadhaa ambao walitangulia mbele za hali baada ya kuona ishara hii.
Mshana usitutafutie balaa maisha matamu
Sio kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…