Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!

Tumetafuta njia za kuimaliza chadema, kwenye vikao toka mwaka 2006, na wakina Masha, Nchimbi, Wasira, Mwigulu, January, Pinda, Nape, Kinana, mpaka leo Jiwe na Bashiru na Bashite lakini wapi tulikwama kesi zote ni propaganda miaka 15.
acutally sasa hivi na haya wanayoyafanya CCM na serikali yake, mfano ya Mdude chadema kumbambikia maafa, CDM imejengeka down to innermost chamber of Tanzanians hearts!
 
mimi ni mwanaccm damu wazaz nao ni ccm dam dam ila kwa muhula huu kura yangu mtaisikia kwenye mabomba' watu mnafikilia kwa kutumia matumbo wa kazi gani sasa!! na hyo shule uloenda nadhan ulisomea ujinga rudi tena na tena mana unatetea mambo ya ajabu cjuw mnashindwa kujua tupo kwenye kizazi kipi
#ccm mnakwama sana sana
cc pascal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimesoma bandiko lako la magufuli kuja kua raisi, daah ulipatia mule mule maaana ulitaja hadi weakness zake na kweli ndo izo izo
 
Kwa kifupi wewe huwa huipendi CHADEMA....sijui Chama hiki kilikukosea nini!...Watu wamekufa...watu wanavilema...watu wamepoteza Mali...Leo Chama kife eti kwa sababu Lwakatare kaongea...sio rahisi kiivyo.
 
Karma ya Dr.Slaa itacharaza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paskali toka afirisiwe na kunyang'anywa tenda mbali mbali akili yake bado haijakaa sawa.
Ukiona kiongozi ana mawazo ya kuifuta Chadema basi huyo siyo kiongozi.
Futa maradhi ,umaskini na ujinga siyo kuifuta Chadema huo ndiyo uongozi.
 
Rwakatare atakuwa zaidi ya Dr. Slaa. Someni mazingira CHADEMA imevuka hatua ya kumtegemea mtu.
 
Aisee umeandika vzur Sana[emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wa wachangia hasa wafuasi wa Chadema hawajui Chochote ama ni wasahaulifu ama wamejitoa ufahamu.

Rwakatare amekuwa Mkurugenzi wa Ulinzi usalama na operation za Chadema Taifa.

Huwezi kutamka mafaniko ya ama mapungufu ya Red breged bila kumhusisha Rwakatare..

Rwakatare anasiri nyingi sana za Chadema hasa kuhusiana na mambo ya Chadema ya nyuma ya pazia.

Mayalla ametahadhalisha tu, Viongozi wa Chadema ndio wanajua nini Mayalla anamaanisha hasa Mbowe.

Siku Rwakatare akiamua kumwaga mboga, zitapigwa kelele nyingi sana kuwa amehongwa ama amenunuliwa ila Chadema watakuwa wamechelewa.

Chadema imesimama mpaka leo sababu ya juhudi za wazi na Umafia wa nyuma ya pazia ambao Rwakatare anaujua na viongozi wa Chadema.

Umafia haukwepeki iwe kwenye biashara, siasa ,kanisani ama kwenye maisha ya kawaida...

Mpeni heshima yake Rwakatare, kwanza Hana nia na ubunge tena anapumzika siasa na makando kando yake yote.

Halafu mkumbuke Mwigulu ni Waziri wa Katiba na Sheria, na Jamaa hana tofauti sana na Rwakatare kwenye nyendo zao za kisiasa...

Hakuna asiejua Umafia wa Mwigulu kwenye siasa za Tanzania

Kwakweli Rwakatare akiamua, tujiandae hashtag##### za kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…