Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!

Sasa Kama kimeshakufa kwanin unahangaika nacho yaan unahangaika na marehemu serious
 
Pascal tangu aseme amejiunga na CCM hata thinking capacity yake imekuwa low sana. Analeta issue ambayo mahakamani walishindwa kuithibitisha? Ila kweli mayala mbaya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe uelewa wako ni mdogo sana nenda kasome anguko la NCCR lilikuaje. Chadema sasa imebaki na wabunge 15 toka 60+ huoni ni anguko la kasi ya ajabu subiri bunge livunjwe 30/06/2020.
Hao wabunge walioondoka ni wangapi? Hebu wataje hapa tujue idadi yao na sio porojo tu.
Kama CDM imekufa,mbona mnahangaika nayo kila siku? Hata press ya chadema tu inawatisha
 
Ukabila umempofusha kawa mjinga kuliko wale wapiga vigeregere wanaolipwa na chakubanga
 
Mkuu, achana na hawa wapiga ramli wa Lumumba.
Hizi ramli sio mpya,ziliasisiwa na mzee Wasira
 
Nipetia comment nyingi hapa naona wengi wamemnanga paskali,mimi najua paskali atapita ila haya maandishi yake yatabaki,kama yatatokea tuwe na utamaduni wa kurudisha nyuzi za nyuma zenye kumbukumbu za yale mapovu yenu!
 
Tatizo hata akija alisema Chadema Ni chama Cha Ibilisi, akaleta na Picha hatumwamini...Huu ndio msingi wetu!😋😋
 
Wengine tunajua mapungufu ya sasa ya Chadema lakini hatukutegemea Mbowe kuamua kumpoteza Rwakatare kiurahisi.

Shortly Chadema ni sikio la kufa ... kama tulivyosema kabla ya uchaguzi 2015 tusubiri baada ya 2020 tutarudi hapa na hadithi mpya na chama kikuu kipya cha upinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema imejaa mashabiki ambao uamini kila linalofanywa na viongozi wao ni sahihi wakati wakibeza kuondoka kwa Dr Slaa wanajifanya hawaoni pengo lake maya zaidi wale waliowaamini na kuwapokea toka CCM wamesharudi walikotoka tunapizungumzia kufa kwa chama hatumaanishi kitatoweka bali kitakuwepo lakini si kwa nguvu iliyokuwepo awali
 
Mkuu uko sawa 100%, inaonekana unaona mbali sana. Tunaomba tuambie na hili ambalo la kitaifa zaidi kuliko hilo la kikundi cha watu.

Inasemekana koona haiishi leo au kesho, je huko burigi atarudi au atakaa huko huko hata miaka 3 mpaka iishe?
 
Mamlaka ya Uteuzi hakika haitendi haki kwani kwa jinsi Pasco, anavyoifagilia Serikali ya Magu, basi alipaswa apewe nafasi ya "Msemaji wa Serikali".....

Mkuu Mayala, punguza kujikomba na acha Kujinafikisha kwani JIWE, hana time na wewe....

Lakini pia kumbuka CHADEMA si viongozi bali ni Watanzania tulioichoka CCM na ndo maana Mtu kama Mdude Chadema, ni tishio kwa Mteuzi na CCM yote kwa ujumla !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…