Tena wanasombwa kutoka kila mahali kwa mabasi, watumishi wa umma wanalazimishwa kuhudhuria na tena wakishaingia kwenye hadhara ya mheshimiwa wanafungiwa kama mbuzi hawawezi kutoka tena kuendelea na shughuli zao, maana wakijaribu kutoka wanakutana na maaskari wanawazuia.
Halafu wananchi wanapewa chambo ya kwenda kuwaona wasanii wakubwa wakiperform.
Ukichunguza Interaction ya Magufuli na hadhira yake ni very poor, watu hawashangilii punchlines zake, yaani umma uko baridiiii, unachangamka tu ikiwekwa burudani ya msanii
Wakati kwenye mihadhara ya Lissu, watu wanakuja kwa utashi wao
Pili kuna atmosphere ya Umma kuinteract naye vyema na kuzifurahia points zake.
Hakuna wasanii wakubwa wa kuvuta hadhira.
It seems kuwa Licha ya kwenda kwenye mikutano ya Magufuli ambayo inaboa, miongoni mwa wananchi wengi tu waliolazimishwa au kupewa chambo ya kuhudhuria mikutano ya Magufuli, wengi watamkubali Lissu kwa kuwa anaongea masuala yao ya msingi.