Je, wajua kuwa Shetani naye ana amri zake? Ziko 11

Satanic laws ni logic based whatsoever,hazina uchochoro wa kujifichia whenever you messed around the Truth! Ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga,and thats for real,ukikata miti utapata ukame hence njaa na majanga mengine,no excuses(no mercy) ukitaka kula lazima na wewe uliwe in one way or another, ukitaka kufanikiwa lazima ujitume,hakuna cha maji ya upako wala mafuta ya upako,wala kupiga magoti chini siku nzima haitakuletea tonge moja la ugali mezani mwako, ukiishi vizuri utakufa vizuri,if you live like a dog you'll die like a dog, dunia ina mengi sana yanayohitaji akili yako kuyatatua,na ina machache sana yanayoweza kujitatua yenyewe kwa njia ya imani,its almost zero, kufa ni hakika,kuishi ni akili.tumia akili uishi kabla hujafa,maana kila mwenye uhai ataonja mauti,ila ni wachache tu watakaoyaonja Maisha(siyo uhai)
 
Ni tafsiri yako tu ndugu yangu.
viumbe wa kwanza waliomuasi mwenyezi Mungu ni huyo shetani, na maazimio yake ni kufanya wengi wawe waasi kwa Mungu kama yeye.

Yeye ndie wa kwanza kusababisha uasi kwa mtu dhidi ya Mungu, na kanuni za Mungu uasi malipio yake ni kufa, kufa kunaweza kuwa kwa kiroho ama kimwili.

Hakuna yeyote aliye juu ya uhai wa kiumbe chochote isipo kua Mungu.

Kwa namna hiyo ndio maana shetani hana historia ya kusababisha kuua isipo kua kwa idhinisho la kimungu.

Kwa hiyo shetani anabaki na sifa yake ya kua baba wa uongo.
 
Iyo namba tisa, labda ujakutana na panya road, mazombi, damu chafu, (Hawa ni watoto ila ndo mashetani wenyewe
 
Na hiyo number 5 hizo mating signals anazitengeneza yeye shetani kwa kuwafanya Dada zetu wavae nguo kama nguo fupi zinazofanya wanaume tutamani kuwatongoza . Matokeo yake ni kuzini .
 
kufa ni hakika,kuishi ni akili.tumia akili uishi kabla hujafa,maana kila mwenye uhai ataonja mauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…