Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

Pasco,

Kwa nini unahangaika wakati majibu ambayo yanaweza kumaliza utata unaweza kuyapata bila mihangaiko? wewe mfate Mzee Hassa Nasoro Moyo na Mzee Aboud Jumbe wahoji na tuleteee hapa, utakuwa umekata mzizi wa fitina badala ya kuteletea ngonjera za mkataba wa kimatifa nini, hivi unajua hata wewe na jamaa wa Uganda mkisaini makubaliano tayari ni mkataba wa kimataifa huo?
 
hapa unatakiwa kufafanua nani alikuwa Privity to the contract? maana waliosaini wote wawili walikuwa ni wahusika wakuu wa huo mkataba, sasa anaye ingia hapo nu kuwa si muhusika katika huo mkataba ni nani? Karume au Nyerere? maana kuwa privity to the contract ni pale mtu kudai haki katika kitu ambacho si muhusika mkuu katika mkataba.
sasa ukisema wananchi wa tanganyika au wazanzibar, unatakiwa sasa tuangalie mambo mengine, uhalali wa karume kuwa kiongozi na kuingia mikataba, uhalali wa serikali ya Tanganyika wakati huo katika kuingia mkata au kuto kuingia. na unaweza kwenda mbele zaidi mpaka wakati wa Jumbe , na muungano wa ASP na TANU na kuunda CCM , mbaka uuandaji wa Baraza la Wawakilishi.
 

Mag3, ndio maana wengine tunasubiri hilo somo maana hadi hivi sasa hakuna mahali popote ameonesha kuwa Muungano haukuwa umeridhiwa Zanzibar.
 
Mag3, ndio maana wengine tunasubiri hilo somo maana hadi hivi sasa hakuna mahali popote ameonesha kuwa Muungano haukuwa umeridhiwa Zanzibar.
Mwanakijiji, huyu jamaa sijui kama anajua anachoongelea au anachanganya mambo...hapa tunamtaka aseme ni chombo kipi huko Zanzibar kilitakiwa (kiutaratibu) kiridhie Muungano mwaka 1964 na hakikufanya hivyo. Asiongelee vyombo ambavyo havikuwepo wakati huo na kwa nini hata vilipokuja kuundwa miaka mingi tu baadaye havikuhoji hadi leo. Tunamsubiri Pasco tena kwa hamu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hii kauli ya kusema tuwaulize Watanzania na Wazanzibar yatoka wapi? Mtanzania ni yupi? Na Mzanzibar ni nani? Bila shaka Mtanganyika aliyeungana na Mzanzibar ndiyo huitwa Watanzania. Hii dhambi ya ubaguzi ya kumwita Mtanganyika ni Mtanzania na Mzanzibar kumpa haki yake ya kuitwa Mzanzibar inauma sana !!
 
Martin Bailey quoted Nyerere when he addressed the mass rally at Dar es Salaam on November 15, 1964:

We sent our police to Zanzibar. After overcoming various problems we united. We ourselves voluntarily agreed on union. Karume and I met. Only the two of us met. When I mentioned the question of the union Karume did not even give it a second thought. He instantly asked me to call a meeting of the press to announce our intention. I advised him to wait a bit as it was too early for the press to be informed. (p. 31).

This is a clear testimony that the union of Zanzibar and Tanganyika was the creation of Karume, a racist dictator nominal Muslim from Nyasaland (Malawi) and Nyerere, an autocratic devout Christian from Tanganyika.

Source: Nyerere Against Islam In Zanzibar And Tanganyika
 

Tutapiga kwa asilimia kupata jibu. Kama zanzibar ni nchi na wamepiga kura wote tutachukua asilimia yao ni ngapi according to their population yani1.2/1.2x100=100% na Tanganyika itakua 3/48x100=6.25% kwa hiyo zanzibar watakua wameshinda.
 
Tatizo la Pasco ni kwamba anataka kujaribishia taaluma ya sheria hapa jamvini, ndio maana hataki kuuacha mjadala uwe huru na kuja na vikwazo kibao........mara msiniulize maswali, oh nitajadiri kila kipengere.........., kuna puppets wa .........., Kwa kweli hana majibu ya "contraversial issues" anazoziibua zaidi ya ubabaishaji tu.
 
kwani tanganyika iliridhia muungano?

Hata kama Tanganyika iliridhia , lile lilikuwa ni bunge lililochaguliwa na watu , jee kule Zanzibar, Baraza la Mapinduzi kalichagua nani ?? Na lilikuwa linamwakilisha nani ?? Au nyerere
 

Pasco anasahau au hajui vizuri ni vipi Zanzibar ilikuwa ikiendeshwa baada ya mapinduzi tukufu...:sick:
 
Hata kama Tanganyika iliridhia , lile lilikuwa ni bunge lililochaguliwa na watu , jee kule Zanzibar, Baraza la Mapinduzi kalichagua nani ?? Na lilikuwa linamwakilisha nani ?? Au nyerere
unataka kusema zanzibar hakuna serikali na wala haikuwepo hapo mwanzo
 
unataka kusema zanzibar hakuna serikali na wala haikuwepo hapo mwanzo

serikali iliyowekwa na Nyerere ilikuwepo maana ile serikali iliyochaguliwa na watu ilikuwa imekamatwa na kufungwa katika majela ya Nyerere Tanganyika , wakati huo ni kabla ya Muungano
 
serikali iliyowekwa na Nyerere ilikuwepo maana ile serikali iliyochaguliwa na watu ilikuwa imekamatwa na kufungwa katika majela ya Nyerere Tanganyika , wakati huo ni kabla ya Muungano
Kwa maana hiyo huyatambui Mapinduzi ya Januari, 1964, huitambui Serikali ya Mapinduzi iliyoongozwa na Raisi Abeid Karume, na hulitambui Baraza la Mapinduzi. Sasa ipi serikali unayoitambua kabla ya Muungano? Ilichaguliwa na nani na iliongozwa na nani? Hao viongozi wake waliofungwa katika majela ya Nyerere Tanganyika ndio akina nani?
 
Ngoja niendelee kuwa mvumilivu hadi mada ziishe!
Wala hata usianze kujisuasua, hizi ni rasha rasha tu, wengine tunamsubiria Pasco ashushe nondo alizoahidi tumpe vidonge vyake.
 
Last edited by a moderator:

mimi nikiyatambua nisiyatambue ndio iwe nini humu JF ???UKWELI KITU CHENGINE NA KUTAMBUA KITU CHENGINE,

HEBU WAULIZE HAO WANAOKUFUNDISHA NI NANI ALIMCHAGUA KARUME HATA AKAWA RAISI ???

MAJIBU YA MASUALI YAKO MENGINE SOMA HICHI KITABU LABDA WEWE ULIKUWA HUJAKIONA HUMU JF


Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia by Harith Ghassany in History
 

Hicho kitabu kasome wewe, mimi kwa umri wangu sihitaji kusoma kitabu chochote kujua hali ilivyokuwa Zanzibar kabla na baada ya mapinduzi. Ila kwa kukuondoa wasi wasi hadithi za Harith Ghassany nimezisoma kama nilivyosoma hadithi za alfu lela ulela. Kama ndiyo msingi wako wa kujenga hoja, umepotea...wasome na watu wengine wameandika nini, utaelimika zaidi! Mathalan, kwa mfano tu, je umewahi kusoma kitabu alichoandika Field Marshall John Okello au yawezekana hata humjui!
 

sawasawa kabisa mpendwa,

ubarikiwe sana na Bwana

Glory to God!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…