Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,324
Pasco,
Nakupa pongezi sana kwa kutoa darsa zuri sana kwa wengi na nataraji umefungua mambo mengi sana ambayo wengi sana wamekuwa hawayajui ima kwa kutofuatilia historia hizi au kwa kuona mambo yanakwenda sawia na upeleka mzigo wote kwa waZnz ambao ndio wahanga wakubwa sana wa huu mvungano wenu kiuchumi na kijamii.
Pamoja na pongezi zangu lakin kuna kosa moja kubwa sana sio tu kisharia lakin pia kikanuni za kiuandishi wa Habari/ makala zozote. Umetoa suluhisho mwanzoni kabisa wa mada yako. Wewe ulitakiwa uandike kila ulichokijua na kuamini kuwa kipo sahihi sana katika historia ya muungano.
Kumbuka kuwa kalamu ya mwandihi ni sumu kali sana kuliko bomu la nyuklia. Mwandishi siku zote anatakiwa kuandika pasipo kuegemea upande wowote au kuiamulia jamii ifate vile anavyodhani kuwa yeye yupo sahihi. SUMU KUBWA YA UANDISHI NI USHABIKI. Hivyo punguza ushabiki kwa hili.
Hapo juu nilipo underline naona imekupuruchuka ahali yangu. Kwani ulitakiwa usome vizuri sana Katiba ya Muungano na ile ya Znz kuona na kujua masuala ya Muungano yanajadiliwa wapi. Na vile vile ulitakiwa ufahamu kuwa ndani ya bunge la Muungano kuna wabunge wa Znz. Wakti tunasubiri darsa zaidi labda utudokolee kidogo
1. Ni kipengele gani cha sharia ambacho BLW kinaweza kutumia kuujadili muungano wenu ambao umeridhiwa na Bunge la muungano pekee?
2. Je unajuwa kwa mujibu wa sharia za Muungano JMTz masuala yote ya muungano yanajadiliwa na Bunge la Muungano tu chini ya Afisi ya makamo wa Rais wa Muungano?
3. Nani yupo sahihi wa kudai haki zaidi za kuujadili Huo mvungano kati yha Bunge la Muungano na BLM?
Nakupa pongezi sana kwa kutoa darsa zuri sana kwa wengi na nataraji umefungua mambo mengi sana ambayo wengi sana wamekuwa hawayajui ima kwa kutofuatilia historia hizi au kwa kuona mambo yanakwenda sawia na upeleka mzigo wote kwa waZnz ambao ndio wahanga wakubwa sana wa huu mvungano wenu kiuchumi na kijamii.
Pamoja na pongezi zangu lakin kuna kosa moja kubwa sana sio tu kisharia lakin pia kikanuni za kiuandishi wa Habari/ makala zozote. Umetoa suluhisho mwanzoni kabisa wa mada yako. Wewe ulitakiwa uandike kila ulichokijua na kuamini kuwa kipo sahihi sana katika historia ya muungano.
Kumbuka kuwa kalamu ya mwandihi ni sumu kali sana kuliko bomu la nyuklia. Mwandishi siku zote anatakiwa kuandika pasipo kuegemea upande wowote au kuiamulia jamii ifate vile anavyodhani kuwa yeye yupo sahihi. SUMU KUBWA YA UANDISHI NI USHABIKI. Hivyo punguza ushabiki kwa hili.
Kwa vile Zanzibar, haikuuridhia rasmi Muungano, kama ni kweli hizi chokochoko za Uamsho ni uthibitisho kuwa sasa Zanzibar inataka kujitoa katika muungano wetu huu adhimu, kisheria, mlango uko wazi, yaani wide open for Zanzibar to just walk out, with no regret and no strings attached kwa sababu hawakuuridhia ule mkataba wa muungano in then first place!, hivyo mkataba huo hauko binding kwao!.
Hapo juu nilipo underline naona imekupuruchuka ahali yangu. Kwani ulitakiwa usome vizuri sana Katiba ya Muungano na ile ya Znz kuona na kujua masuala ya Muungano yanajadiliwa wapi. Na vile vile ulitakiwa ufahamu kuwa ndani ya bunge la Muungano kuna wabunge wa Znz. Wakti tunasubiri darsa zaidi labda utudokolee kidogo
1. Ni kipengele gani cha sharia ambacho BLW kinaweza kutumia kuujadili muungano wenu ambao umeridhiwa na Bunge la muungano pekee?
2. Je unajuwa kwa mujibu wa sharia za Muungano JMTz masuala yote ya muungano yanajadiliwa na Bunge la Muungano tu chini ya Afisi ya makamo wa Rais wa Muungano?
3. Nani yupo sahihi wa kudai haki zaidi za kuujadili Huo mvungano kati yha Bunge la Muungano na BLM?